Kamishna Camillus Wambura ateuliwa kuwa IGP Mpya. Sirro apewa Ubalozi Zimbabwe, Kingai ateuliwa kuwa DCI

Kamishna Camillus Wambura ateuliwa kuwa IGP Mpya. Sirro apewa Ubalozi Zimbabwe, Kingai ateuliwa kuwa DCI

Sukuma gang imekomeshwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Sina hakika na ulicholenga hapa; lakini sioni "kukomeshwa" kwa yeyote katika uteuzi uliofanyika. Na siyo kwa huyo Kingai pekee, bali hata kwa hao wengine.
 
Wambura hakuwa kipenzi cha IGP
Sababu Wamhura alikuwa mtu wa misimamo mikali kwenye Proffession yake
Lakini nje utendaji wake ulionekana na wenye macho makali ndio maana kapata U IGP

Somo kutoka kwa Wambura ni kuwa mchapa kazi azingatie tu maadili ya kazi na mtu achape kazi yako vizuri iko siku uaminifu na kuchapa kazi na kuzingatia maadili kutalipa. Ujanja ujanja na uchawa huwa hauna future sana
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amefanya mabadiliko katika Jeshi la Polisi.

Aliyekuwa IGP Simon Sirro ateulikuwa kuwa balozi nchi Zimbambwe.

Wakati huo huo amefanya mabadiliko ya Makamanda wengine kama inavyoonesha hapa chini
[emoji116][emoji116]

View attachment 2297191View attachment 2297189

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 20 Julai, 2022 amefanya uteuzi kama ifuatavyo:-

Amempandisha cheo Kamishna wa Polisi Camillus Mongoso Wambura, aliyekuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) kuwa Inspekta Jenerali na Mkuu wa Jeshi la Polisi.

Amemteua aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi Simon Nyakoro Sirro kuwa Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe.

Amempangia kituo Balozi Luteni Jenerali Mathew Edward Mkingule kuwa Balozi wa Tanzania nchini Zambia.

Amemteua Dkt. Suleiman Haji Suleiman kuwa Balozi. Dkt. Suleiman ni Afisa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.

Uteuzi huu umeanza tarehe 19 Julai, 2022 na uapisho utafanyika leo tarehe 20 Julai, 2022 saa 05:00 Asubuhi Ikulu, Chamwino Dodoma.

Wakati huo huo, Mhe. Rais amewateua wafuatao kushika nyadhifa mbalimbali kwenye Jeshi la Polisi: -

Amemteua Kamishna wa Polisi (CP) Liberati Sabas Materu kuwa Kamishna wa Fedha na Logistiki. Anachukua nafasi ya (CP) Hamad Khamis Hamad.

Amemteua Kamishna wa Polisi (CP) Hamad Khamis Hamad kuwa Kamishna wa Polisi Zanzibar. Anachukua nafasi ya Kamishna wa Polisi Awadhi Juma Haji.

Amemteua Kamishna wa Polisi (CP) Awadhi Juma Haji kuwa Mkurugenzi wa Operesheni Makao Makuu;

Amempandisha Cheo Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Faustine Constantine Shilogile kuwa Kamishna wa Polisi Jamii. Anachukua nafasi ya CP Mussa Ali Mussa ambaye atapangiwa majukumu mengine.

Amempandisha Cheo Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Ramadhan Hamisi Kingai na kumteua kuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI).

PIA, SOMA: Rais Samia, asema kuna mabadiliko makubwa zaidi yanafuata, ameanza na Jeshi la Polisi
Mbona mapolisi wote wanatoka Mara?!
 
Wengi hamjui katiba inavyotaka.

Vyeo vya ngazi ya URPC anayeteua ni IGP na si rais hivyo kuteuliwa kwa kingai kuwa RPC kigoma rais hajahusika rais akiingilia uteuajinwa RPC moja kwa moja anakuwa kavunja katiba.

Kamisheni kwa maofisa wengi wa jeshi la polisi wanapewa na Rais ila JWTZ ndio wanapewa na Rais.
Ndugu Rudi Shule. RAIS ndo boss wa majeshi yote na anaweza kumuamlisha IGP amteue fulan katika nafas fulan, na hkuna kuvunja Katiba. Kinachoangaliwa ni utawala bora. Kma MTU umemteua MTU mpe nafas atekeleze wajib bila interfearance
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amefanya mabadiliko katika Jeshi la Polisi.

