Kampeni kususia Vyombo vya Habari ianze

Kampeni kususia Vyombo vya Habari ianze

Napendekeza campaign Ianzishwe kususia vyombo vya habari vinavyoonyesha ubaguzi kwa chama vya upinzani. Hii style imefanikiwa sana siku za nyuma dhidi ya TBC. Hii inatokana na ukweli kwamba, hawa watu wanaonyesha waziwazi hujuma zao dhidi ya vyama kama CHADEMA

Majuzi, Mwananchi Digital ilifanya hujuma mbaya sana. Kila Lissu alipotaka kutamka maneno fulani, walizima sauti kwa kisingizio la tatizo la kiufundi. Kwa sababu TBC wameshajiweka wazi kwamba wao ni Shirika la CCM, tupambane na Mwananchi na wengineo

Nawakilisha
Delete ccm Oct 28
 
Ukitaka taarifa fuatlia BBC, VOA, Radio ya Ujeruman nk, achana na vyombo vya Bongo, utakuja kuishiwa maarifa na taarifa sahihi
 
Napendekeza campaign Ianzishwe kususia vyombo vya habari vinavyoonyesha ubaguzi kwa chama vya upinzani. Hii style imefanikiwa sana siku za nyuma dhidi ya TBC. Hii inatokana na ukweli kwamba, hawa watu wanaonyesha waziwazi hujuma zao dhidi ya vyama kama CHADEMA

Majuzi, Mwananchi Digital ilifanya hujuma mbaya sana. Kila Lissu alipotaka kutamka maneno fulani, walizima sauti kwa kisingizio la tatizo la kiufundi. Kwa sababu TBC wameshajiweka wazi kwamba wao ni Shirika la CCM, tupambane na Mwananchi na wengineo

Nawakilisha
Ndugu yangu kwani lazima Lissu atangazwe na Media zote za Tanzania?

Chadema mmejinasibu kuwa na wanachama wapatao milioni kati ya 5-7 huu ni mtaji tosha kwakua hata vyombo mnavyovililia viwatangaze havisikilizwi na Watanzania wote hao.

Kwanini msiwaambie wanachama wenu waanze kupost hotuba za Tundu Lissu kwenye account zao za Twitter, Instagram, TikTok, Facebook, Jamiiforums nk.

Mtapata same impact kuliko kulia lia kila kukicha
 
Nani aliwazuia kununua tv yao au hata vifaa vya kurekodi matukio yao,
Chama kikuu cha upinzani bado kina kodi wapiga picha wa harusini?
Ukuon hivyo ujue hakina uwezo wa kuongoza nchi hivyo mjipange
Hapa chadema wanastahili lawama
 
Back
Top Bottom