Kamjua wiki kamuoa inawezana jaman


upo wange kwanza kabisa kula dubai ni kula bia alafu kingne cjakataa ila ninaweza kusema ndo mnanifungua macho mana nimezoea kuona m2 anakaa na mpenz wake miez sita au mwaka ndo wanatangaza ndoa co kama hvyo wiki na kuoa hv jaman 2kirud kimaadil inawezekana kwel m2 akafanya hvyo mana ninahs utaonekana mwehu wiki au masaa uoe au uolewe du?
 
Kitanzania ndo inakuaje kwani?Kuna sheria??Sema wewe huwezi ila si Kitanzania haiwezekani.
 

Maadili yapi yanalazimisha watu wajuane miaka?
 
ha ha haaaaaaaaaaaa uwiiiiiii mbavu zangu mie Finest!!!
Wewe hauoni MUREFU tayari anafanya mambo usinifanyie hivyo bwana utanifanya nikajinyonge bure mie halafu unikose
 
Kitanzania ndo inakuaje kwani?Kuna sheria??Sema wewe huwezi ila si Kitanzania haiwezekani.

ckatai ninamaana asilimia kubwa ya jamii au makabila ya kitanzania huwa wanafuata utamadun may be cjui ila nimeshazoe ndoa ya wk na masaa ni yamkeka au ni ya fumaniz au hujanisoma na hapo hebu jalibu kufanya utafit utaona ni asilimia ngap waliooana wk kama hujakuta ni fumaniz au kasusiwa mimba na ndo hvyo nilipojarbu kuwauliza wale nilifikir hvyo imetokea kumbe co
 
Maadili yapi yanalazimisha watu wajuane miaka?

ila ukiangalia kama kwel vle na inawezekana kutoowana zaid ya miaka ila kwel hakuna maadili yanayozuia
 
Acha kila mtu abebe msalaba wake!Ili mradi wanachofanya sio dhambi wala kufuru na hawaumizi wengine hamna tatizo kwenye wanachokifanya!
 
Inawezekana Murefu, kwa sababu hakuna kisichowezekana chini ya jua hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…