Uchaguzi 2020 Kampeni Mbagala Lissu aandaliwe vyema

Uchaguzi 2020 Kampeni Mbagala Lissu aandaliwe vyema

Mkuu usinikumbushe 2015 tulivumilia sana aisee, imagine unahutubiwa na kina Lawrence Masha anatuambia "Nimefungwa nikipigania haki" wakati miaka kadhaa nyuma aliwananga wafungwa eti jela siyo Kenpisk? Dah anakuja Lowassa anahutubia dakika 5 tunaondoka! Aisee ile ilikuwa zaidi ya aibu!

Nadhani sasa mmeanza kulielewa swali la Dr alipowauliza akina Lisu "Huyu Lowasa mnayemleta ni ASSET au LIABILITY?"
Wenye akili wote tulijua tutapata umaarufu feki na kura bandia za wakimbizi wa CCM, lakini gharama yake ni kuipoteza imani ya UMMA kwa Upinzani.
Na believe me - Lisu atapata kura chache saaana kuliko alizowahi kupata Dr Slaa. (ukiachilia zile kura bandia za Lowasa)
 
Mkuu CDM haijawahi kushika dola so haina cha kueleza imefanya nini
Nchi yetu ni masikini sana na kwa miaka yoote ccm imetawala na kutufikisha hapa
Kazi ya CDM kubwa ni kueleza madhaifu ya ccm na kisha kumalizia itafanya nini

Ni lazima kwanza umuue mpinzani wako kwenye weakness yake tena unapiga kweli kweli halafu unamalizia wewe ndio chama sahihi utafuta hizo weakness

Walio wengi mnataka eti cdm wakae wanaongea watakachofanya kwa asilimia kubwa ya kampeni......nope
Cdm wakisema ccm wezi hawajafanya hiki na kile tafsiri yake nyepesi ni kwamba mimi sio mwizi na nitafanya hiki na kile

So ccm wakae kwa kutulia dozi iwaingie
Wao wana yao pia ya kueleza
Ni sawa lakini kwa mfano ukieleza sera yako kuwa "tutahakikisha kuwa tunakuwa na vipaumbele vya serikali katika kuwaletea wananchi maendeleo ya uchumi na kijamii kwa kufanya .......badala ya ..... kama serikali ya CCM ifanyavyo" nk nk na si kusema fulani alifanya hivi au vile nk.. Unesha mambo positive utakayofanya then imarisha hoja yako kwa kuonesha swala ambalo si zuri katika serikali ya sasa.
 
Ni Imani yangu CHADEMA wameshaona na kujifunza kuhusu nguvu na udhaifu wa mgombea urais wao .

Siwezi kukosoa sana kwa kuwa mgombea alikua akicheza one man show na freestyle. Sasa ni kampeni rasmi zinazinduliwa. Mgombea na chama wanapaswa kujipanga. Wasiingie Kama 2015 pale Jangwani disorganised .

Hotuba ziandaliwe kikamilifu , Kila hoja apewe mtu mwenye weledi nayo . Kwa ufupi asiachwe mgombea au wagombea pekee kuzungumzia ilani.

Waandaliwe watu makini bila kujali vyeo vyao mfano bwana Nyalandu ana uwezo wa kutuliza munkari

Msigwa anaweza amshaamsha bila kushambulia wengine hovyo.

Profesa J anaweza kusimama na Sugu ufunguzi wa jukwaaa.

CHADEMA ijiepushe na mashambulizi kwa vyama vya upinzani hata Kama Kuna ya chinichini yabaki chini wasiwe wa Kwanza kuyaleta jukwaani.

Muda utumike vizuri sio hoja ya msingi inaletwa usiku wakati hakuna utulivu.Ni afadhali mkamaliza na burudani kuliko burudani ikatawala Kisha mkamaliza na elimu, elimu elimu.

Viongozi wajue Kila anayepanda jukwaani ana Nini Cha kuongea mfano mgombea ubunge, udiwani meya wastaafu nk.Vinginevyo mtu ataweza chafua Hali ya hewa.
chini ya awamu hii, siasa za kimapokeo (conventional politics) haziwezi kufanya kazi. inahitajika radical approach ambayo ndiyo haswa Tundu Lissu is the best at.

don't change Tundu into what he's NOT. amefika hapo alipo (kuwa mgombea wa urais kupitia chama kikuu cha upinzani) si kwa kutumia siasa za kimapokeo.

after 60 days of campaigning sisi wapiga kura (wote kutoka CCM na upinzani) tutakuwa tumeshamwelewa Tundu.

go Tundu go.... hit them where it hurts most!!
 
