Kampeni kususia Vyombo vya Habari ianze

Mwingereza

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2014
Posts
1,115
Reaction score
2,771
Napendekeza campaign Ianzishwe kususia vyombo vya habari vinavyoonyesha ubaguzi kwa chama vya upinzani. Hii style imefanikiwa sana siku za nyuma dhidi ya TBC. Hii inatokana na ukweli kwamba, hawa watu wanaonyesha waziwazi hujuma zao dhidi ya vyama kama CHADEMA

Majuzi, Mwananchi Digital ilifanya hujuma mbaya sana. Kila Lissu alipotaka kutamka maneno fulani, walizima sauti kwa kisingizio la tatizo la kiufundi. Kwa sababu TBC wameshajiweka wazi kwamba wao ni Shirika la CCM, tupambane na Mwananchi na wengineo

Nawasilisha
 
Mimi nilishavisusia muda Sana vyombo uchwara vya bongo toka walipanza kuhongwa na Lowassa niliona ni wapumbavu tu

Sasa dicteta kawahonga, kawanunua kawatisha wameufyata ila Lissu anaenda kuwashangaza na hawataamini kitakachotokea.
 
Hakuna anayeangalia hizo takataka zinazodhaminiwa na CCM mitandao ipo kwa live coverage
 
Nashauri wasusiwe mtu mmojammoja ili ilete direct impact kea mhusika mfano mhariri wa chombo x asisalimiwe asikopeshwe asipewe lift akifiwa ajijue...nk
 
Mimi na family yangu ,kuangalia TbCcm Ni haramu!
 
Mwananchi digital wamezima sauti kwenye hotuba ya lissu
 
Njaa ni silaha tosha ya kuibomoa ccm
 

Tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu tupashane na kujadiliana Sera za Maendeleo, kulialia tuwachie watoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…