Aliyekuwa IGP Simon Sirro ateulikuwa kuwa balozi nchi Zimbambwe.

Wakati huo huo amefanya mabadiliko ya Makamanda wengine kama inavyoonesha hapa chini
[emoji116][emoji116]

View attachment 2297191View attachment 2297189

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 20 Julai, 2022 amefanya uteuzi kama ifuatavyo:-

Amempandisha cheo Kamishna wa Polisi Camillus Mongoso Wambura, aliyekuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) kuwa Inspekta Jenerali na Mkuu wa Jeshi la Polisi.

Amemteua aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi Simon Nyakoro Sirro kuwa Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe.

Amempangia kituo Balozi Luteni Jenerali Mathew Edward Mkingule kuwa Balozi wa Tanzania nchini Zambia.

Amemteua Dkt. Suleiman Haji Suleiman kuwa Balozi. Dkt. Suleiman ni Afisa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.

Uteuzi huu umeanza tarehe 19 Julai, 2022 na uapisho utafanyika leo tarehe 20 Julai, 2022 saa 05:00 Asubuhi Ikulu, Chamwino Dodoma.

Wakati huo huo, Mhe. Rais amewateua wafuatao kushika nyadhifa mbalimbali kwenye Jeshi la Polisi: -

Amemteua Kamishna wa Polisi (CP) Liberati Sabas Materu kuwa Kamishna wa Fedha na Logistiki. Anachukua nafasi ya (CP) Hamad Khamis Hamad.

Amemteua Kamishna wa Polisi (CP) Hamad Khamis Hamad kuwa Kamishna wa Polisi Zanzibar. Anachukua nafasi ya Kamishna wa Polisi Awadhi Juma Haji.

Amemteua Kamishna wa Polisi (CP) Awadhi Juma Haji kuwa Mkurugenzi wa Operesheni Makao Makuu;

Amempandisha Cheo Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Faustine Constantine Shilogile kuwa Kamishna wa Polisi Jamii. Anachukua nafasi ya CP Mussa Ali Mussa ambaye atapangiwa majukumu mengine.

Amempandisha Cheo Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Ramadhan Hamisi Kingai na kumteua kuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI).

PIA, SOMA: Rais Samia, asema kuna mabadiliko makubwa zaidi yanafuata, ameanza na Jeshi la Polisi
Akumbushwe kuwa huko zimba....aendako asijejisahau akatuzalia mtoto aina ya HAMZA!!!!
 
Takwa la katiba ni la Dola Sio matakwa ya mbowe wala samia!!

Bunge la katiba linapoteuliwa halitoingiza WABUNGE Hao WOTE wa CCM Bali wa kimkakati hasa waliopo nje ya Bunge hili!!

Vichwa vitaingia na Sio Hao watoto wa uchafuzi!!
Kasome sheri ya mabadiliko ya katiba ya mwaka 2011. Tusibishane sana.
 
Ndugu Rudi Shule. RAIS ndo boss wa majeshi yote na anaweza kumuamlisha IGP amteue fulan katika nafas fulan, na hkuna kuvunja Katiba. Kinachoangaliwa ni utawala bora. Kma MTU umemteua MTU mpe nafas atekeleze wajib bila interfearance
Watanzania tuna kazi sana kusoma kitu na kuelewa nini kimeandikwa kabla ya kujibu nacho ni kipaji.
 
Polepole malawi huyu Siro zimbabwe yaani kama ni mimi nakataa uteuzi kutoka IGP wa nchi mpaka unaenda kufanya kazi Zimbabwe, Anyway nampongeza mama ameupiga mwingi sana,
Sijui kama unajua nguvu za Rais wa Nchi.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amefanya mabadiliko katika Jeshi la Polisi.

Aliyekuwa IGP Simon Sirro ateulikuwa kuwa balozi nchi Zimbambwe.

