Kampeni maalumu: 2025 Mpe mama tabasamu

Kampeni maalumu: 2025 Mpe mama tabasamu

Ndugu zangu,

Nimekusudia kwa mapenzi mema na moyo mkunjufu kufanya kampeni maalumu itakayokwenda Kwa jina la 2025 MPE MAMA TABASAMU. Kampeni hiyo itakuwa na malengo kuu matatu

Lengo la kwanza, kufikisha ujumbe maalumu kwa watu wote, nikielezea kazi na mafanikio ya CCM na Rais Samia. Lengo hili litakwenda sambamba na kuutaka Umma kuwa wavumilivu maana tunaelekea nchi ya Ahadi.

Lengo la pili, kukisaidia Chama Cha Mapinduzi Kwa ushauri, maoni na mapendezo ili Kwa pamoja tutekeleze kampeni hii ya 2025 MPE MAMA TABASAMU. Naomba Chama changu mnipokee niwasaidie kwenye eneo hili.

Lengo la tatu, kuwaomba wananchi Kwa nini 2025 tunatakiwa TUMPE MAMA TABASAMU. Kulingana na kazi kubwa, nzuri na ya kupigwa mfano kama sehemu ya shukrani na fadhila hatuna budi kumpa TABASAMU. MPE MAMS TABASAMU Kwa kumpa ushindi wa kishindo na kukipa ushindi wa kishindo Chama Cha Mapinduzi.

Kwa pamoja, tuungane kutekeleza kampeni hii ya 2025 MPE MAMA TABASAMU. naamini tutakuwa pamoja.

Karibuni maana kampeni hii nakusudia imfikie Kila mtu hususani mwenye umri wa kupiga kura. vijana, wazee, wakina baba ,wakina mama karibuni Kwa kampeni ya 2025 MPE MAMA TABASAMU

Ahsanteni.
Lanunua chupi ya milioni 2 na saa 6 za milioni zaidi ya mia 850 kiasha akanunua shanga za kiunoni za almasi na dhababu zenye thamani ya dola mil 1
 
na ung'ang'ane apo apo vizuri zaid, ndipo nasi tuweza kutumia kama njia rahisi na ya mkato zaid ya kuwachapa vizuri sana serikali za mitaa baadae 2024 na serikali kuu vizur zaid apo mwakani 2025 kwenye debe 🐒
Kwa tume hii na kwa mtindo huo CCM lazima mshinde ila tukisema tume huru ndio mahali tunachora mstari!

Ila endeleeni tu kwa kipindi kile wenzenu walikuwa wanaimba KANU juu Nyayo juu juu kabisa leo ,KANU iko wapi?

CCM bila kura za nje ya box hamuwezi kushinda uchaguzi Samia ni mgombea dhaifu kuwahi kutokea kama CCM mtamsimamisha 2025.

Hana mvuto ndio maana nguvu nyingi zinatumika kuonyesha uwepo wake.

She is just there inadvertently, empty and debunked from the word go!
images (37).jpeg

IMG_20201028_173703.jpg
 
Kwa tume hii na kwa mtindo huo CCM lazima mshinde ila tukisema tume huru ndio mahali tunachora mstari!

Ila endeleeni tu kwa kipindi kile wenzenu walikuwa wanaimba KANU juu Nyayo juu juu kabisa leo ,KANU iko wapi?

CCM bila kura za nje ya box hamuwezi kushinda uchaguzi Samia ni mgombea dhaifu kuwahi kutokea kama CCM mtamsimamisha 2025.

Hana mvuto ndio maana nguvu nyingi zinatumika kuonyesha uwepo wake.

She is just there inadvertently, empty and debunked from the word go!View attachment 2929982
View attachment 2929981
mnaweweseka tu kana kwamba CCM itawaenea huruma kwenye uchaguzi 🐒 thubutuuuu🤣

maana hamueleweki mara mtazira mara mtasusa uchaguzi eti sijui bila katiba au tume, mara tena mnazinduka mnataka kushiriki uchaguzi🤣

hata ulete story, historia, porojo na script za aina gani, CCM haitaki matani, haitaki mzaha wala haioni haya kutumia every possible resources physical, mentally and technologicaly, kuwafikia wapiga kura wengi zaidi kuliko chama chochote cha siasa unachokijua wew humu nchini na kushinda uchaguz 🐒
 
Ndugu zangu,

Nimekusudia kwa mapenzi mema na moyo mkunjufu kufanya kampeni maalumu itakayokwenda Kwa jina la 2025 MPE MAMA TABASAMU. Kampeni hiyo itakuwa na malengo kuu matatu

Lengo la kwanza, kufikisha ujumbe maalumu kwa watu wote, nikielezea kazi na mafanikio ya CCM na Rais Samia. Lengo hili litakwenda sambamba na kuutaka Umma kuwa wavumilivu maana tunaelekea nchi ya Ahadi.

