Kamishna Camillus Wambura ateuliwa kuwa IGP Mpya. Sirro apewa Ubalozi Zimbabwe, Kingai ateuliwa kuwa DCI

Kamishna Camillus Wambura ateuliwa kuwa IGP Mpya. Sirro apewa Ubalozi Zimbabwe, Kingai ateuliwa kuwa DCI

MSAADA, Mfano Kiongozi akipewa advance ya dili kubwa, ila kabla dili hajalikamilisha akatumbuliwa. Inakuaje hiyo?
 
Kuna mwanafalsafa aliwahi sema

"free things are never served with respect, learn to hustle"

Leo hii Sirro anakua balozi same as Polepole tena Zimbabwe huku akina Hoyce Temu wakipewa balozi nchi nzito nzito huko Ulaya.
Kwani mabalozi wanatofautiana mishahara na stahili nyingine!? Naona Kama unajichekesha mwenyewe! Maana Sirro hakuuokota u_IGP.
 
Hivi Kingai ni mfano wa kuigwa ndani ya serikali hii?

Tukisema hili ni pambo la serikali tunakosea?

Na wakati huo huo, akina Mbowe wanaamini wanazungumza na mtu makini kuhusu maswala ya nchi?
Aliyepewa kapewa,ndio ivyo mungu kashamkadiria
 
Ulitaka uwe wewe?
Huu ni upumbavu, jadili hoja iliyotolewa na hayo ni maoni yangu nawe upo free kuchangia,dot.com wengi wapo out of touch na reality on the ground, ona wanavyolalama kuhusu ajira za muda za sensa!
 
Rais yoyote mwenye Akili Timamu ni lazima tu atateua Watu wa kutoka Kanda Maalum ( Kwetu Mkoani Mara ) kushika hizi Nafasi za Taasisi Nyeti na za Kimedani.

Kiulinzi na Kiusalama nchi ikiwa chini ya wana Medani wa Mkoani Mara ( Musoma ) itakuwa salama muda wote na Wananchi watafurahi.

Hongera yako sana Poti wangu wa Kikurya na Kizanaki IGP Wambura ila usiache tu mara moja moja kuja Kijiweni Mbezi Beach kwa Mzee Juma ( Mpwae Mzee Nimrod Mkono) kula Nyama na kupiga nasi Stori Nduguzo Wazanaki.

Pia usiache kwenda kuwatembelea Wazee wako unaowaheshimu na Kuwapenda kutokana na Utendaji wao mkubwa na Uliotukuka wenye Uzalendo kwa Taifa hili Wazanaki Wawili akina Mzee Butiku pale Kwake Mabwepande na yule Mwingine ( namhifadhi ) aishiye Jirani na Coco Beach ambao ndiyo walikuwa Mwalimu Nyerere's Think Tanks na bado wanaendelea kutumika Kiushauri mpaka sasa.

Wana Mara ( Musoma ) tunakuombea Majukumu mapya mema, Usiogope, Usitishwe, Jiamini, usimuangushe Rais Samia na mtangulize mno Mwenyezi Mungu kwani najua kuanzia sasa idadi ya Maadui zako itaongezeka.

Mengine nitaongea nawe Inbox Oky?
chawa kazini
 
Kuna mwanafalsafa aliwahi sema

"free things are never served with respect, learn to hustle"

Leo hii Sirro anakua balozi same as Polepole tena Zimbabwe huku akina Hoyce Temu wakipewa balozi nchi nzito nzito huko Ulaya.
Siro umri umeenda anaendelea kustaafu kwa neema,

Jililie wewe na ukoo wako
 
Back
Top Bottom