Tetesi: Kamishna wa Madini Asimamishwa kimya kimya

Tetesi: Kamishna wa Madini Asimamishwa kimya kimya

Huo ndiyo mfumo wa uendeshaji wa serikali kwa sasa.Nasikia wateule wa serikali hii ukipita mwezi mmoja bila ya kumfukuza Kazi au kumsimamisha mtumishi yeyote aliye chini ya mamlaka yake,basi mteule huyo atapaswa kuandika barua ya maelezo kwa nini hajafukuza au kusimamisha mtu kazi.
Huo ni mtazamo wako.. Umesikia toka kwa nani? Nani jag ukubwa bila sababu hebu tuwekee majina hapa na sehemu zao za Kazi ili tujue Kweli wewe unachosema kina mashiko ....
 
Kuna Taarifa ambazo si rasmi kwamba, kamishna wa madini wa wizara ya nishati na Madini alisimamishwa kimya kimya bila habari zake kutangazwa.

Vile vile, kamishna wa Nishati wa wizara hiyo naye alisimamishwa kimya kimya, Gazeti la Mtanzania limelipoti kwamba,.

"Kwa taarifa walizonazo ambazo bado hazijathibitishwa ni kwamba makamishna hao wamesimamishwa kimya kimya".
Inawezekana walisimama muda mrefu?
 
Kinachotokea sasa hivi ndio kinazidi kuzalisha maswali kuhusu uongozi uliopita kwamba ulikuwa unafanya nini.....
Kiukweli ukiacha katiba hii inayowarinda wezi....viongozi wote wa awamu iliyopita walitakuwa wawe magerezani.....
 
Back
Top Bottom