Lengo la pili, kukisaidia Chama Cha Mapinduzi Kwa ushauri, maoni na mapendezo ili Kwa pamoja tutekeleze kampeni hii ya 2025 MPE MAMA TABASAMU. Naomba Chama changu mnipokee niwasaidie kwenye eneo hili.

Lengo la tatu, kuwaomba wananchi Kwa nini 2025 tunatakiwa TUMPE MAMA TABASAMU. Kulingana na kazi kubwa, nzuri na ya kupigwa mfano kama sehemu ya shukrani na fadhila hatuna budi kumpa TABASAMU. MPE MAMS TABASAMU Kwa kumpa ushindi wa kishindo na kukipa ushindi wa kishindo Chama Cha Mapinduzi.

Kwa pamoja, tuungane kutekeleza kampeni hii ya 2025 MPE MAMA TABASAMU. naamini tutakuwa pamoja.

Karibuni maana kampeni hii nakusudia imfikie Kila mtu hususani mwenye umri wa kupiga kura. vijana, wazee, wakina baba ,wakina mama karibuni Kwa kampeni ya 2025 MPE MAMA TABASAMU

Ahsanteni.
Hakuna mtu hapo. Bora mara 💯 tumpe nchi Mh. Hashim Rungwe Spunda, ili wananchi wawe na uhakika wa kula ubwabwa na nyama kila siku.

Ila siyo huyo Mama yenu anaye wanufaisha mafisadi tu na wageni; huku wananchi walio wengi wakitaabika kwa ugumu wa maisha.
 
Ndugu zangu,

Nimekusudia kwa mapenzi mema na moyo mkunjufu kufanya kampeni maalumu itakayokwenda Kwa jina la 2025 MPE MAMA TABASAMU. Kampeni hiyo itakuwa na malengo kuu matatu

Lengo la kwanza, kufikisha ujumbe maalumu kwa watu wote, nikielezea kazi na mafanikio ya CCM na Rais Samia. Lengo hili litakwenda sambamba na kuutaka Umma kuwa wavumilivu maana tunaelekea nchi ya Ahadi.

Lengo la pili, kukisaidia Chama Cha Mapinduzi Kwa ushauri, maoni na mapendezo ili Kwa pamoja tutekeleze kampeni hii ya 2025 MPE MAMA TABASAMU. Naomba Chama changu mnipokee niwasaidie kwenye eneo hili.

Lengo la tatu, kuwaomba wananchi Kwa nini 2025 tunatakiwa TUMPE MAMA TABASAMU. Kulingana na kazi kubwa, nzuri na ya kupigwa mfano kama sehemu ya shukrani na fadhila hatuna budi kumpa TABASAMU. MPE MAMS TABASAMU Kwa kumpa ushindi wa kishindo na kukipa ushindi wa kishindo Chama Cha Mapinduzi.

Kwa pamoja, tuungane kutekeleza kampeni hii ya 2025 MPE MAMA TABASAMU. naamini tutakuwa pamoja.

Karibuni maana kampeni hii nakusudia imfikie Kila mtu hususani mwenye umri wa kupiga kura. vijana, wazee, wakina baba ,wakina mama karibuni Kwa kampeni ya 2025 MPE MAMA TABASAMU

Ahsanteni.

IMG_6223.jpg
 
Kama ni mfuatiliaji mzuri wa ripoti za kimataifa basi utakubaliana na Mimi kwamba katika kipindi cha utawala wa mama kulingana na ripoti ya Transparency International rushwa imepungua sana nchini huku kwingine duniani hali ikiwa mbaya. Mama kuimarisha eneo la rushwa na ufisadi na anazidi kufanya vizuri

IMG_8869.jpg
 
Ndugu zangu,

Nimekusudia kwa mapenzi mema na moyo mkunjufu kufanya kampeni maalumu itakayokwenda Kwa jina la 2025 MPE MAMA TABASAMU. Kampeni hiyo itakuwa na malengo kuu matatu

Lengo la kwanza, kufikisha ujumbe maalumu kwa watu wote, nikielezea kazi na mafanikio ya CCM na Rais Samia. Lengo hili litakwenda sambamba na kuutaka Umma kuwa wavumilivu maana tunaelekea nchi ya Ahadi.

