Tetesi: Kamishna wa Madini Asimamishwa kimya kimya

Tetesi: Kamishna wa Madini Asimamishwa kimya kimya

Kuna Taarifa ambazo si rasmi kwamba, kamishna wa madini wa wizara ya nishati na Madini alisimamishwa kimya kimya bila habari zake kutangazwa.

Vile vile, kamishna wa Nishati wa wizara hiyo naye alisimamishwa kimya kimya, Gazeti la Mtanzania limelipoti kwamba,.

"Kwa taarifa walizonazo ambazo bado hazijathibitishwa ni kwamba makamishna hao wamesimamishwa kimya kimya".
Brigedia Chan-ocha kamishna yupi aliyesimamishwa? Alikuwa anaitwa nani?
 
unbelievable

http://s07.jamiiforums.com/mini/uyE8/bg_000000/txt_000000/border_000000/flags_0/
 
Wanaosimamishwa si makada wa CCM. Ni majizi na manyang'au
Vipi lile jizi na nyang'au lenye ICD iliyokwiba fedha za kodi na ina shipping line ambayo mizigo yake inapita kimagumashi bandarini na pia linatorosha meno ya tembo kwenda China kwa meli zake na pia ni li sekretari jenero pale Lumumba
 
Labda hiyo ndiyo staili aliyosema Waziri wa wizara hiyo atatumia, Mr Muhongo.
 
Nikusafisha tu
Tena Naona kama kasi inapungua
Ninachoona watumbuaji wa majipu wanaangalia sura za wahusika. Mbona kuna mijizi imebainishwa na mkaguzi wa ndani wa DUWASA Dodoma. Lakini wamesameaheana kimyakimya. Kila kukicha vikao vya kuwajadili vinaendelea na hakuna maamuzi yoyote. Wamekwiba mamilioni ila kwa kuwa ni watoto watoto wa vigogo wa CCM kila mtu anawaogopa.
 
Makamishna wanateuliwa na raisi. Kusimamishwa sio uwajibikaji au kufukuzwa kazi. Ukiona mwenzko ananyolewa wewe tia maji
 
Kuna Taarifa ambazo si rasmi kwamba, kamishna wa madini wa wizara ya nishati na Madini alisimamishwa kimya kimya bila habari zake kutangazwa.

Vile vile, kamishna wa Nishati wa wizara hiyo naye alisimamishwa kimya kimya, Gazeti la Mtanzania limelipoti kwamba,.

"Kwa taarifa walizonazo ambazo bado hazijathibitishwa ni kwamba makamishna hao wamesimamishwa kimya kimya

It is a good strategy badala ya kuwapigia mayowe!!!
 
Ni yule kamishna masanja nn? Mbona wanamsifu Sana ni jembe alivokuwa TMA Ile taasisi ilikuwa inafanya vizuri ktk ukaguzi wa migodi... Duuh naye kumbe jipu..
 
Hao mabwana ni kweli wamesimamishwa na Katibu Mkui husika. Sababu hazijapatikana rasmi na si za kiutendaji kabisaa wala za kifisadi..kwa kifupi hao jamaa hawakuwa majipu na hawatakuwa majipu asilani. WATEULE wa Awamu hii wana dalili ya kumwangusha JPM sababu hawaelewei chakufanya. Activity plan ni hawana sijui wanfanyeje kazi
Mkuu makamishna wote wanateuliwa na raisi mkuu.
Na katika pita pita nimesikia kuwa Muhongo ndie aliye lobby kusimamishwa akitaka apatiwe wary wenge prof na doctorates.
Kwa kifupi mchezo huu mchafu kacheza muhongo.
 
Kuna Taarifa ambazo si rasmi kwamba, kamishna wa madini wa wizara ya nishati na Madini alisimamishwa kimya kimya bila habari zake kutangazwa.

Vile vile, kamishna wa Nishati wa wizara hiyo naye alisimamishwa kimya kimya, Gazeti la Mtanzania limelipoti kwamba,.

"Kwa taarifa walizonazo ambazo bado hazijathibitishwa ni kwamba makamishna hao wamesimamishwa kimya kimya".


Mkuu acha uzushi. Nimecheki na wasaidizi wa wahusika wanasema hakun jambo kama hilo. Wewe umetoa wapi?
 
Ni yule kamishna masanja nn? Mbona wanamsifu Sana ni jembe alivokuwa TMA Ile taasisi ilikuwa inafanya vizuri ktk ukaguzi wa migodi... Duuh naye kumbe jipu..
Mkuu huyu aliteuliwa na Kikwete kwenye ile batch ya mwisho ya Makatibu wakuu ula Magu akaja akampiga chini

Hutu mtoa uzi aseme ni kamishna yupi kasimamishwa maana pale wapo wawili wa Nishati na wa Madini?
 
Back
Top Bottom