Kamishna Camillus Wambura ateuliwa kuwa IGP Mpya. Sirro apewa Ubalozi Zimbabwe, Kingai ateuliwa kuwa DCI

Kamishna Camillus Wambura ateuliwa kuwa IGP Mpya. Sirro apewa Ubalozi Zimbabwe, Kingai ateuliwa kuwa DCI

Ni kweli atakuwa amelipwa kwa ile kazi ya kidhalimu aliyotumwa kuifanya, kuwatesa kina Adamoo na wenzake.

Viongozi wa CCM hawajawahi kuitakia mema hii nchi, ni wasanii tu, natumai Mbowe next time akikutana na Samia kwenye maridhiano atampongeza kwa huo uteuzi wa Kingai.
 
Katiba mpya itasimamia vema jeshi la polisi lisiumize raia kwa kufuata maagizo ya wanasiasa kama ilivyo Sasa!!hata akiteuliwa yeyote kwenye nafasi yoyote atasimamiwa na Katiba na kutovuka mstari uliochorwa na sheria mama!

Ndio maana sisi wenye hekima tunaimba wimbo huu hapa:-


""Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA""!!
Rasimu sio katiba.
 
Hongera Wambura
Kuchapa kazi kinalipa.

Ninamkubali alipokuwa kinondoni kabla kuhamishwa majambazi yalinyooka na kushika adabu

Hata mama Samia aliwahi.muongelea kama akilalamika uhamisho wake.akihutubia .Ali sent message sijui kama wasikilizaji wahusika walielewa ile meseji.

Kifupi majambazi nchi nzima yajiandae
Wambura ndio.eneo lake analolipenda yatakiona cha mtema kuni.

Mbambikia kesi huyo.
 
Hakika Rais Mama Samia ameteka mioyo ya watanzania wote.

Amerudisha TABASU la furaha na faraja kwa watanzania wote.

Mungu amlinde na wabaya wote.
 
Tuanzie pale ilipoishia Rasimu itawazwe kuwa katiba!

Zibaki mbili na sio TATU kama CIA,MOSSAD,NCI,M16 na wengineo walivyo fanya utafiti!!

Narudia Tena:-

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
Rasimu lazima ijadiliwe na bunge la mabadiliko ya katiba ili ipatikane katiba pendekezwa ambayo wananchi tutaipigia kura. Nyie wapinzani mstitake kuleta janja janja za kutaka kuruka steps za muhimu.
 
Wankyo Ranadhan Nyigesa Ndiyo Jahazi Imezama Sasa Hivi
Atastaafu Kwa Cheo Hicho Hicho
Kingai Kigoma Ana Week Anarudi Dodoma
Sijui ni lini tutakuwa serious? Sitaki kuamini kwamba DCI anaweza kuteuliwa ghafla bila kuwa imeandaliwa kwa muda. Sasa kama ilikuwa imeshaandaliwa, mantiki ya kumpeleka Kigoma ilikuwa nini?
 
Rasimu lazima ijadiliwe na bunge la mabadiliko ya katiba ili ipatikane katiba pendekezwa ambayo wananchi tutaipigia kura. Nyie wapinzani mstitake kuleta janja janja za kutaka kuruka steps za muhimu.
Ndio maana ya NENO irudi mezani Sasa iwe Katiba mpya!!

Hata vinyonga wa kijani kama wewe na mimi wengi tunataka Rasimu irudi na sio ule utopolo wa Katiba pendekezwa iliyojaa matakwa ya mafisadi wale!!


Narudia tena

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA""!
 
Hongera kwa IGP Mpya!
Ingawa kwa Katiba yetu ile ile hakuna jipya,huenda huyo ataleta mabadiliko katika Jeshi la Polisi.Labda atalifanya kuwa chombo Cha kutumikia wananchi badala ya kutumikia Chama pendwa kwa maslahi yake.
Itapendeza kama atalifumua Jeshi la Polisi na kuliunda upya kama huko nyuma baadhi ya wadau walivyopendekeza!

Labda kama hujui kwamba aliemteuwa in other hand ni mwenyekiti wa hicho chama pendwa.
 
Back
Top Bottom