Kampeni: Kiba rudisha tuzo mbili ulizopewa (sio ulizoshinda)

Kampeni: Kiba rudisha tuzo mbili ulizopewa (sio ulizoshinda)

Kiba hajapewa tuzo wapigaji kura ndo walipendekeza hvyo.....mimi nafikir kampen yako ungeielekeza kwa waandaji wa KTMA wabadilishe mfumo wa upigaj kura na sio kuleta bla blaa hapa watanzania wamemchagua mm nafikir tatzo ni mfumo tu,, unasema kiba katunga nyimbo gan za maaana??? Hata kama una chuki sio kiivyo mkuu jitahid kuzuia mihemko yako ili ujadili hoja kwa kubalance hivi nyimbo ya mwana unaiona kwa waswas nini? Ckatai barnaba ni mtunz mzur sana ila pia kutumia kiswanglish nayo tatizo mwana mwanzo had mwisho kiswahil kuntu pia barbana kura hazikutosha vp kuhus zle 7 za mond alistahil zote?? Au kiba tu ndo kosa limefanyika?
Kama kura ndio zinaamua nini kazi ya majaji, unasema anastahili utunzi kwa wimbo wa Mwana vipi kuhusu Bella na nani kama Mama.

Utumbuizaji bora hapa ndio kichekesho zaidi, huo utumbuizaji hata kwenye video yake ya Mwana ameshindwa kabisa kuonyesha ubunifu wa kumiliki jukwaa.

Sasa mtu ukimwambia huyo ndio mtumbuizaji bora, atabaki mdomo wazi na kuamini Tanzania hatuna watumbuizaji.
 
Kama kura ndio zinaamua nini kazi ya majaji, unasema anastahili utunzi kwa wimbo wa Mwana vipi kuhusu Bella na nani kama Mama.

Utumbuizaji bora hapa ndio kichekesho zaidi, huo utumbuizaji hata kwenye video yake ya Mwana ameshindwa kabisa kuonyesha ubunifu wa kumiliki jukwaa.

Sasa mtu ukimwambia huyo ndio mtumbuizaji bora, atabaki mdomo wazi na kuamini Tanzania hatuna watumbuizaji.

ulipiga kuraa...?!!!
 
Tasnia ya filamu na muziki wa tanzania umeshavurugwa...
Watu wenye akili timamu wanaongozwa na mtu mmoja kufanya maamuzi...
Hivi Wema ana nguvu gani hadi amewachota akili watu wenye degree zao kufanya maamuzi anayotaka yeye??...
Mbaya zaidi na wadau wa mziki wenyewe wamekumbwa na upepo wa hizi team ushuzi, ukiuliza show gani alifanya Kiba na kuonyesha umahiri wake wa utumbuizaji ...wanajificha kwenye kivuli cha kura zimeamua
 
Kama kura ndio zinaamua nini kazi ya majaji, unasema anastahili utunzi kwa wimbo wa Mwana vipi kuhusu Bella na nani kama Mama.

Utumbuizaji bora hapa ndio kichekesho zaidi, huo utumbuizaji hata kwenye video yake ya Mwana ameshindwa kabisa kuonyesha ubunifu wa kumiliki jukwaa.

Sasa mtu ukimwambia huyo ndio mtumbuizaji bora, atabaki mdomo wazi na kuamini Tanzania hatuna watumbuizaji.

Sasa mlikuwa wap kabla hajapata tuzo mkuu? Mi cna team ila hamkuona categories kwann msilalamike alipopangwa kwenye hzo categories? Mtu kashanyanyua kwapa mara 5 mnakuja kulalamika hapa na tuzo tayar zipo kibindon? Pigen kampen ya mfumo mpya na vigezo kwenye categories achane kulialia kwan nyie mlijipangaje kwa mond? Huu muda wa kulilia si bora ungehamasisha watu wajiandikishe BVR?
 
mzurimie huyo muache aite machangu,malaya,wafu...
whatever mradi kila mtu ana rizki yake shauri yakee...
na mradi si changudoa kweli wala haiumi..duniani hakuna tusi jipya..

kila mtu ana uhuru wa kufanya yake mradi hatununuliani mabundle...

pigeni kura bila kukwazana..!!

km kutpompigia kura daimond ni akili x
za kichangudoa mie malaya mbwaa,tena changudoa la kimboka au kona bar na uwanja wa fisi...!!

najua atapita kusomaa!!!
 
Last edited by a moderator:
Mbaya zaidi na wadau wa mziki wenyewe wamekumbwa na upepo wa hizi team ushuzi, ukiuliza show gani alifanya Kiba na kuonyesha umahiri wake wa utumbuizaji ...wanajificha kwenye kivuli cha kura zimeamua

Umehudhuria show ngapi za kiba na wapi tianzie hapo kwanza na umehudhuria show ngapi za mond na wapi
Tuje kwenye utunzi ni watu wangapi wanajua barnaba katunga nyimbo unazojua wewe na wangapi wanajua kiba katunga nyimbo wanazojua
Mwisho wewe ni upande gani najua unao ila utasema huna
 
mzurimie huyo muache aite machangu,malaya,wafu...
whatever mradi kila mtu ana rizki yake shauri yakee...
na mradi si changudoa kweli wala haiumi..duniani hakuna tusi jipya..

kila mtu ana uhuru wa kufanya yake mradi hatununuliani mabundle...

pigeni kura bila kukwazana..!!

km kutpompigia kura daimond ni akili x
za kichangudoa mie malaya mbwaa,tena changudoa la kimboka au kona bar na uwanja wa fisi...!!

najua atapita kusomaa!!!
Pole sana najua umekwazika sana, lakini humu kwenye mitandao tunakutana na watu tofauti tofauti hasa kitabia.
 
