Susy Susy SusyMurefu umeunganisha hayo maneno mengine umefupisha yaani ilimradi namshukuru Mungu nimemaliza kusoma.
Mhh kumbe nanyie wanaume mpo lakini hamvumi?? we mambo ya watu ya meza ya pili uliyasikiaje?? inamaana ww ulikuwa huna la kufanya zaidi ya kusikiliza??
Ila hii kali, imenisikitisha alafu pia imenifurahisha, one week then ndoa!!! sijajua ilivyo kaa kaaa lkn hembu tungoje wadau waseme neno.
I must admit huyu binti ni mzuri sana wanakimbizana sana na dada yake KimKloe kardashian na Lamar ndani ya week mbili mipango ya ndoa mwezi kamili ndoa na bado wanaishi wanapendana hatari, ila hii ni kama kucheza pata potea vile unaweza kuishia pabaya au ukapata bahati mkaishi kwa upendo na amani.
Murefu umeunganisha hayo maneno mengine umefupisha yaani ilimradi namshukuru Mungu nimemaliza kusoma.
Mhh kumbe nanyie wanaume mpo lakini hamvumi?? we mambo ya watu ya meza ya pili uliyasikiaje?? inamaana ww ulikuwa huna la kufanya zaidi ya kusikiliza??
Ila hii kali, imenisikitisha alafu pia imenifurahisha, one week then ndoa!!! sijajua ilivyo kaa kaaa lkn hembu tungoje wadau waseme neno.
Kloe kardashian na Lamar ndani ya week mbili mipango ya ndoa mwezi kamili ndoa na bado wanaishi wanapendana hatari, ila hii ni kama kucheza pata potea vile unaweza kuishia pabaya au ukapata bahati mkaishi kwa upendo na amani.
Kumbe uko VIA MOBILE ndio maana kule kwingine sikupatiHaya tushajua uko Dubai!!Nwy inawezekana sana...zipo ndoa za aina hiyo na zinadumu sana tu na kuna wanaojuana miaka alafu miezi mitatu tu wanashindwana!Chemistry na moyo vyote vikikubali hata siku tatu tu mnaweza kuoana na mambo yakanyooka!
Susy Susy Susy
Susy si tumeishajuana vya kutosha si tunaweza kuoana sasa???teh teh teh navua gamba mkuu!!
Nakujua??Kumbe uko VIA MOBILE ndio maana kule kwingine sikupati
ckia wa2 wanakula dubai na kuongea kwa nguvu huku wakiwa wanaongesha wanataka msaada wa ushaur mwsho wa siku nilijumuika nao kimaongez na kidubai zaid mana ukiona m2 anatoa saut ujue anaki2 anataka usikije na hvyo ndivyo ilivyokuwa mama suzy ckuwa na nia ya kusema ninataka nisikie nini au kuwa mbeya hapana ila wenyewe walivyokuwa wanaongea ndo wakanipa picha nzima plz suzy nitake radh bana
Huku skypeNakujua??
Susy si tumeishajuana vya kutosha si tunaweza kuoana sasa???
Haya tushajua uko Dubai!!Nwy inawezekana sana...zipo ndoa za aina hiyo na zinadumu sana tu na kuna wanaojuana miaka alafu miezi mitatu tu wanashindwana!Chemistry na moyo vyote vikikubali hata siku tatu tu mnaweza kuoana na mambo yakanyooka!