Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Hili zoezi gumu sana ingawa KAMISHNA wetu anajitahidi kupambana naloooooooo
MH KAMISHNA WA Madawa ya kulevyaaaaaa
KUNA haya mabasi yanatokea Kenya na ugandaaaa
Fanyaaaa showe wiki nzimaaa
Kwenye koridor wanapokanyagia abiria ukiona screw PEMBEN fungueni toeni zile bati mwone wanachowekaa
N BALAA na nusu..najua una majukumu mazitooo BADOOO utapata mda WA kufanya zoezi hili
Huko UTAKUTANA na mirungii ..madawa ya kulevya...bangi kama zote wakishafungua wanaweka kwa ndani wanafunga we unakuja hakuna kitu kwa juu kisa unakanyaga .....
Zoezi la kutia hii mizigoo hufanywa mwisho WA basi wale wah huwa hawashuki wanaenda pale basi zinapoishia wanafunguliwa mizigo yao wanakula cheers
Wanamshukuru....kuwafikisha salama
Allah saidia watoto wetuu sana
MH KAMISHNA WA Madawa ya kulevyaaaaaa
KUNA haya mabasi yanatokea Kenya na ugandaaaa
Fanyaaaa showe wiki nzimaaa
Kwenye koridor wanapokanyagia abiria ukiona screw PEMBEN fungueni toeni zile bati mwone wanachowekaa
N BALAA na nusu..najua una majukumu mazitooo BADOOO utapata mda WA kufanya zoezi hili
Huko UTAKUTANA na mirungii ..madawa ya kulevya...bangi kama zote wakishafungua wanaweka kwa ndani wanafunga we unakuja hakuna kitu kwa juu kisa unakanyaga .....
Zoezi la kutia hii mizigoo hufanywa mwisho WA basi wale wah huwa hawashuki wanaenda pale basi zinapoishia wanafunguliwa mizigo yao wanakula cheers
Wanamshukuru....kuwafikisha salama
Allah saidia watoto wetuu sana