Kamisheni ya ngumi za kulipwa Tanzania mtatuambia nini kuhusu pambano la Mwakinyo?

Kamisheni ya ngumi za kulipwa Tanzania mtatuambia nini kuhusu pambano la Mwakinyo?

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Pambano la Mwakinyo na bondia kutoka Ghana limeshindwa kufanyika kwa kuwa Rais wa WBO, Samir Captan hakuwepo uwanjani kuleta mkanda. Maelezo ya Hassan Mwakinyo ni kuwa jamaa hajalipwa hela za mchezo huo.

Kwa kushindwa kuwepo kwa mkanda uliokuwa unashindaniwa pambano limeshindwa kuchezwa.

Fedha za mchezo hutolewa na Kamisheni ya ngumi za kulipwa(TPBRC) ni jambo la ajabu kusema kuwa ameshindwa kulipwa kutokana na uhaba wa dola kwa kuwa hili pambano limepangwa muda mrefu.

Aidha taarifa za ndaani zinasema WBO haijakubaliana na refa aliyepangwa kuchezesha mechi hiyo, sababu iliyomfanya Rais wa WBO-Afrika aondoke na mkanda akarudi hotelini kwake.

Hata hivyo, TPBRC watatuambia nini tuelewe sisi tuliouza usingizi ili kumuona Mwakinyo?

Aibu yetu kwa mgeni kutoka Ghana aliyesafiri kuja kupambana kama taifa tunaipanguaje kwa kuonekana wahuni?


Pia soma: Je, Mwakinyo atatuwakilisha vyema dhidi ya Patrick kutoka Ghana?
 
Mwambieni na ndugu yenu wa Tanga nae apunguze uswahili na ili uwe na mafanikio sio ujue kupigana tu, usione CR7 amefika pale kwa kipaji tu no kuna heshima na unyenyekevu ndani yake.
Sasa Binadamu hao hao alio wadharau kwamba sio kitu kwenye safari yake ya mafanikio leo hii wana mnyoosha.
 
upande wangu nachojua TPBRC walifuta hili pambano siku nyingi kutokana na kutokidhi baadhi ya vigezo..izo sabab anazotoa Mwakinyo ni kutaka kuangusha mzigo wa lawama tu.wamehusika kutapeli watu viingilio na vifurushi vya Azam tv.
 
Mwambieni na ndugu yenu wa Tanga nae apunguze uswahili na ili uwe na mafanikio sio ujue kupigana tu, usione CR7 amefika pale kwa kipaji tu no kuna heshima na unyenyekevu ndani yake.
Sasa Binadamu hao hao alio wadharau kwamba sio kitu kwenye safari yake ya mafanikio leo hii wana mnyoosha.
Heshima na unyeyekevu huku unawafaidisha raia wengine nao ni ujinga. Mwakinyo acha ajiwekee standard zake, wapiganisheni kina Twaha hovyo hovyo
 
Pambano la Mwakinyo na bondia kutoka Ghana limeshindwa kufanyika kwa kuwa Rais wa WBO, Samir Captan hakuwepo uwanjani kuleta mkanda. Maelezo ya Hassan Mwakinyo ni kuwa jamaa hajalipwa hela za mchezo huo.

Kwa kushindwa kuwepo kwa mkanda uliokuwa unashindaniwa pambano limeshindwa kuchezwa.

Fedha za mchezo hutolewa na Kamisheni ya ngumi za kulipwa(TPBRC) ni jambo la ajabu kusema kuwa ameshindwa kulipwa kutokana na uhaba wa dola kwa kuwa hili pambano limepangwa muda mrefu.

Aidha taarifa za ndaani zinasema WBO haijakubaliana na refa aliyepangwa kuchezesha mechi hiyo, sababu iliyomfanya Rais wa WBO-Afrika aondoke na mkanda akarudi hotelini kwake.

Hata hivyo, TPBRC watatuambia nini tuelewe sisi tuliouza usingizi ili kumuona Mwakinyo?

Aibu yetu kwa mgeni kutoka Ghana aliyesafiri kuja kupambana kama taifa tunaipanguaje kwa kuonekana wahuni?


Pia soma: Je, Mwakinyo atatuwakilisha vyema dhidi ya Patrick kutoka Ghana?
Kwanza naomba waache kuichafua WBO kwa kuihusisha na mikanda feki. Huu ni mkanda fekero na siyo wa WBO. Pili mkanda haiwezi kusababisha pambano lisifanyike kwa sababu ushindi hupatikana ulingoni na siyo ni nani ana mkanda. Pambano lingeweza kuendelea na na mshindi akapewa mkanda baadae. Mwisho niseme the whole thing is utapeli, kuanzia waandaji, mkanda na wanatumia WBO kutapeli.
 
Ukiachana na huu uhuni
Kuna hawa watangazaji ni wa hovyo mno yaani wamezidi ushabiki

Rejea pambano la Matumla na yule mkongo
 
Kabisa mkuu. Huyu dogo ana zero discipline anajiona kamaliza kwenye ulimwengu wa boxing. kumbe hata Asset ya million 500 hana. Wacha wakubwa wamfundishe adabu
Mwambieni na ndugu yenu wa Tanga nae apunguze uswahili na ili uwe na mafanikio sio ujue kupigana tu, usione CR7 amefika pale kwa kipaji tu no kuna heshima na unyenyekevu ndani yake.
Sasa Binadamu hao hao alio wadharau kwamba sio kitu kwenye safari yake ya mafanikio leo hii wana mnyoosha.
 
Anapenda ubondia anaogopa Manundu. Mwankinyo Janja sana
 
upande wangu nachojua TPBRC walifuta hili pambano siku nyingi kutokana na kutokidhi baadhi ya vigezo..izo sabab anazotoa Mwakinyo ni kutaka kuangusha mzigo wa lawama tu.wamehusika kutapeli watu viingilio na vifurushi vya Azam tv.
Wewe unaweza kua sahihi.kilichofanyika ni uhuni tu.Sababu zilizotolewa nizakitoto sana ukilinganisha na muda ambao tangazo la pambano lilitolewa.Inaonekana walilazimisha tu kwasababu zakibiashara ila kuna mambo yalikua hayako sawa toka awali.
 
Back
Top Bottom