Lengo la pili, kukisaidia Chama Cha Mapinduzi Kwa ushauri, maoni na mapendezo ili Kwa pamoja tutekeleze kampeni hii ya 2025 MPE MAMA TABASAMU. Naomba Chama changu mnipokee niwasaidie kwenye eneo hili.

Lengo la tatu, kuwaomba wananchi Kwa nini 2025 tunatakiwa TUMPE MAMA TABASAMU. Kulingana na kazi kubwa, nzuri na ya kupigwa mfano kama sehemu ya shukrani na fadhila hatuna budi kumpa TABASAMU. MPE MAMS TABASAMU Kwa kumpa ushindi wa kishindo na kukipa ushindi wa kishindo Chama Cha Mapinduzi.

Kwa pamoja, tuungane kutekeleza kampeni hii ya 2025 MPE MAMA TABASAMU. naamini tutakuwa pamoja.

Karibuni maana kampeni hii nakusudia imfikie Kila mtu hususani mwenye umri wa kupiga kura. vijana, wazee, wakina baba ,wakina mama karibuni Kwa kampeni ya 2025 MPE MAMA TABASAMU

Ahsanteni.
Siwezi kukubeza kwa sababu umeweka mawazo yako. Ninakubeza kwa sababu umegoma kukua.

Hongera kwa kupambania chama mfu
 
Mza

Mzanzibari ni mtanzania, hii ni JMT na sio Jamhuri ya Tanganyika.
Hujui lolote au umeamua kujifanya mjinga...

Sikiliza ndugu. Huu uongo na udanganyifu ni lazima ufike mwisho..

Mzanzibari ni Mzanzibari na kamwe hawezi kuwa Mtanganyika kwa jina la uongo la "Mtanzania"

Vivyo hivyo, Mtanganyika ni Mtanganyika tu hata kama amepewa jina la uongo la "Mtanzania"

Wakati umefika na ni huu kwa Tanganyika kurejeshwa ktk vitabu vya sheria na kudanganywa kufikie mwisho..!!

Na wewe acha kujidanganya mwenyewe. Fungua akili, face the truth..
 
Ndugu zangu,

Nimekusudia kwa mapenzi mema na moyo mkunjufu kufanya kampeni maalumu itakayokwenda Kwa jina la 2025 MPE MAMA TABASAMU. Kampeni hiyo itakuwa na malengo kuu matatu

Lengo la kwanza, kufikisha ujumbe maalumu kwa watu wote, nikielezea kazi na mafanikio ya CCM na Rais Samia. Lengo hili litakwenda sambamba na kuutaka Umma kuwa wavumilivu maana tunaelekea nchi ya Ahadi.

Lengo la pili, kukisaidia Chama Cha Mapinduzi Kwa ushauri, maoni na mapendezo ili Kwa pamoja tutekeleze kampeni hii ya 2025 MPE MAMA TABASAMU. Naomba Chama changu mnipokee niwasaidie kwenye eneo hili.

Lengo la tatu, kuwaomba wananchi Kwa nini 2025 tunatakiwa TUMPE MAMA TABASAMU. Kulingana na kazi kubwa, nzuri na ya kupigwa mfano kama sehemu ya shukrani na fadhila hatuna budi kumpa TABASAMU. MPE MAMS TABASAMU Kwa kumpa ushindi wa kishindo na kukipa ushindi wa kishindo Chama Cha Mapinduzi.

Kwa pamoja, tuungane kutekeleza kampeni hii ya 2025 MPE MAMA TABASAMU. naamini tutakuwa pamoja.

Karibuni maana kampeni hii nakusudia imfikie Kila mtu hususani mwenye umri wa kupiga kura. vijana, wazee, wakina baba ,wakina mama karibuni Kwa kampeni ya 2025 MPE MAMA TABASAMU

Ahsanteni.
Pumbavu, umeambiwa hana tabasam , ulipo hata benk wenda hata laki moja huna na kama unayo wenda nduguzo walipo wanalia na maisha magum , we upo hapa leta ujinga .

