Kamjua wiki kamuoa inawezana jaman

Kamjua wiki kamuoa inawezana jaman

Hahahaha nimeharibikiwa dearest!Nimekumiss mpaka nimekua mtoto mbaya!

nani tena huyo niambie? nimerudi kwa ajili yako hapa halafu haupo most of the time...kuna mtu ameanza kukudanganya sio? au umempata unayetaka akuoe wiki hii hii....l.o.l:hug:
 
nani tena huyo niambie? nimerudi kwa ajili yako hapa halafu haupo most of the time...kuna mtu ameanza kukudanganya sio? au umempata unayetaka akuoe wiki hii hii....l.o.l:hug:
Michelle hebu panda hapa fifth floor Barclays House ujue nakusubiria yaani mbona unanichomesha mahindi kiasi hicho
 
Michelle hebu panda hapa fifth floor Barclays House ujue nakusubiria yaani mbona unanichomesha mahindi kiasi hicho

kuna mtu naongea nae nione kama naweza olewa wiki ijayo.....wewe tumefahamiana siku zote unanizingua tu....choma mahindi hapo.....mi nataka olewa siku moja na Katie Middleton bana
 
nani tena huyo niambie? nimerudi kwa ajili yako hapa halafu haupo most of the time...kuna mtu ameanza kukudanganya sio? au umempata unayetaka akuoe wiki hii hii....l.o.l:hug:
Ningejua unakuja ningeshatulia zamani!Kuna mkaka mmoja alinidanganya anaweza kunifanya nisimmiss dearest nikaenda nae mjini..matokeo yake kala nauli yangu akaniacha solemba!
 
kuna mtu naongea nae nione kama naweza olewa wiki ijayo.....wewe tumefahamiana siku zote unanizingua tu....choma mahindi hapo.....mi nataka olewa siku moja na Katie Middleton bana
Nimesikia utakuwa Maid of Honour
 
Acha kila mtu abebe msalaba wake!Ili mradi wanachofanya sio dhambi wala kufuru na hawaumizi wengine hamna tatizo kwenye wanachokifanya!

nimekusoma straight yan bila ubish jombaaa
 
nani tena huyo niambie? nimerudi kwa ajili yako hapa halafu haupo most of the time...kuna mtu ameanza kukudanganya sio? au umempata unayetaka akuoe wiki hii hii....l.o.l:hug:

ha,ha,ha,ha,haaa! Mwambie mwambie huyo ha,ha.haaa lizzy umesikiaa?
 
Ningejua unakuja ningeshatulia zamani!Kuna mkaka mmoja alinidanganya anaweza kunifanya nisimmiss dearest nikaenda nae mjini..matokeo yake kala nauli yangu akaniacha solemba!

ha,ha,ha,ha,ha,haaa kumbe ndo mana lizzy leo upo hvyo njoo kama vp nikuoe mm masaa 2uu ninakuoa unasemaje na pole kwa kuachwa solemba
 
kwa nini isiwezekane...unakutana na kitu mnato kama supa glue kinakusisimua mpaka unatoka vipele vya baridi...unasubiri nini piga ndoa anza kutengeneza watoto kwishaaa.....
 
ha,ha,ha,ha,ha,haaa kumbe ndo mana lizzy leo upo hvyo njoo kama vp nikuoe mm masaa 2uu ninakuoa unasemaje na pole kwa kuachwa solemba
Hahahaha na wewe unataka kuvunja maadili?
 
kwa nini isiwezekane...unakutana na kitu mnato kama supa glue kinakusisimua mpaka unatoka vipele vya baridi...unasubiri nini piga ndoa anza kutengeneza watoto kwishaaa.....

ehe! Ndo inakuwa hvyo sasa mpaka utengeneze mtoto tayar miez tisa ngoma nimekwambia wiki 2uu we vp
 
ehe! Ndo inakuwa hvyo sasa mpaka utengeneze mtoto tayar miez tisa ngoma nimekwambia wiki 2uu we vp

hahaaaa kaka namaanisha haina kuchelewa hiyo kitu mnato unaoa hata within hours..weka ndani wife anza kutengeneza watoto naye ...ushanifahamu...maana naona kama waenda mchomo vilee au nakosema amiii
 
hahaaaa kaka namaanisha haina kuchelewa hiyo kitu mnato unaoa hata within hours..weka ndani wife anza kutengeneza watoto naye ...ushanifahamu...maana naona kama waenda mchomo vilee au nakosema amiii

haya bana ila kwa namna hii ya kuoa ndan ya masaa au cku au wiki ndo unakuta wa2 wengi wakiwa wamechokana wanapigana chn sasa ndo nimejua chanzo cha kwann wa2 au ndoa nyng huwa zinavunjika mana kama kwa stail hii ya kuokotana 2 na kuoana wk na kuzalishana hapa kila m2 alikuja kufuata lake na co ndoa kuna alie fuata mtoto na kunaalie fuata pesa so wote wawl hakuna ndoa hapo je uwongo kaka
 
Back
Top Bottom