Kamfumania mumewe na housegirl!!!!!

P

pilu unadhani hili ndo tatizo? unafikiri hata akipewa masaa 18 per day tatizo la huyu mwanaume litaisha?


nilimanisha wanakaa siku nyingi bila kukutana kwa tendo la ndoa.
Hio inamfanya awe na kiu kali.
 
...fab!....hii ni funga mjadala kwenye kesi hii,....Kaunga, ushauri huu ndio unaopaswa kumshauri mdogo wako.

Unakubali kuwa wanaume hawana msimamo katika mapenzi, nini kifanyike kuondoa hii hali/dhana katika karne hii ya ukimwi na magonjwa ya zinaa lukuki?
 
kama si machanga kwako basi natarajia kuona mchango wa maana ambao ni
" balanced" na sio kulalia pande moja.

Tatizo lako unataka michango iwe kama unavyofikiria wewe, nakukumbusha tu kwamba hii sio 1+1 ambapo jibu lake sahihi halibadiliki! Naomba tu nikutaarifu kuwa nitatoa mchango wa maana kama nionavyo mimi japo yaweza kuwa sio conclusive, na siwezi kutoa mchango kama unavyotaka wewe ili uuone wa maana!!! So ukiona kuwa mchango wako ni wa maana saana kuliko ya wengine its up to wewe, pia naomba tu uelewe kuwa hiyo balance unayoitaka wewe kwangu mie haipo completely!
 

calm down dier !
Wewe na mie tupo huru kutoa michango, ila ni muhimu kuzingatia mambo hayo nlotaja ili mtoa mada apate best of your advices.
Pole kama ulikwazika kwa chochote ndugu.
 
nilimanisha wanakaa siku nyingi bila kukutana kwa tendo la ndoa.
Hio inamfanya awe na kiu kali.


Mwanaume akinyimwa hawezi kukaa na kungoja....anajitafutia pengine.....ila sio kubaka!
 
Unakubali kuwa wanaume hawana msimamo katika mapenzi, nini kifanyike kuondoa hii hali/dhana katika karne hii ya ukimwi na magonjwa ya zinaa lukuki?

...umenitafsiri vibaya,

...ndio maana hapo awali nilitoa mfano wa mke wa Strauss Kahn wa IMF...
kitendo cha mke kuacha kuangalia mapungufu ya mume kwa kosa la kuzini nje ya ndoa na kumtuhumu
house gal (kwa ile ya imf hotel maid) kwamba ali consent sex, ni mapungufu makubwa sana (kwa mke) kwenye maamuzi yake.
 
kwa upande wangu yako mambo mengi, labda ningejibiwa ningeweza kushauri mwemwele -
1. Ushauri wa kwanza waende kanisani wakamwombe Mungu, wakatubu dhambi zao kwa kumaanisha kuziacha na kuokolewa,kisha waombewe watapata amani

2. akili ya kawaida waangalie uwezekano wa kuishi pamoja kwani huenda upweke unamsumbua mumewe

3. wasameheane na kuanza upya

4. kuhusu watoto waende kanisani kwa walokole wakaombewe, nawahakikishia upungufu wao utaondolewa na watapata watoto wengi mpaka watakataa

5. wakati mwingine mumewe huenda anajaribu kutembea na wanawake wengine akidhani anaweza kupata watoto kutoka kwao na kusahau kuwa watoto wanatoka kwa Mungu, ni zawadi, hivyo hili nalo linaweza kuwa tatizo kwa mumewe, uhsaui soma kipengele 4 hapo juu. Tafadhali usilipuuze hili kwasababu sifa ya mwanaume yeyote na kuwa na mtoto wake wa kumzaa.

6. je hapo awali alikuwa ana tabia hizo au kama sivyo tabia hizo zimeanza kujitokeza lini

7. ubakaji wa hg, kisheria hata kama angekubali ni ubakaji, je aliijua tabia ya huyo HG wake kabla ya kumuajiri au aletewa tu

8. ndoa za Kikristo hazina talaka, na Mungu anachukia kuachana kwao, na ww ukishiriki kuvunja ndoa yao, Mungu mwenyewe atakuadhibu mpaka utashangaa na kujuta kwanini ulizaliwa

usiwe mtu avunjaye ndoa za watu bali awashaurio kuendelea kudumu katika ndoa zao kwa kuwakumbusha upendo wao wa kwanza

Nawasilisha

nikipata
 


Kama kijogoo Mahita?
 
Hako ni kakosa kadogo sana, awe mpole tu, kuna wanawake ambao wanajua kuwa waume zao wanawamega mabinti waliowazaa, i.e binti anamwibia mamake mzazi, na mama anaendela kukomaa katika ndoa!
 
kwa upande wangu yako mambo mengi, labda ningejibiwa ningeweza kushauri mwemwele -
1. Ushauri wa kwanza waende kanisani wakamwombe Mungu, wakatubu dhambi zao kwa kumaanisha kuziacha na kuokolewa,kisha waombewe watapata amani

2. akili ya kawaida waangalie uwezekano wa kuishi pamoja kwani huenda upweke unamsumbua mumewe

3. wasameheane na kuanza upya, kwani binadamu wanakosea

4. kuhusu watoto waende kanisani kwa walokole wakaombewe, nawahakikishia upungufu wao utaondolewa na watapata watoto wengi mpaka watakataa

5. wakati mwingine mumewe huenda anajaribu kutembea na wanawake wengine akidhani anaweza kupata watoto kutoka kwao na kusahau kuwa watoto wanatoka kwa Mungu, ni zawadi, hivyo hili nalo linaweza kuwa tatizo kwa mumewe, usisahau soma kipengele 4 hapo juu. Tafadhali usilipuuze hili kwasababu sifa ya mwanaume yeyote ni kuwa na watoto wake wa kuwazaa.

6. je hapo awali alikuwa ana tabia hizo au kama sivyo tabia hizo zimeanza kujitokeza lini

7. ubakaji wa hg, kisheria hata kama angekubali ni ubakaji, je aliijua tabia ya huyo HG wake kabla ya kumuajiri au ameletewa tu na mtu

8. Ndoa za Kikristo hazina talaka, na Mungu anachukia kuachana kwao, na ww ukishiriki kuvunja ndoa yao, Mungu mwenyewe atakuadhibu mpaka utashangaa na kujuta kwanini ulizaliwa

usiwe mtu avunjaye ndoa za watu bali awashaurio kuendelea kudumu katika ndoa zao kwa kuwakumbusha upendo wao wa kwanza


nikipata MAJIBU ninaweza kuchangia zaidi
 
Hako ni kakosa kadogo sana, awe mpole tu, kuna wanawake ambao wanajua kuwa waume zao wanawamega mabinti waliowazaa, i.e binti anamwibia mamake mzazi, na mama anaendela kukomaa katika ndoa!
mhhh! hapa ndo imenishinda mimi.:shock:
 
wanaowamega watoto wao wana laana, wengi wanapenda kwenda kwa wachawi, watabiri wa nyota na waganga wa kienyeji, hawafai katika jamii, yafaa wageuke na kuacha uchafu huo
 
Hako ni kakosa kadogo sana, awe mpole tu, kuna wanawake ambao wanajua kuwa waume zao wanawamega mabinti waliowazaa, i.e binti anamwibia mamake mzazi, na mama anaendela kukomaa katika ndoa!

Hi ni changamoto ya kipeke loo aibu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…