Kamishna wa ardhi mkoa wa Geita haonekani ofisini, anaishi mkoa wa Mwanza

Kamishna wa ardhi mkoa wa Geita haonekani ofisini, anaishi mkoa wa Mwanza

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Mh. William Lukuvi, tunaomba utusaidie kumwajibisha kamishina wa ardhi mkoa wa Geita akae ofisi ahudumie wananchi.

Mtumishi huyu amekuwa haonekani ofisini na anaishi mkoa wa Mwanza anafanyia kazimkoa wa Geita. Wananchi wanateseka kupata huduma kupitia ofisi yake na ukizingatia kuwa nafasi yake haikaimishwi. Ikiwezekana apewe kazi nyingine
 
Mh. William Lukuvi, tunaomba utusaidia kumwajibisha kamishina wa ardhi mkoa wa Geita akae ofisi ahudumie wananchi. Mtumishi huyu amekuwa haonekani ofisini na anaishi mkoa wa Mwanza anafanyia kazimkoa wa Geita. Wananchi wanateseka kupata huduma kupitia ofisi yake na ukizingatia kuwa nafasi yake haikaimishwi. Ikiwezekana apewe kazi nyingine
Naomba kusahihishwa. Hivi neno KAMISHINA si ni kwa ngazi ya taifa ?!.
Nikidhani mkoani na ngazi ya wilaya ni MAAFISA

Naomba kuelimishwa [emoji120]

Odhis *
 
Kama Anafanya kazi kwa maagizo ya bosss je [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Ana umri gani huyu kamishna. Usije sikia kafia nyumba ya wageni alikoingia na binti mdogo. Maana ndio akili za watendaji serikalini hivi sasa. Wao ni mbususu tu mpaka wanafiapo. Unadhani kwa nini analala Mwanza?.
 
Ni real,nilifika hapo kufatilia hati ya kiwanja,nilisumbuka sana, rushwa imetamalaki hapo,kuna watu wananjaa sana pale,hiyo ilikuwa mwaka huu mwezi Wa kwanza,watumishi wakiona mtu anakuja pale wanajua ni pesa,ofisi ya kaminishina imetamaki rushwa, haina tofauti na ofisi ya mtu binafsi,maana pale ili mambo yako yaende lazima utoe kitu kidogo.


Ilifikia nikatoa taarifa Takukuru,tukaa da Namna ya kumkamata ,ila roho Yangu iliniuma sana kuona namharibia mtumishi mwenzangu,maana niliwaza kuhusu familia na ndugu zake nikaamua kukaa kimya,nikatoa yakaisha,mwisho watumishi wawe waaminifu wasipende rushwa itawagharimu sana

Mwisho ni kweli huwezi kumkuta huyo kamishina ,ni nadra sana,
 
Back
Top Bottom