Kamfumania mumewe na housegirl!!!!!

Kaunga

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2010
Posts
12,529
Reaction score
13,494
Wana MMU
Natumaini mlikuwa na blessed Xmas? Sio hivyo kwa mdogo wangu, ambaye ni nurse ambaye baada ya kutoka mapema night shift alimfumania mumewe akimbaka msichana wa kazi. Amelazimika kuchukua likizo ili areflect; msimamo wake ni kuend ndoa ya kikatoliki.

Nimemwambia aje kwangu (likizo) nimshauri; she is coming in two days!

Wengi mnajua msimamo wangu; ushauri ambao ningempa ni kuachana naye. Lkn ninataka Mdogo wangu apate the best ushauri from u guys!

Naomba mnisaidie tumshauri!
Asante na happy holidays!
 
Kaunga sorry for saying this but mara nyingi katika post zako umeonesha jinsi ulivo na hasira dhidi ya wanaume, I hope kua utapomshauri mdogoko utaweka hio hasira pembeni walau briefly... B2T...

Haya ni mambo magumu saana, hasa yanapo husu wanandoa.... Many things have to be taken in consideration kabla mdogo wako hajaamua lolote. Vitu kama wanaishi vipi na mumewe? Ilikuaje mpaka mumewe akalala na huyo house gal? Tabia ya mumewe dhidi ya wanawake wengine (je ni kicheche?)? Attitude ya mumewe baaada ya kufumaniwa... Umri wa ndoa yao... Wana/hawana watoto? Applicability ya nafasi ya huyo mume ndani ya ndoa.... Na most importantly does she still have feelings for the hubby?
 
Kuachana ni kitu kikubwa sana,na kitamuathiri kisaikolojia maisha yake yote kuliko km atamsamehe. Please yamalizeni kifamilia tu ili amani iendelee kuwepo.

hakika sisi ni binadamu na siyo malaika, hivyo basi tutashawishiwa kwa kila kitu, huyo jamaa asamehewe tu, wakristu wanasisitiza upendo sijuwi wengine, 7x70 huo ni msamaha wake.
 
Sure lazma uliyoyasema wayaangalie...kutengana kwahitaji analysis ya kina sana na ujasiri wa hali ya juu sana otherwise atajenga sononeko la moyo litakalomtesa sana.
 
kuendelea ndoa na mbakaji?
kuachana atakufa au?
mnataka aje ambake watoto wa ndugu au?
 
hakika sisi ni binadamu na siyo malaika, hivyo basi tutashawishiwa kwa kila kitu, huyo jamaa asamehewe tu, wakristu wanasisitiza upendo sijuwi wengine, 7x70 huo ni msamaha wake.
Tena akimsamehe huyo jamaa atakuwa mstaarabu than ever before,na mapenzi yake yatakuwa motomoto sana,pia kwa kumsamehe huyo dada atakuwa kaonyesha mapenzi yakweli na dhati. Asamehewe tu
 
amuulize tu huyo housegirl amempa kitu gani hadi kwake kakikosa labda dada kampatia ukameruni mr wa watu hoi..
hilo ni wazo tu
 
kuendelea ndoa na mbakaji?
kuachana atakufa au?
mnataka aje ambake watoto wa ndugu au?
Sio hivyo The Boss,kumbuka kosa si kosa bali kosa ni kurudia kosa,kumbuka sote ni wadhaifu na kuna wakati shetani anatuzidi nguvu hata Yesu alisema kwa yule mwanamke kuwa Asiye na dhambi na ampige huyu mama kwa mawe....je nani msafi kati ya wanadamu?????
 
nakuunga mkono, waachane

inapofikia kusaliti, tena kwa kubaka, ndani ya nyumba mnayoishi, aiseeee..
 
Kabla hajaja huko kwako, kwanza ashughulikie hiyo kesi ya ubakaji, labda m,atokeo yake yatampa picha ya nini cha kufanya
 
Aaachanenae huyo si mume ni mbakaji usipende binadamu mwenzako akutese .
 
Alibaka au walikubaliana na huyo house girl? Kama alibaka naungana na The Boss kuna vyombo vya sheria kesi ipelekwe huko. Kama kulikuwa na makubaliano kati ya mume na house girl basi mke afikirie suala la kumsamehe mumewe!
 
kama kweli amembaka housegirl anapokuja kwako housegirl amemwacha wapi?
Ameripoti polisi?

Yeye ndo anajua tabia ya mume wake je amebaka wangapi?

Kama si kweli housegirl hajabakwa,ila walikubaliana ametafakari hilo? Yupo tayari kuishi na mwanaume wa namna hiyo? Asiyeheshimu nyumba yake mwenyewe?
 
Sorry nilipata wageni; ngoja nijaribu kujibu nitakayoyaweza!
Ndoa yao ina kama miaka 4 sasa (uchumba wa 3yrs); hawajabahatika kupata mtoto Mdogo wangu ana shida kwenye mirija na mumewe ana low sperm count.

Last time tumeonana na mdogo wangu kwenye msiba (complains za infedality zilikuwepo). Mumewe anafanya kazi kwenye machimbo (geita) hivyo huonana weekend (l am sure lazima atakuwa na mtu kule)

Kibinti kilichobakwa kiko less than 16yrs; mdogo wangu alitaka kumpeleka hospital lakini kwa madai yake mume aliwafukuza wote; binti yuko kwao, mdogo wangu alilala kwa shoga zake. Imebidi nimtumie Mpesa ili apate hata kula. Nyumba imefungwa, mume karudi machimboni, nimemwambia avunje ili aingie. (wamejenga wote)

Ashadii; l know na ndio maana nimeomba kupata ushauri (same story ilihappen to me; nikuonesha SMS aliyonitumia usiku; alirefer to my issue). Kwangu mimi pamoja na kwamba ilkuwa the first incident niliend relationship; na sijuitii.
 
kama ishu ni kubaka,
na nyinyi mnapenda haki
basi mgeanzia kituo cha polisi kwanza
huyo 'mhalifu' akamatwe.mengine yatakuja baadae...

Binti kachukuliwa kwao; ningekuwa karibu hiyo ni hatua ya kwanza; as much as namuonea huruma huyo binti kwa umbali huu concern yangu ni mdogo wangu!
 
kuendelea ndoa na mbakaji?
kuachana atakufa au?
mnataka aje ambake watoto wa ndugu au?

Hicho ndicho ninachokiwaza mimi; ila mama yake (mamdogo wangu) anamshauri avumilie akirecall kwenye familia baba nani alicheat mbona ndoa yaendelea!

I aggree with u, amekuwa akicheat na wanawake wengine lkn Mdogo wangu amekuwa akivumilia, hii ya Housegirl tena under 18, ni mbaya zaidi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…