Brigedia Chan-ocha kamishna yupi aliyesimamishwa? Alikuwa anaitwa nani?Kuna Taarifa ambazo si rasmi kwamba, kamishna wa madini wa wizara ya nishati na Madini alisimamishwa kimya kimya bila habari zake kutangazwa.
Vile vile, kamishna wa Nishati wa wizara hiyo naye alisimamishwa kimya kimya, Gazeti la Mtanzania limelipoti kwamba,.
"Kwa taarifa walizonazo ambazo bado hazijathibitishwa ni kwamba makamishna hao wamesimamishwa kimya kimya".
Wezi waliolelewa na CCM hyohyo,vipi akina BakhressaH maana akina masamakey washafunguliwa mashtakaWanaosimamishwa si makada wa CCM. Ni majizi na manyang'au
Majipu yatumuliwe tu mpaka yaishe
Wanaosimamishwa si makada wa CCM. Ni majizi na manyang'au
Wanaosimamishwa si makada wa CCM. Ni majizi na manyang'au
Vipi lile jizi na nyang'au lenye ICD iliyokwiba fedha za kodi na ina shipping line ambayo mizigo yake inapita kimagumashi bandarini na pia linatorosha meno ya tembo kwenda China kwa meli zake na pia ni li sekretari jenero pale LumumbaWanaosimamishwa si makada wa CCM. Ni majizi na manyang'au
Ninachoona watumbuaji wa majipu wanaangalia sura za wahusika. Mbona kuna mijizi imebainishwa na mkaguzi wa ndani wa DUWASA Dodoma. Lakini wamesameaheana kimyakimya. Kila kukicha vikao vya kuwajadili vinaendelea na hakuna maamuzi yoyote. Wamekwiba mamilioni ila kwa kuwa ni watoto watoto wa vigogo wa CCM kila mtu anawaogopa.Nikusafisha tu
Tena Naona kama kasi inapungua
Kuna Taarifa ambazo si rasmi kwamba, kamishna wa madini wa wizara ya nishati na Madini alisimamishwa kimya kimya bila habari zake kutangazwa.
Vile vile, kamishna wa Nishati wa wizara hiyo naye alisimamishwa kimya kimya, Gazeti la Mtanzania limelipoti kwamba,.
"Kwa taarifa walizonazo ambazo bado hazijathibitishwa ni kwamba makamishna hao wamesimamishwa kimya kimya
Mkuu makamishna wote wanateuliwa na raisi mkuu.Hao mabwana ni kweli wamesimamishwa na Katibu Mkui husika. Sababu hazijapatikana rasmi na si za kiutendaji kabisaa wala za kifisadi..kwa kifupi hao jamaa hawakuwa majipu na hawatakuwa majipu asilani. WATEULE wa Awamu hii wana dalili ya kumwangusha JPM sababu hawaelewei chakufanya. Activity plan ni hawana sijui wanfanyeje kazi
Wewe unajuaje kama ni majipu? Mbona muhongo hajaondoka mpaka sasa wakati jipu lake linatoka usaa.Majipu yatumuliwe tu mpaka yaishe
Mmmh huyu sisiemu nae nani kakuuliza hahahahaWanaosimamishwa si makada wa CCM. Ni majizi na manyang'au
Kuna Taarifa ambazo si rasmi kwamba, kamishna wa madini wa wizara ya nishati na Madini alisimamishwa kimya kimya bila habari zake kutangazwa.
Vile vile, kamishna wa Nishati wa wizara hiyo naye alisimamishwa kimya kimya, Gazeti la Mtanzania limelipoti kwamba,.
"Kwa taarifa walizonazo ambazo bado hazijathibitishwa ni kwamba makamishna hao wamesimamishwa kimya kimya".
wewe wasema.Wanaosimamishwa si makada wa CCM. Ni majizi na manyang'au
Mkuu huyu aliteuliwa na Kikwete kwenye ile batch ya mwisho ya Makatibu wakuu ula Magu akaja akampiga chiniNi yule kamishna masanja nn? Mbona wanamsifu Sana ni jembe alivokuwa TMA Ile taasisi ilikuwa inafanya vizuri ktk ukaguzi wa migodi... Duuh naye kumbe jipu..