Uchaguzi 2020 Kampeni Nzega: Dkt. Magufuli asema wanaomshangaa kununua ndege 11 wamepungukiwa

Hivi hizi ndege wanasema zinaleta madawa Ni ndege za mizigo? Hayo madawa ya kuletwa na ndege 11 inamaana Kuna mlipuko wa maradhi gani? Taifa lote lonaumwa? Jamani jamani jamani, mtudanganye polepole, kidogokidogo!
 
Kwa nini tuendelee kuongozwa na wanyarwanda?
 
Hivi hizi ndege wanasema zinaleta madawa Ni ndege za mizigo? Hayo madawa ya kuletwa na ndege 11 inamaana Kuna mlipuko wa maradhi gani? Taifa lote lonaumwa? Jamani jamani jamani, mtudanganye polepole, kidogokidogo!
kwani dawa za coronya madagaskeri zililetwa na bundi?
 
Kama sera yetu "saccos" ni risasi 32 ......., na gari Polisi wamelikatalia tulitaka kuwaonyesha wapiga kura
 
Kama sera yetu "saccos" ni risasi 32 ......., na gari Polisi wamelikatalia tulitaka kuwaonyesha wapiga kura
 
Waambieni hao viongozi wenu tunataka sera,sio kutuadisia habar yandege11 sjui znabeba madawa.kwani zle ndege nizamizigo?afu mbona kama wamesahau waltuambia Tanzania yaviwanda...izo dawa znatoka wapi kama viwanda vpo nchini.mbona kampeni zamwaka huu ntofauti nlzoea miaka ilio pta CCM wakiwa nasera madhubuti kabsa haya maneno yatupeni Kura tutafanya bla kuonesha mipango yslkuaga upinzan.sasaiv yamekua CCM dah kwel maisha yanaenda Kasi....sina chama ingawa Chama cha mapinduzi ndio kimenilea kwenye shule zao zawazaz.ila mwaka huu kama mspo badlka nakuonesha nijinsi gani mtatutoa kwenye umaskn....Kura yangu mtaisikia tu uko ntakuja kula kwakua ndio nyumban
 
Jiwe anapoambiwa mapungufu yake analia kuwa eti anatukanwa!!! Hoja hujibiwa na hoja na sio kulalama. Jibu kwanini unasema unapiga vita ufisadi huku wewe mwenyewe unavunja sheria za manunuzi ambazo wananchi wengi wamefungwa kwa kuzikiuka?
Ufisadi Ni fimbo ya kuwachapia wasiotaka kumuabudu,atulii ndege
 
Tuvushe Baba upande wa pili hawataki kusikia maendeleo ya miundombinu hawajui hata nchi zilizoendelea zilianza na mageuzi ya miundombinu ndio vikaja viwanda. Watanzania tuna imani na wewe miaka tano kwako Mh. Rais John Pombe Magufuli.
Maendeleo ya vitu bila kugusa maisha ya watu ni upofu huo
 
Hahaha nimeona anawaombea madiwani "KULA". anasisitiza nawaombea madiwani "KULA".
 
Hivi hizi ndege wanasema zinaleta madawa Ni ndege za mizigo? Hayo madawa ya kuletwa na ndege 11 inamaana Kuna mlipuko wa maradhi gani? Taifa lote lonaumwa? Jamani jamani jamani, mtudanganye polepole, kidogokidogo!
Zitaleta madawa toka kwa mabeberu na kuchukua raslimali zetu kuzipeleka kwa mabeberu kuziuza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…