Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,494
Wana MMU
Natumaini mlikuwa na blessed Xmas? Sio hivyo kwa mdogo wangu, ambaye ni nurse ambaye baada ya kutoka mapema night shift alimfumania mumewe akimbaka msichana wa kazi. Amelazimika kuchukua likizo ili areflect; msimamo wake ni kuend ndoa ya kikatoliki.
Nimemwambia aje kwangu (likizo) nimshauri; she is coming in two days!
Wengi mnajua msimamo wangu; ushauri ambao ningempa ni kuachana naye. Lkn ninataka Mdogo wangu apate the best ushauri from u guys!
Naomba mnisaidie tumshauri!
Asante na happy holidays!
Natumaini mlikuwa na blessed Xmas? Sio hivyo kwa mdogo wangu, ambaye ni nurse ambaye baada ya kutoka mapema night shift alimfumania mumewe akimbaka msichana wa kazi. Amelazimika kuchukua likizo ili areflect; msimamo wake ni kuend ndoa ya kikatoliki.
Nimemwambia aje kwangu (likizo) nimshauri; she is coming in two days!
Wengi mnajua msimamo wangu; ushauri ambao ningempa ni kuachana naye. Lkn ninataka Mdogo wangu apate the best ushauri from u guys!
Naomba mnisaidie tumshauri!
Asante na happy holidays!