Uyo unaetaka kumpa tabasam vitukuu na vitukuu vyake havita kaa vikakosa mlo wa mara tatu kwa siku.

Akili za hivi muwe mnapeleka huko face book sio katika forum zenye watu wanajitambua kama jf, Pumbavu tena
 
mnaweweseka tu kana kwamba CCM itawaenea huruma kwenye uchaguzi 🐒 thubutuuuu🤣

maana hamueleweki mara mtazira mara mtasusa uchaguzi eti sijui bila katiba au tume, mara tena mnazinduka mnataka kushiriki uchaguzi🤣

hata ulete story, historia, porojo na script za aina gani, CCM haitaki matani, haitaki mzaha wala haioni haya kutumia every possible resources physical, mentally and technologicaly, kuwafikia wapiga kura wengi zaidi kuliko chama chochote cha siasa unachokijua wew humu nchini na kushinda uchaguz 🐒
Mambo ya mama kizimkazi hayo na CCM yenu.
IMG_20240310_182610.jpg
 
Mambo ya mama kizimkazi hayo na CCM yenu.View attachment 2930556
Yes,
Panaweza pakawa na changamoto lakini mara nyingi huwa sivyo kama inavyoripotiwa 🐒

hata hivyo,
tayari viongozi wa kisekta wapo field kuhakikisha kila kitu kinatatuliwa na kiko sawa, nadhani wew mwenyewe ni shuhuda, kwenye maboresho na marekebisho yaliyofanywa na mkuu wa nchi jana, shirika unalolitolea mfano kua na changamoto limeguswa na mabadiliko pia 🐒

so,
hayupo wa kuzuia wala kudhoofisha kampeni yoyote dhidi ya comrade Dr SSH kuongoza tena muhula ujao kwa kishindo zaidi 🐒
 
Wafanyabiashara wananunua dollar kwenye soko haramu Ili kuagiza bidhaa nje ya Nchi baada ya kukosa huduma hiyo kwenye banks,

Wewe unatwambia tumtafutie mtu tabasamu?
 
Muda mzuri wa kumpa Air hostess ni awapo angani kwenye ndege akitimiza majukumu yake
 
Kama unachosema ni sahihi basi kusingekuwa na haja Kwa mataifa makubwa yaliyoendelea kuwa na kampeni za Urais Kwa sababu maendeleo yanaonekana dhahiri sana.

Lengo la kuongelea mafanikio ya Rais Samia si Kwa ajili ya wanaofahamu kazi za Rais na mipango aliyonayo bali Kwa wale wasiofahamu. Mtu ambaye haumwi hahitaji daktari ila mgonjwa
Wewe kweli ni nanga. Eti kwa wasiofahamu ili wafahamu, then wakishafahamu so what!!! Mwanakijiji wa nanjilinji atafaidika vipi akifahamu kuwa mama kanunua ndege za viongozi? Kuna haja gani ya kumfahamisha mtu kuwa umemjengea barabara wakati anaiona? Unachomfahamisha ni nini? Hata kama ni njaa au uchawa basi huu wako umezidi, mnakera!
 
Wewe kweli ni nanga. Eti kwa wasiofahamu ili wafahamu, then wakishafahamu so what!!! Mwanakijiji wa nanjilinji atafaidika vipi akifahamu kuwa mama kanunua ndege za viongozi? Kuna haja gani ya kumfahamisha mtu kuwa umemjengea barabara wakati anaiona? Unachomfahamisha ni nini? Hata kama ni njaa au uchawa basi huu wako umezidi, mnakera!
Elimu Haina mwisho na sio Kila mtu anajua vile unavyojua. Kuna wengine wanajua barabara ni Kwa ajili ya kupitisha magari tu ila Kuna wengine wanajua zaidi
 
mnaweweseka tu kana kwamba CCM itawaenea huruma kwenye uchaguzi 🐒 thubutuuuu🤣

maana hamueleweki mara mtazira mara mtasusa uchaguzi eti sijui bila katiba au tume, mara tena mnazinduka mnataka kushiriki uchaguzi🤣

hata ulete story, historia, porojo na script za aina gani, CCM haitaki matani, haitaki mzaha wala haioni haya kutumia every possible resources physical, mentally and technologicaly, kuwafikia wapiga kura wengi zaidi kuliko chama chochote cha siasa unachokijua wew humu nchini na kushinda uchaguz 🐒
Punguza pumba ewe chawa wa mama Abdul
 
Back
Top Bottom