Kampeni "Kataa ndoa? vijana tunaitazama kesho?

Kampeni "Kataa ndoa? vijana tunaitazama kesho?

Mbelajr2023

Member
Joined
Nov 23, 2022
Posts
54
Reaction score
115
Anaandika mbelajr,

Nimekuwa msomaji na msikilizaji mzuri wa hoja mbalimbali za wachangiaji katika nada hii ya NDOA KWA takribani miezi miwili sasa.Leo na mimi nitachangia mada hii

Ndoa ni taasisi ya kwanza kuundwa Duniani,vitabu vingi vinavyoaminika kuwa ni vitakatifu yaani Biblia na Quran vinaeleza hilo kwamba Adam na Hawa ndio wazazi wa kwanza kuanzisha.Sasa basi kama ndivyo,Taasisi yeyote hupitia vipindi vitatu kuzaliwa,kuishi na kufa.

Sasa basi,ndoa kama Taasisi tangu kuzaliwa kwake imepitia vipindi mbalimbali vyenye milima na mabonde hivyo vijana lazima mtambue kwamba Kwa kuingia katika ndoa ni lazima upitie vipindi vyote vigumu na virahisi.

Ni ukweli usiopingika katika siku za karibuni Kati ya jambo humu na ziti ambalo vijana wanakabiliana ni nani wa kuoa au kuolewa naye.Katika hali yeyote utandawazi na sera ya kudai haki SawA Kati ya mwanamke na mwanaume imeleta athari kubwa katika maisha ya NDOA.

Katika kuamua yupi wa kuoa au kuolewa naye ningeshauri vijana kuchagua mtu ambaye utakuwa na sense of compatibility naye nikimaanisha aina ya ufanano naye.Hata kama kutakuwa na mapungufu ni vizuri kupata muda wa kujiridhisha kama unaweza kuendana naye.

Ndoa humsaidia kijana kuanda kesho yake paMoJa na kizazi chake,humuwezesha kujipima katika kukabili changamoto za maisha.Vijana wa kiume wanashauriwa kuishi na wake zao KWA akili,akili na matumizi sahihi elimu na maarifa katika kukabili ana na mazingira yaliyoko.

Nitoe rai KWA vijana kutafuta watu sahihi wa kuingia nao katika ndoa,jambo hili ni mchakato na hutumia muda raslimali na maarifa kuweza kulikamilisha.

Tusikatae ndoa,tuikubali lakini tukumbuke wasiwasi ndio akili.Je ukikataa ndoa unaitazamaje kesho yAko? Huhitaji kuwa na watoto? Dash Mapadri wameweza wewe je? Tafakari chukua hatua
 
Hao mnaotaka waolewe wana akili?.
Kuna siku moja kwenye uzi mmoja limama limoja linasema:- mnunulie mkeo gari zuri, nyumba nzuri, chakula kizuri na mavazi mazuri then mkeo atakuheshimu.
Just imejen umekutana na lidada la hivyo na ukishindwa kumit up na mahitaji yake linakuambia"wewe si mwanaume mwenye akili ndiyo maana huwezi majukumu".
Useless and entitled lady. Guys tafuta pesa siku ukibahatika Kupata mnyonge mwenzio na submissive Oa nje na hapo utajuta
 
Anaandika mbelajr,

Nimekuwa msomaji na msikilizaji mzuri wa hoja mbalimbali za wachangiaji katika nada hii ya NDOA KWA takribani miezi miwili sasa.Leo na mimi nitachangia mada hii

Ndoa ni taasisi ya kwanza kuundwa Duniani,vitabu vingi vinavyoaminika kuwa ni vitakatifu yaani Biblia na Quran vinaeleza hilo kwamba Adam na Hawa ndio wazazi wa kwanza kuanzisha.Sasa basi kama ndivyo,Taasisi yeyote hupitia vipindi vitatu kuzaliwa,kuishi na kufa.