Last edited by a moderator:
Pole sana najua umekwazika sana, lakini humu kwenye mitandao tunakutana na watu tofauti tofauti hasa kitabia.

hata kidogo hajanikwaza ila mtu km yule eti kuita watu akili machangudoa kisa hawampigii kura dai ni ujinga
mi sijapiga kura hizi za MAMA ila ntapiga ili niwe changudoa kamili

alivyo mnafki eti anajikosha kwa wema atoe tamko la upigaji kura..
wema km nani labda kwa daimond hadi amuambie atoea tamko!

wao wapige kura kivyao wamuache wema wa watu kwani dai hawezi shinda bila wemaa...

mnafki wewee bikra wa kinyantuzoo...!!
msukumw gani hujieleweiii

mavi yakooo
 
mzurimie huyo muache aite machangu,malaya,wafu...
whatever mradi kila mtu ana rizki yake shauri yakee...
na mradi si changudoa kweli wala haiumi..duniani hakuna tusi jipya..

kila mtu ana uhuru wa kufanya yake mradi hatununuliani mabundle...

pigeni kura bila kukwazana..!!

km kutpompigia kura daimond ni akili x
za kichangudoa mie malaya mbwaa,tena changudoa la kimboka au kona bar na uwanja wa fisi...!!

najua atapita kusomaa!!!

Majibu kwa watanzania haya pichani

View attachment 261071
 
Last edited by a moderator:
idawa

Kiba hajapewa tuzo wapigaji kura ndo walipendekeza hvyo.....mimi nafikir kampen yako ungeielekeza kwa waandaji wa KTMA wabadilishe mfumo wa upigaj kura na sio kuleta bla blaa hapa watanzania wamemchagua mm nafikir tatzo ni mfumo tu,, unasema kiba katunga nyimbo gan za maaana???

Hata kama una chuki sio kiivyo mkuu jitahid kuzuia mihemko yako ili ujadili hoja kwa kubalance hivi nyimbo ya mwana unaiona kwa waswas nini? Ckatai barnaba ni mtunz mzur sana ila pia kutumia kiswanglish nayo tatizo mwana mwanzo had mwisho kiswahil kuntu pia barbana kura hazikutosha vp kuhus zle 7 za mond alistahil zote?? Au kiba tu ndo kosa limefanyika?

Huyo mtu nafikiri ni mkazi wa mbagala Kwa hiyo dimon akifika dar live anampatia bia za bure sasa analeta hoja zilizo lala kwani kiba kapewa kura na nani zaidi ya wapiga kura? Au wamezoea kipewa sasa wanafikiri na huyo kapewa? Ajipumzishe huko asituchoshe akili zetu mi namkubali kiba na sio langolongo, Anatakiwa ajue kuwa nyota ya mtu wake ya kazi ni wema na si wengine sasa ajiandae kuanguka kabisa hii ni mwanzo tuu
 
Last edited by a moderator:
umeongea points...

washabiki hao wa barnaba je?walipiga kura
mi juzi nimeshuhudia vijana wanabishana kuhusu hilo

wawili wanasema wamempigia kura aly k,wale wengine hawakumpa barnaba wala yoyote!!
hivi angeshindaje bila wao kupiga kura..?!!

jamani aly ameshinda kwa kura!

huyo wema sepetu mnaemtukana kila siku!!

nyie humu eidha ni wazazi au wazazi watarajiwa!!

mtakuja kukuta watoto wenu wameharibikiwa mkashangaa sana kujifanya mnajua kuwalea kumbe kuna mtu ulimsononesha siku za nyuma
hvyo dhambi ya kumtusi na kumkashifu mtoto wa mwanaume au mwanamke mwenzio itakutafuna kupitia kwa wanao

Wanabifu na wema maana ndiye jeki ya kumpandisha juu dimon lakini sasa amemchoka maana hana shukrani na sasa lazma ashuke kiwango lakini watachoka waache waropoke midomo imewafunguka kama milango ya bar
 
Kama kura ndio zinaamua nini kazi ya majaji, unasema anastahili utunzi kwa wimbo wa Mwana vipi kuhusu Bella na nani kama Mama.

Utumbuizaji bora hapa ndio kichekesho zaidi, huo utumbuizaji hata kwenye video yake ya Mwana ameshindwa kabisa kuonyesha ubunifu wa kumiliki jukwaa.

Sasa mtu ukimwambia huyo ndio mtumbuizaji bora, atabaki mdomo wazi na kuamini Tanzania hatuna watumbuizaji.

Kazi ya majaji ni kusimamia kura zisiingiliane na ujue kuna kuharibika Kwa kura lazima vigezo na masharti kuzingatiwa
 
Huyo mtu nafikiri ni mkazi wa mbagala Kwa hiyo dimon akifika dar live anampatia bia za bure sasa analeta hoja zilizo lala kwani kiba kapewa kura na nani zaidi ya wapiga kura? Au wamezoea kipewa sasa wanafikiri na huyo kapewa? Ajipumzishe huko asituchoshe akili zetu mi namkubali kiba na sio langolongo, Anatakiwa ajue kuwa nyota ya mtu wake ya kazi ni wemana si wengine sasa ajiandae kuanguka kabisa hii ni mwanzo tuu
Pole sana ndugu.
 
Ukute wale mademu 2 walitoa hadi huko kwa bibi ili kiba apate hizo tuzo.
 
Back
Top Bottom