Mkuu usinikumbushe 2015 tulivumilia sana aisee, imagine unahutubiwa na kina Lawrence Masha anatuambia "Nimefungwa nikipigania haki" wakati miaka kadhaa nyuma aliwananga wafungwa eti jela siyo Kenpisk? Dah anakuja Lowassa anahutubia dakika 5 tunaondoka! Aisee ile ilikuwa zaidi ya aibu!
Namwaminia Lisu !
 
Ni Imani yangu CHADEMA wameshaona na kujifunza kuhusu nguvu na udhaifu wa mgombea urais wao .

Siwezi kukosoa sana kwa kuwa mgombea alikua akicheza one man show na freestyle. Sasa ni kampeni rasmi zinazinduliwa. Mgombea na chama wanapaswa kujipanga. Wasiingie Kama 2015 pale Jangwani disorganised .

Hotuba ziandaliwe kikamilifu , Kila hoja apewe mtu mwenye weledi nayo . Kwa ufupi asiachwe mgombea au wagombea pekee kuzungumzia ilani.

Waandaliwe watu makini bila kujali vyeo vyao mfano bwana Nyalandu ana uwezo wa kutuliza munkari

Msigwa anaweza amshaamsha bila kushambulia wengine hovyo.

Profesa J anaweza kusimama na Sugu ufunguzi wa jukwaaa.

CHADEMA ijiepushe na mashambulizi kwa vyama vya upinzani hata Kama Kuna ya chinichini yabaki chini wasiwe wa Kwanza kuyaleta jukwaani.

Muda utumike vizuri sio hoja ya msingi inaletwa usiku wakati hakuna utulivu.Ni afadhali mkamaliza na burudani kuliko burudani ikatawala Kisha mkamaliza na elimu, elimu elimu.

Viongozi wajue Kila anayepanda jukwaani ana Nini Cha kuongea mfano mgombea ubunge, udiwani meya wastaafu nk.Vinginevyo mtu ataweza chafua Hali ya hewa.
Kweli urais ni kuandaa maandamano, kuhakikisha maslai mapana ya mabebelu anayalindwa na kuhakikisha fujo ndio mpanga mzima katika taifa na si ujezi wa mihundo mbinu, maji, umeme na vingine

Na vilevile taasisi ya uraisi si utetezi wa wanyonge bali ni utetezi wa mapenzi ya jinsia moja
 
Una hoja ila unapigia mbuzi gitaa hayo yangewezekana Kama mgombea angekuwa Nyalandu huyu kichwa maji Lisu hawezi pokea ushauri

Nyalandu sio mwanacdm bali ni mwanaccm.
 
Mkuu usinikumbushe 2015 tulivumilia sana aisee, imagine unahutubiwa na kina Lawrence Masha anatuambia "Nimefungwa nikipigania haki" wakati miaka kadhaa nyuma aliwananga wafungwa eti jela siyo Kenpisk? Dah anakuja Lowassa anahutubia dakika 5 tunaondoka! Aisee ile ilikuwa zaidi ya aibu!
Kumbe ile ilikuwa aibu?

Mbona tulikuwa tunawaambia mkawa mnatoa mapovu?
 
Nadhani mwaka huu Chadema wamejipanga vema. Mambo ya kunanga chama tawala yapo mengi sana kwa hiyo tutarajie burudani.
 