Sasa basi,ndoa kama Taasisi tangu kuzaliwa kwake imepitia vipindi mbalimbali vyenye milima na mabonde hivyo vijana lazima mtambue kwamba Kwa kuingia katika ndoa ni lazima upitie vipindi vyote vigumu na virahisi.

Ni ukweli usiopingika katika siku za karibuni Kati ya jambo humu na ziti ambalo vijana wanakabiliana ni nani wa kuoa au kuolewa naye.Katika hali yeyote utandawazi na sera ya kudai haki SawA Kati ya mwanamke na mwanaume imeleta athari kubwa katika maisha ya NDOA.

Katika kuamua yupi wa kuoa au kuolewa naye ningeshauri vijana kuchagua mtu ambaye utakuwa na sense of compatibility naye nikimaanisha aina ya ufanano naye.Hata kama kutakuwa na mapungufu ni vizuri kupata muda wa kujiridhisha kama unaweza kuendana naye.

Ndoa humsaidia kijana kuanda kesho yake paMoJa na kizazi chake,humuwezesha kujipima katika kukabili changamoto za maisha.Vijana wa kiume wanashauriwa kuishi na wake zao KWA akili,akili na matumizi sahihi elimu na maarifa katika kukabili ana na mazingira yaliyoko.

Nitoe rai KWA vijana kutafuta watu sahihi wa kuingia nao katika ndoa,jambo hili ni mchakato na hutumia muda raslimali na maarifa kuweza kulikamilisha.

Tusikatae ndoa,tuikubali lakini tukumbuke wasiwasi ndio akili.Je ukikataa ndoa unaitazamaje kesho yAko? Huhitaji kuwa na watoto? Dash Mapadri wameweza wewe je? Tafakari chukua hatua

Wewe oa nani kakukataza,kila mtu na mipango yake na maisha yake eboo,get a job.
 
Wanawake wengi wa kizazi hiki HAWANA SIFA YA KUOLEWA, ni vile tu vijana tunalazimisha.

wanawake wengi wa SASA HAWANA AKILI YA KUJENGA MJI, wamejaa ulimbukeni na usasa wa kipuuzi.

Nasema hawana akili ya kujenga MJI kwa sababu WALIO WENGI UKITOA SEX HAWANA KINGINE CHA TOFAUTI NA CHA PEKEE CHA KU-OFFER KWENYE MAISHA YA MWANAUME.


Imagine wewe kama mwanaume umemuoa mwanamke, amejifungua vizuri tu hana shida yoyote ya kiafya na ni mama wa nyumbani, LAKINI BAADA YA MIEZI 6 ANAACHA KUNYONYESHA ANAANZA KUMPA MWANAO MAZIWA YA NG'OMBE eti HATAKI MAZIWA YALALE.

sasa huyo ni mke wa kuishi nae??
 
Hoja ina mashiko ila watu wataoana tu hata kwa dakika chache. Kitakachochochea ndoa ni uasili wa mwanaume na mwanamke kutaka penzi. Mapenzi yenyewe tu ni ndoa tosha hata kama itachukua dakika chache na haitaandikishwa popote. Wanyama wenyewe wana ndoa zao iweje binadamu akose wakati ana sifa ya kuzaa kama kiumbe hai? Kupiga shoo ni ndoa tayari hiyo, sasa kama ndoa zikikataliwa binadamu watazaana vipi? Kwa chupa au insimination? labda sentensi iwe kataa kuishi pamoja na mwanamke hapo sawa. Yaani mapenzi yalivyo matamu mtu akatae kuo? Siri ya kuoa ni kupata penzi kwa uhuru na amani wakati wote ukihitaji bila kuingiliana na mtu mwingine
 
Ukiona mtu anaikataa ndoa jua kwamba ushoga umeshamuingia tena umemuingia vibaya kwakua analiwa alafu mbele za watu hawezi jizuia
 
Back
Top Bottom