KAMIKAZE zimebadili mwenendo wa vita ya Ukraine

KAMIKAZE zimebadili mwenendo wa vita ya Ukraine

Juma Wage

Member
Joined
Sep 8, 2023
Posts
88
Reaction score
246
Mnamo mwaka 1976, Mwanamuziki maarufu nchini Kongo Franco Luambo Makiadi aliachia kibao chake "Kamikaze".

Kupitia kibao hicho, Franco ameeleza namna alivyovurugwa kimapenzi na binti mrembo "Kamikaze" aliyemsaliti kisha kwenda kuolewa na mwanaume mwingine.

Alichukulia kitendo hicho kama uasi wa kujitoa muhanga na alijiapiza kuto oa tena maishani mwake.

Kwa nini kamikaze?😊

Kamikaze kilikuwa kikosi cha marubani wa ndege vita za Japan waliokuwa wakijitoa muhanga kujilipua juu ya manowari za jeshi la Marekani wakati wa vita vya pili vya dunia.

Hakika kikosi hiki kilikuwa tishio kwa waingereza na wamarekani.

Miongo ikapita baada ya vita na sasa teknolojia imekuwa na kurudisha upya jina la KAMIKAZE.

Safari hii sio rhumba la Franco bali ni silaha matata ya kuangamiza.

Iran wakaja na KAMIKAZE, hii ndio habari ya sasa kwenye uwanja wa Medani.

Hizi ni ndege nyuki (drone) zenye kubeba milipuko kwa lengo la kumuangamiza adui kwenye eneo lengwa.

KAMIKAZE zimebadili mwenendo wa vita ya Ukraine, kilio sio cha mizinga bali ni drone zenye kumuangamiza adui mafichoni.

KAMIKAZE ndizo zilizomfanya ZELENSKY aichukie IRAN.

KAMIKAZE ndiye aliyemfanya Franco aichukie ndoa maisha yake yote.

Ndimi Juma Wage
Dodoma
 

Attachments

  • IMG-20230822-WA0055(3).jpg
    IMG-20230822-WA0055(3).jpg
    34.7 KB · Views: 4
Mnamo mwaka 1976, Mwanamuziki maarufu nchini Kongo Franco Luambo Makiadi aliachia kibao chake "Kamikaze".

Kupitia kibao hicho, Franco ameeleza namna alivyovurugwa kimapenzi na binti mrembo "Kamikaze" aliyemsaliti kisha kwenda kuolewa na mwanaume mwingine.

Alichukulia kitendo hicho kama uasi wa kujitoa muhanga na alijiapiza kuto oa tena maishani mwake.

Kwa nini kamikaze?😊

Kamikaze kilikuwa kikosi cha marubani wa ndege vita za Japan waliokuwa wakijitoa muhanga kujilipua juu ya manowari za jeshi la Marekani wakati wa vita vya pili vya dunia.

Hakika kikosi hiki kilikuwa tishio kwa waingereza na wamarekani.

Miongo ikapita baada ya vita na sasa teknolojia imekuwa na kurudisha upya jina la KAMIKAZE.

Safari hii sio rhumba la Franco bali ni silaha matata ya kuangamiza.

Iran wakaja na KAMIKAZE, hii ndio habari ya sasa kwenye uwanja wa Medani.

Hizi ni ndege nyuki (drone) zenye kubeba milipuko kwa lengo la kumuangamiza adui kwenye eneo lengwa.

KAMIKAZE zimebadili mwenendo wa vita ya Ukraine, kilio sio cha mizinga bali ni drone zenye kumuangamiza adui mafichoni.

KAMIKAZE ndizo zilizomfanya ZELENSKY aichukie IRAN.

KAMIKAZE ndiye aliyemfanya Franco aichukie ndoa maisha yake yote.

Ndimi Juma Wage
Dodoma
Hizo kamikaze mbona hata Ukraine anazo na zinamuhangaisha mno Putin
 
Mnamo mwaka 1976, Mwanamuziki maarufu nchini Kongo Franco Luambo Makiadi aliachia kibao chake "Kamikaze".

Kupitia kibao hicho, Franco ameeleza namna alivyovurugwa kimapenzi na binti mrembo "Kamikaze" aliyemsaliti kisha kwenda kuolewa na mwanaume mwingine.

