Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnamharibia kama mlivyofanya kwa Suzan!Kutoka kwenye korido za makumbusho naambiwa kamishna wa Polisi Tatu Jumbe ni moja ya askari polisi wachapakazi, waadalifu na wenye utumishi mzuri ndani ya jeshi hilo.
Hivyo msishangae siku moja nyota yake iking’aa vizuri akawa IGP wetu.
Wakiona dalili wanaanza kuharibia mwenzaoHayohayo tu ya Sazana Kaganda. Hamuwezi kukaa kimya.
MzuriKutoka kwenye korido za makumbusho naambiwa kamishna wa Polisi Tatu Jumbe ni moja ya askari polisi wachapakazi, waadalifu na wenye utumishi mzuri ndani ya jeshi hilo.
Hivyo msishangae siku moja nyota yake iking’aa vizuri akawa IGP wetu.
Wakristo kwann mna chuki za kijinga sana? Mnataka nchi nzima uongozi muwe nyinyi tu eti!?Na ndio lengo la mama yenu anataka amfanyie hivyo,amejaa udin chanzo cha kumtoa kaganda
Atavuliwa muda sio mrefu wapi Masauni?Mshaanza kugawa cheo cha IGP wakati aliyepo hajatoka? Ina maana amevurunda? 😂 😂 😂 😂 😂