Wakati huo huo amefanya mabadiliko ya Makamanda wengine kama inavyoonesha hapa chini
[emoji116][emoji116]

View attachment 2297191View attachment 2297189

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 20 Julai, 2022 amefanya uteuzi kama ifuatavyo:-

Amempandisha cheo Kamishna wa Polisi Camillus Mongoso Wambura, aliyekuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) kuwa Inspekta Jenerali na Mkuu wa Jeshi la Polisi.

Amemteua aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi Simon Nyakoro Sirro kuwa Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe.

Amempangia kituo Balozi Luteni Jenerali Mathew Edward Mkingule kuwa Balozi wa Tanzania nchini Zambia.

Amemteua Dkt. Suleiman Haji Suleiman kuwa Balozi. Dkt. Suleiman ni Afisa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.

Uteuzi huu umeanza tarehe 19 Julai, 2022 na uapisho utafanyika leo tarehe 20 Julai, 2022 saa 05:00 Asubuhi Ikulu, Chamwino Dodoma.

Wakati huo huo, Mhe. Rais amewateua wafuatao kushika nyadhifa mbalimbali kwenye Jeshi la Polisi: -

Amemteua Kamishna wa Polisi (CP) Liberati Sabas Materu kuwa Kamishna wa Fedha na Logistiki. Anachukua nafasi ya (CP) Hamad Khamis Hamad.

Amemteua Kamishna wa Polisi (CP) Hamad Khamis Hamad kuwa Kamishna wa Polisi Zanzibar. Anachukua nafasi ya Kamishna wa Polisi Awadhi Juma Haji.

Amemteua Kamishna wa Polisi (CP) Awadhi Juma Haji kuwa Mkurugenzi wa Operesheni Makao Makuu;

Amempandisha Cheo Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Faustine Constantine Shilogile kuwa Kamishna wa Polisi Jamii. Anachukua nafasi ya CP Mussa Ali Mussa ambaye atapangiwa majukumu mengine.

Amempandisha Cheo Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Ramadhan Hamisi Kingai na kumteua kuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI).

PIA, SOMA: Rais Samia, asema kuna mabadiliko makubwa zaidi yanafuata, ameanza na Jeshi la Polisi
Hasira na komoa ya mama tunaoumia ni watoto
 
Nani kakuambia siro amestaafu upolisi? Katumbuliwa
Kwa umri wake Mimi naamini amestaafu,pia iliwahi kusemwa wakati wa awamu ya 5 aliongezewa muda tu.

Ila hata Kama ametumbuliwa bado anaenjoy Sana huyo, mshahara wa ubalozi siujui ila naamini Ni pesa nzuri
 
Kasome sheri ya mabadiliko ya katiba ya mwaka 2011. Tusibishane sana.
Mchakato unarudi nyuma, tunaanza pale kwenye RASIMU kabla haijaenda hatua ya kupiga kura Bunge la Katiba

Tutaweka mbinyo vyama vya siasa vitoe idadi sawa ya wawakilishi, makundi mengine pia yatoe watu wao Kwa Umakini mkubwa wasiokuwa mapandikizi.

Hatutakosea kama mwanzo maana ujinga ni wakati wa kwenda tu, Si wakat unarudi.

Amini, Muda wa KATIBA mpya ni sasa.

Ameeeeen.
 
Tatizo lenu wapinzani mnajitoa ufahamu kabisa. Katiba pendekezwa ni zao la rasimu baada ya kujadiliwa na wabunge wa bunge la mabadiliko ya katiba. Kinachofanya hata mimi niikatae katiba pendekezwa ni kwamba ni ya ovyo mno yaani bora hii iliyopo ibaki. Na tukilazimisha sana tunaweza pata katiba mbovu kuliko hii iliyopo kwasababu bado idadi ya wabunge wa upinzani ni ndogo mno.

Ni kweli kabisa, katiba hiyo mpya ikipitishwa kwa utashi wa CCM itakuwa mbaya kuliko hii iliyopo. Inatakiwa machafuko au mapinduzi ndio katiba ya rasimu ya Warioba ipite.
 
Kingai kaulaa Naona IGP katoka kanda pendwa tena!

Soon tutasikia wakili Robert kidando yule alikua kiongozi wa jopo la mawakili wa serikali kwenye kesi ya mbowe nae kateuliwa kuwa jaji.

