Kampeni "Kataa ndoa? vijana tunaitazama kesho?

Kampeni "Kataa ndoa? vijana tunaitazama kesho?

Lakwangu limo ndani linanambia maujinga kama haya,nimewaza sana jinsi ya kulikomoa na kuliacha ila roho haijapata majibu sahihi!!
Chief,piga chini ilo litakuharibia future yako.
Mimi siwezi tumia my hard earned money kumfurahisha mtu.
Kesho mambo yako yakisimama litahama kwako na kutafuta Bwana mwingine kwasababu kichwani mwake limejijengea mentality ya kuhudumiwa na kufurahishwa.
 
Back
Top Bottom