Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
How about scones?Fresh out of the oven!Nitumie basi hiyo kitu inayohusu hapo!Ahaaaa ahaaaa ahaaa haya sawa bwana, tena on top of it i need a chocolate cake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
How about scones?Fresh out of the oven!Nitumie basi hiyo kitu inayohusu hapo!Ahaaaa ahaaaa ahaaa haya sawa bwana, tena on top of it i need a chocolate cake
Hahahaha nimeharibikiwa dearest!Nimekumiss mpaka nimekua mtoto mbaya!
Mhhh!! Delicious kwani sijakutumia kweli?How about scones?Fresh out of the oven!Nitumie basi hiyo kitu inayohusu hapo!
Michelle hebu panda hapa fifth floor Barclays House ujue nakusubiria yaani mbona unanichomesha mahindi kiasi hichonani tena huyo niambie? nimerudi kwa ajili yako hapa halafu haupo most of the time...kuna mtu ameanza kukudanganya sio? au umempata unayetaka akuoe wiki hii hii....l.o.l:hug:
Michelle hebu panda hapa fifth floor Barclays House ujue nakusubiria yaani mbona unanichomesha mahindi kiasi hicho
Ningejua unakuja ningeshatulia zamani!Kuna mkaka mmoja alinidanganya anaweza kunifanya nisimmiss dearest nikaenda nae mjini..matokeo yake kala nauli yangu akaniacha solemba!nani tena huyo niambie? nimerudi kwa ajili yako hapa halafu haupo most of the time...kuna mtu ameanza kukudanganya sio? au umempata unayetaka akuoe wiki hii hii....l.o.l:hug:
Nimesikia utakuwa Maid of Honourkuna mtu naongea nae nione kama naweza olewa wiki ijayo.....wewe tumefahamiana siku zote unanizingua tu....choma mahindi hapo.....mi nataka olewa siku moja na Katie Middleton bana
Tamu kishenzi!Nope...fanya hivyo basi kabla sijarudi kua mchachu!Mhhh!! Delicious kwani sijakutumia kweli?
nani tena huyo niambie? nimerudi kwa ajili yako hapa halafu haupo most of the time...kuna mtu ameanza kukudanganya sio? au umempata unayetaka akuoe wiki hii hii....l.o.l:hug:
ha,ha,ha,ha,haaa! Mwambie mwambie huyo ha,ha.haaa lizzy umesikiaa?
Let me do the needfulTamu kishenzi!Nope...fanya hivyo basi kabla sijarudi kua mchachu!
Ningejua unakuja ningeshatulia zamani!Kuna mkaka mmoja alinidanganya anaweza kunifanya nisimmiss dearest nikaenda nae mjini..matokeo yake kala nauli yangu akaniacha solemba!
Hahahaha na wewe unataka kuvunja maadili?ha,ha,ha,ha,ha,haaa kumbe ndo mana lizzy leo upo hvyo njoo kama vp nikuoe mm masaa 2uu ninakuoa unasemaje na pole kwa kuachwa solemba
kwa nini isiwezekane...unakutana na kitu mnato kama supa glue kinakusisimua mpaka unatoka vipele vya baridi...unasubiri nini piga ndoa anza kutengeneza watoto kwishaaa.....
ehe! Ndo inakuwa hvyo sasa mpaka utengeneze mtoto tayar miez tisa ngoma nimekwambia wiki 2uu we vp
hahaaaa kaka namaanisha haina kuchelewa hiyo kitu mnato unaoa hata within hours..weka ndani wife anza kutengeneza watoto naye ...ushanifahamu...maana naona kama waenda mchomo vilee au nakosema amiii