Kidando anaenda kuwa jaji mkuu.
 
Mchakato unarudi nyuma, tunaanza pale kwenye RASIMU kabla haijaenda hatua ya kupiga kura Bunge la Katiba

Tutaweka mbinyo vyama vya siasa vitoe idadi sawa ya wawakilishi, makundi mengine pia yatoe watu wao Kwa Umakini mkubwa wasiokuwa mapandikizi.

Hatutakosea kama mwanzo maana ujinga ni wakati wa kwenda tu, Si wakat unarudi.

Amini, Muda wa KATIBA mpya ni sasa.

Ameeeeen.
Unaongea tu bila facts. Utaweka mbinyo wewe nani? Kisheria wabunge wote wa bunge la jamhuri ya Muungano wanakuwa wabunge wa bunge la katiba moja kwa moja... jiulize katika hao kuna wapinzani wangapi kwa sasa? Pia kisheria Rais ambaye pia ni mwenyekiti wa CCM akishirikiana na rais wa Zanzibar wanateua wajumbe 203 kuwa wabunge wa bunge la mabadiliko ya katiba. Hao marais wote wawili ni wajumbe wa kamati kuu ya CCM. Unadhani watafanya makosa ya kuteua watu walio kinyume nao kiitikadi? Vijana wa upinzani msiwe wapumbavu muwe mnajisomea mambo madogo madogo badala ya kutoka mapovu kama wehu.
 
Ni kweli kabisa, katiba hiyo mpya ikipitishwa kwa utashi wa CCM itakuwa mbaya kuliko hii iliyopo. Inatakiwa machafuko au mapinduzi ndio katiba ya rasimu ya Warioba ipite.
Rasimu ya Warioba itapitaje wakati lazima ijadiliwe na bunge la mabadiliko ya katiba? Yaani viongozi wa upinzani kuna John Pumbulu hawawafafanulii mambo mengi muhimu na kuishia tu kutaja rasimu ya Warioba.
 
Rasimu ya Warioba itapitaje wakati lazima ijadiliwe na bunge la mabadiliko ya katiba? Yaani viongozi wa upinzani kuna John Pumbulu hawawafafanulii mambo mengi muhimu na kuishia tu kutaja rasimu ya Warioba.

Ni kweli kabisa, kama hiyo rasimu itajadiliwa na wabunge wa CCM waliopatikana kwa wizi wa kura, hapo itakuwa mbaya. Hayo mahesabu ya kujadiliwa na bunge hili la majizi ya kura hatuko nayo boss.
 
Unaongea tu bila facts. Utaweka mbinyo wewe nani? Kisheria wabunge wote wa bunge la jamhuri ya Muungano wanakuwa wabunge wa bunge la katiba moja kwa moja... jiulize katika hao kuna wapinzani wangapi kwa sasa? Pia kisheria Rais ambaye pia ni mwenyekiti wa CCM akishirikiana na rais wa Zanzibar wanateua wajumbe 203 kuwa wabunge wa bunge la mabadiliko ya katiba. Hao marais wote wawili ni wajumbe wa kamati kuu ya CCM. Unadhani watafanya makosa ya kuteua watu walio kinyume nao kiitikadi? Vijana wa upinzani msiwe wapumbavu muwe mnajisomea mambo madogo madogo badala ya kutoka mapovu kama wehu.
We ndo punguza mihemko.

Hakuna wa kuzuia ujio wa KATIBA mpya muda umefika.

Hizo Sheria zitatungwa upya, idadi ya wabunge itakuwa sawa kulingana na makundi husika.

2026 ni mwaka wa kukamilika KATIBA mpya.
 
Ni kweli kabisa, kama hiyo rasimu itajadiliwa na wabunge wa CCM waliopatikana kwa wizi wa kura, hapo itakuwa mbaya. Hayo mahesabu ya kujadiliwa na bunge hili la majizi ya kura hatuko nayo boss.
Mimi nashauri wapinzani wapambanie tume huru ya uchaguzi kwanza. Tume ikiwa huru watapata wabunge wengi hivyo kwa baadae itasaidia kupata katiba mpya. Tukilazimisha sasa hivi itakuwa haina maana.
 
Back
Top Bottom