Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 4,052
- 7,375
Kama ulikwa na nyumba,unarud geto..Hasara kubwa ya ndoa ni pale unapomfumania mke wako na kuamua kuachana naye. Kile kidogo mlichowekeza inabidi mgawane. Hapo ni kama unaanza upyaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ulikwa na nyumba,unarud geto..Hasara kubwa ya ndoa ni pale unapomfumania mke wako na kuamua kuachana naye. Kile kidogo mlichowekeza inabidi mgawane. Hapo ni kama unaanza upyaa
Chief,piga chini ilo litakuharibia future yako.Lakwangu limo ndani linanambia maujinga kama haya,nimewaza sana jinsi ya kulikomoa na kuliacha ila roho haijapata majibu sahihi!!