Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 3,474
- 3,744
Delete ccm Oct 28Napendekeza campaign Ianzishwe kususia vyombo vya habari vinavyoonyesha ubaguzi kwa chama vya upinzani. Hii style imefanikiwa sana siku za nyuma dhidi ya TBC. Hii inatokana na ukweli kwamba, hawa watu wanaonyesha waziwazi hujuma zao dhidi ya vyama kama CHADEMA
Majuzi, Mwananchi Digital ilifanya hujuma mbaya sana. Kila Lissu alipotaka kutamka maneno fulani, walizima sauti kwa kisingizio la tatizo la kiufundi. Kwa sababu TBC wameshajiweka wazi kwamba wao ni Shirika la CCM, tupambane na Mwananchi na wengineo
Nawakilisha
Na vyote hivyo ili uvipate lazima upate runinga mshirika km star tv nkHabari za upinzani kwa sasa nazipata VOA, BBC Swahili
Ndugu yangu kwani lazima Lissu atangazwe na Media zote za Tanzania?Napendekeza campaign Ianzishwe kususia vyombo vya habari vinavyoonyesha ubaguzi kwa chama vya upinzani. Hii style imefanikiwa sana siku za nyuma dhidi ya TBC. Hii inatokana na ukweli kwamba, hawa watu wanaonyesha waziwazi hujuma zao dhidi ya vyama kama CHADEMA
Majuzi, Mwananchi Digital ilifanya hujuma mbaya sana. Kila Lissu alipotaka kutamka maneno fulani, walizima sauti kwa kisingizio la tatizo la kiufundi. Kwa sababu TBC wameshajiweka wazi kwamba wao ni Shirika la CCM, tupambane na Mwananchi na wengineo
Nawakilisha
Hapa chadema wanastahili lawamaNani aliwazuia kununua tv yao au hata vifaa vya kurekodi matukio yao,
Chama kikuu cha upinzani bado kina kodi wapiga picha wa harusini?
Ukuon hivyo ujue hakina uwezo wa kuongoza nchi hivyo mjipange