Alichukulia kitendo hicho kama uasi wa kujitoa muhanga na alijiapiza kuto oa tena maishani mwake.

Kwa nini kamikaze?😊

Kamikaze kilikuwa kikosi cha marubani wa ndege vita za Japan waliokuwa wakijitoa muhanga kujilipua juu ya manowari za jeshi la Marekani wakati wa vita vya pili vya dunia.

Hakika kikosi hiki kilikuwa tishio kwa waingereza na wamarekani.

Miongo ikapita baada ya vita na sasa teknolojia imekuwa na kurudisha upya jina la KAMIKAZE.

Safari hii sio rhumba la Franco bali ni silaha matata ya kuangamiza.

Iran wakaja na KAMIKAZE, hii ndio habari ya sasa kwenye uwanja wa Medani.

Hizi ni ndege nyuki (drone) zenye kubeba milipuko kwa lengo la kumuangamiza adui kwenye eneo lengwa.

KAMIKAZE zimebadili mwenendo wa vita ya Ukraine, kilio sio cha mizinga bali ni drone zenye kumuangamiza adui mafichoni.

KAMIKAZE ndizo zilizomfanya ZELENSKY aichukie IRAN.

KAMIKAZE ndiye aliyemfanya Franco aichukie ndoa maisha yake yote.

Ndimi Juma Wage
Dodoma
Chanzo cha jina kamikaze wala si rhumba bali ni neno la Kijapan na ni njia waliyotumia wanajeshi wa kijapan kwenye vita ya pili ya dunia ambapo walikuwa wakielekeza ndege zao kugonga meli au sehemu waliko maadui wao ili kusababisha mlipuko mkubwa kwasababu ya mafuta ya ndege. In short walikuwa wakijitoa mhanga.
So hizo drone zinaitwa kamikaze kwa sababu ni part ya bomu lenyewe. Ni tofauti na drone nyingine ambazo hiachia bomu ila hizi zinajitoa mhanga kama ma pilot wa kijapan
 
Chanzo cha jina kamikaze wala si rhumba bali ni neno la Kijapan na ni njia waliyotumia wanajeshi wa kijapan kwenye vita ya pili ya dunia ambapo walikuwa wakielekeza ndege zao kugonga meli au sehemu waliko maadui wao ili kusababisha mlipuko mkubwa kwasababu ya mafuta ya ndege. In short walikuwa wakijitoa mhanga.
So hizo drone zinaitwa kamikaze kwa sababu ni part ya bomu lenyewe. Ni tofauti na drone nyingine ambazo hiachia bomu ila hizi zinajitoa mhanga kama ma pilot wa kijapan
aise ,watu wanatofautina pakubwa kuelewa ,mleta Uzi hakuna pahala kasema rhumba ndo mwazilishi wa kamikaze ,kasema ni Japan ,wewe Tena umekuja na maneno yako
 
Chanzo cha jina kamikaze wala si rhumba bali ni neno la Kijapan na ni njia waliyotumia wanajeshi wa kijapan kwenye vita ya pili ya dunia ambapo walikuwa wakielekeza ndege zao kugonga meli au sehemu waliko maadui wao ili kusababisha mlipuko mkubwa kwasababu ya mafuta ya ndege. In short walikuwa wakijitoa mhanga.
So hizo drone zinaitwa kamikaze kwa sababu ni part ya bomu lenyewe. Ni tofauti na drone nyingine ambazo hiachia bomu ila hizi zinajitoa mhanga kama ma pilot wa kijapan
Historia uliyoiandika naifahamu vizuri sana.
Naomba urudie kusoma andiko langu.
Nimetumia ufundi wa lugha na kuhusianisha matukio ili thread imvutie msomaji.

Karibu tena.
 
iran hii hii ikisikia jina la israel chupi inagonga mkojo.
Sio Wakisikia Ila hata Ayatollah Khomeini anaishi kwenye andaki ktk Taifa lake akijuwa kizazi chake Siku moja kitapotezwa. Achana na hao Wana... Wore wanaitukana nakutishia uhai wa hili Taifa wanaishi Chini ya ardhi
 
Back
Top Bottom