Kamishna wa Kudhibiti dawa za Kulevya: Bangi ya Tanzania haifai kwenye Masoko ya Kimataifa

mtaani zimejaa kushabu hizo original kuzipata kipengele!
 

View: https://twitter.com/millardayo/status/1724390560096473579?t=ht--BdSQpf35r48oE2jlRw&s=19
 
Najiuliza, watu wenye maadili, fikra na maarifa kama haya wanatoka wapi?

Sasa ndio naanza kuamini majina uliyopewa utotoni na hatma ya maisha yako. Yaani fikra zako, matendo yako na hulka zako huwa siku zote zinaendana na Jina lako.
Mfano Rehema, akiitwa Rehema, basi anakuwa wa Rehema rehema, Vivyohivyo, ninaposikia jina Peter, ninafikiria inspiration zake kwenye biblia. Walakin, jina lake la pili, Ati MFISI, mimi nasikia MFILISI.

Kwa matamshi yake hayo, naona ni Mfilisi tu wa Fikra na maarifa chanya. Itoshe, wapo walima bangi Arusha wenye kulima bangi zenye viwango vya kimatifa. Sobai! Asituchanganye.

Hizo fikra zake ni fikra potofu tu, hazina uhalisia.
 
....niongeze tu, wao ukiwauliza wanapata wapi kanuni na weledi wao kwenda kuwakamata walima na wavuta bangi watakuambia wanatumia uweledi wa Kimataifa, mbinu na maarifa za Kimatifa....kwa kutumia hela za Kimataifa!

Sasa unamkamataje mlima bangi na mvuta bangi isiyokuwa na sifa za Kimataifa kwa kanuni za Kimataifa? Si ni kutiana umasikini tu.

Sijui alivuta nini!
 
Wameanza kulegea, sasa ni 50/50 amekiri iko bangi nzuri huko nje ila ya kwetu ndio mbaya, basi sawa tuagize nje mbegu ya hiyo bangi nzuri kisha tulime kwenye greenhouse anazotaka kisha tuvute.

Bangi oyeee!
 
Mnaanza kutekwa kiakili taratibu ooh inayolimwa holela haifai
Nani kasema wananunua bangi ya majani hajui mbegu zinakamuliwa?

Naona wanataka kuhalalisha ila vibali watapewa matajiri wakubwa wafaidi wote

Halafu kumbe hata lile shamba Magu alimpa yule mzee tajiri alimie miwa kwa sukari kwa hiyo haifai pia au mimi ndio nilikuwa naota
 
Si ni harambee kulima bangi Tanzania, hiyo waliyoipima ubora imelimwa na nani? Au walichukua hizihizi wanazokamata wakaenda kupima? Au serikali ina mashamba yake?
 
Alijaribu lini?
Hiyo aliyojaribia alilima wapi?
Alililma kwa kusudi gani?
Na kama ingefaa alifikiria kufanya nini nayo?
 
Amejuaje ubora ?

kwanza kabisa akiri kwamba kashawahi kujaribu kuivuta ila kwa kukosa elimu ya matumizi sahihi ya hui mmea huenda alivuta zile chenga zinazobakia chini kabisa kwenye ndoo mzigo ukiisha.
Wapumbav sana ,hawajui jinsi nchi zinavyoelekeza kwenye hilo zao
Bangi ina matumizi mengi sana ,kuanzia kama malighafi katika uzalishaji wa dawa , kutumika kama stimulant ,kutumika kama malighafi ya kuzalisha fibers Kwa ajili ya uzalishaji wa nguo ,kutumika kama malighafi ya kuzalisha mafuta ya kuendesha mitambo (biodiesel) nk
 
Huyo mpuuzi anayesema bangi ya Tanzania haina ubora yeye anajua mmea wa bangi wa Tanzania ni wa aina gani ?na unafaa katika shughuli gani mpaka. Aseme hauna ubora ?
 
Amejuaje ubora ?

kwanza kabisa akiri kwamba kashawahi kujaribu kuivuta ila kwa kukosa elimu ya matumizi sahihi ya hui mmea huenda alivuta zile chenga zinazobakia chini kabisa kwenye ndoo mzigo ukiisha.
Kamishna alivuta vumbi la bangi,,na sio bangi yenyewe arudi akafanye uchunguzi tena naamini atarudi na majibu tofauti kabisaa!!
 
Bhangi ya Tanzania ni Bush weed, ina THC ndogo kama serengeti light wakati ya greenhouse ni kama Jack Daniels.
Hiyo bush weed bado ina matumizi pia ,kama nilivyoeleza hapo juu ,inaweza tumika katika mojawapo ya matumizi niliyooridhesha hapo juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…