EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Unaposema yupo miaka mingi kwani yupo peke yake? Kuwa na akiliSio kweli..Kingai yupo miaka mingi jeshini, Kesi ya juzi haina uhusiano na kupanda kwake.
Hapa kati yamepita mengi, ila wazuri na wabaya wapo.
Usimtie moyo Simon kesha pigwa za uso huo ubalozi hamna lolote hapoNi walewale wa kila siku kubadirishwa vitengo tu. Kwa Siro hana cha kujutia kwasababu wapo waliotoka kwenye kuwa IGP na ubalozi hawakuuonja asirani.
Halafu kama kweli ujue😂😂😂😂😂Kingai ameula....ila jamaa mbona ana sura ya kitapeli
Wewe ulipaswa kua na akili kabla ya kuandika. Kingai ana mengi kwenye utumishi wake mpaka akaonekana na kupewa hiyo nafasi. Kesi ya Mbowe ni mawazo yako dogo..Unaposema yupo miaka mingi kwani yupo peke yake? Kuwa na akili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kutakuwa na maslahi yao sio bure tuuPopularity ya Kingai kwa sehemu kubwa imepaishwa na kesi ya Mbowe huo ndio ukweli, RPC wengi media ndio zimewapaisha.
Nawasilisha nikitokea
Kwa "PUT IN"
Jamaa kuwa na utashi hata kidooogo unajua cheo cha kingai vs walio juu yake?Wewe ulipaswa kua na akili kabla ya kuandika. Kingai ana mengi kwenye utumishi wake mpaka akaonekana na kupewa hiyo nafasi. Kesi ya mbowe ni mawazo yako dogo..
Rasimu sio katiba.Katiba mpya itasimamia vema jeshi la polisi lisiumize raia kwa kufuata maagizo ya wanasiasa kama ilivyo Sasa!!hata akiteuliwa yeyote kwenye nafasi yoyote atasimamiwa na Katiba na kutovuka mstari uliochorwa na sheria mama!
Ndio maana sisi wenye hekima tunaimba wimbo huu hapa:-
""Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA""!!
Hongera Wambura
Kuchapa kazi kinalipa.
Ninamkubali alipokuwa kinondoni kabla kuhamishwa majambazi yalinyooka na kushika adabu
Hata mama Samia aliwahi.muongelea kama akilalamika uhamisho wake.akihutubia .Ali sent message sijui kama wasikilizaji wahusika walielewa ile meseji.
Kifupi majambazi nchi nzima yajiandae
Wambura ndio.eneo lake analolipenda yatakiona cha mtema kuni.
Alipangiwa cha kufanya..Jamaa kuwa na utashi hata kidooogo unajua cheo cha kingai vs walio juu yake?
Rasimu sio katiba.
Tuanzie pale ilipoishia Rasimu itawazwe kuwa katiba!Rasimu sio katiba.
Rasimu lazima ijadiliwe na bunge la mabadiliko ya katiba ili ipatikane katiba pendekezwa ambayo wananchi tutaipigia kura. Nyie wapinzani mstitake kuleta janja janja za kutaka kuruka steps za muhimu.Tuanzie pale ilipoishia Rasimu itawazwe kuwa katiba!
Zibaki mbili na sio TATU kama CIA,MOSSAD,NCI,M16 na wengineo walivyo fanya utafiti!!
Narudia Tena:-
"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
Sijui ni lini tutakuwa serious? Sitaki kuamini kwamba DCI anaweza kuteuliwa ghafla bila kuwa imeandaliwa kwa muda. Sasa kama ilikuwa imeshaandaliwa, mantiki ya kumpeleka Kigoma ilikuwa nini?Wankyo Ranadhan Nyigesa Ndiyo Jahazi Imezama Sasa Hivi
Atastaafu Kwa Cheo Hicho Hicho
Kingai Kigoma Ana Week Anarudi Dodoma
Ndio maana ya NENO irudi mezani Sasa iwe Katiba mpya!!Rasimu lazima ijadiliwe na bunge la mabadiliko ya katiba ili ipatikane katiba pendekezwa ambayo wananchi tutaipigia kura. Nyie wapinzani mstitake kuleta janja janja za kutaka kuruka steps za muhimu.
Hongera kwa IGP Mpya!
Ingawa kwa Katiba yetu ile ile hakuna jipya,huenda huyo ataleta mabadiliko katika Jeshi la Polisi.Labda atalifanya kuwa chombo Cha kutumikia wananchi badala ya kutumikia Chama pendwa kwa maslahi yake.
Itapendeza kama atalifumua Jeshi la Polisi na kuliunda upya kama huko nyuma baadhi ya wadau walivyopendekeza!