Mkuu CDM haijawahi kushika dola so haina cha kueleza imefanya nini
Nchi yetu ni masikini sana na kwa miaka yoote ccm imetawala na kutufikisha hapa
Kazi ya CDM kubwa ni kueleza madhaifu ya ccm na kisha kumalizia itafanya nini

Ni lazima kwanza umuue mpinzani wako kwenye weakness yake tena unapiga kweli kweli halafu unamalizia wewe ndio chama sahihi utafuta hizo weakness

Walio wengi mnataka eti cdm wakae wanaongea watakachofanya kwa asilimia kubwa ya kampeni......nope
Cdm wakisema ccm wezi hawajafanya hiki na kile tafsiri yake nyepesi ni kwamba mimi sio mwizi na nitafanya hiki na kile

So ccm wakae kwa kutulia dozi iwaingie
Wao wana yao pia ya kueleza
Chadema hawapaswi kwenda Mbagala mikono mitupu au na vikaratasi. Huko nyuma tuliwasihi waandae ilani kamili. Katibu mkuu Mnyika aliwahi kusema wanaandaa ilani. CCM watakuwa bize kujua Kama Chadema Wana Ilani. CHADEMA IKIKOSA ILANI IMEJIMALIZA
 
Aisee tulijikaza kiume ila Lowassa alikuwa anazingua sana jukwaani. Kiukweli Lowassa angekuwa mzungumzaji mzuri basi uwanja ulikuwa wazi kwake.
Ila Lowasa alikua Bora sana kwenye organisation . Wale vijana wa Lowassa walijipanga kwenye media, Kwenye vifaaa na propaganda. BILA Lowassa mbowe asingeweza. Mbowe ana uzubavu au sio mweledi kwenye kuunda team.
 
Mkuu usinikumbushe 2015 tulivumilia sana aisee, imagine unahutubiwa na kina Lawrence Masha anatuambia "Nimefungwa nikipigania haki" wakati miaka kadhaa nyuma aliwananga wafungwa eti jela siyo Kenpisk?
ahahahaaaaa . . . . . . . .duuuh hii mbaya sana asee
 
Chadema hawapaswi kwenda Mbagala mikono mitupu au na vikaratasi. Huko nyuma tuliwasihi waandae ilani kamili. Katibu mkuu Mnyika aliwahi kusema wanaandaa ilani. CCM watakuwa bize kujua Kama Chadema Wana Ilani. CHADEMA IKIKOSA ILANI IMEJIMALIZA

..CDM wanayo ilani.

..kila chama kinachoshiriki ktk uchaguzi mkuu kinatakiwa kisheria kuwasilisha ilani yao kwa Msajili wa Vyama.

..Na ilani inazinduliwa siku ya ufunguzi wa kampeni.

..wasiwasi wangu ni kama TL na Salum Mwalimu wameandaliwa/wamejiandaa vizuri kuizindua ilani ya CDM.

NB:

..Tatizo la wanasiasa wengi wa Tanzania ni kutojiandaa kabla ya kuzungumza na wananchi.

..Mkapa[r.i.p] hakuwa mzungumzaji mzuri, ila alikuwa akijiandaa kwelikweli, na hicho ndicho kilimuinua.
 
Nadhani sasa mmeanza kulielewa swali la Dr alipowauliza akina Lisu "Huyu Lowasa mnayemleta ni ASSET au LIABILITY?"
Wenye akili wote tulijua tutapata umaarufu feki na kura bandia za wakimbizi wa CCM, lakini gharama yake ni kuipoteza imani ya UMMA kwa Upinzani.
Na believe me - Lisu atapata kura chache saaana kuliko alizowahi kupata Dr Slaa. (ukiachilia zile kura bandia za Lowasa)

Chini ya Magufuli hakuna ushindani wa box la kura, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 
Lisu pia alitokea NCCR yeye na Godbless Lema na mchungaji Msigwa kabla kujiunga Chadema kwa hiyo wao NCCR?

Ukitokea upinzani na kwenda cdm we ni mpinzani, na sio kutoka ccm.
 
Mkuu, tegemea boko za kufa MTU Leo. Hapo ufipani hakuna mathink tanks anymore, pole.
 
Mkuu usinikumbushe 2015 tulivumilia sana aisee, imagine unahutubiwa na kina Lawrence Masha anatuambia "Nimefungwa nikipigania haki" wakati miaka kadhaa nyuma aliwananga wafungwa eti jela siyo Kenpisk? Dah anakuja Lowassa anahutubia dakika 5 tunaondoka! Aisee ile ilikuwa zaidi ya aibu!
Sasa hivi mkuu tuna jembe mpaka Magu huko aliko anajambajamba tu utafikri amechanganya maharage ya Mbeya na Uduvi!!
 
Back
Top Bottom