Ccm haturudii makosa usukumani huko imetosha kazi yakuwapaga watu kazikubwa na waswagaji wa ng'ombe haijrudiiWe jamaa uloadimika Sana miaka ya awamu ya Chato.
Bahati mbaya hawana viwango vya kukunwaKuna watu huwa mnawashwa mtukanwe tu na sio vinginevyo
ni vichaa tu huwa wansamehe "magaidi" kam ayale magaidi ya kiislamu yaliyosamehewa ...kesi iendelee hapigiwi mtu magoti hapa wapuuzi kweli halafu msukuma aliwaweza kweli hii iD ilikuw aimepoteaga kabisa naona mmerudi ulingoni sasa mnakula per diem tuSaa ngapi tunaitisha Space au tunakutana Club House ili tuwalaumu viongozi wa dini,
Nani kawatuma kumuombea Mbowe msamaha.
Huyu anaangalia mambo kwa mlengo wa dini. sasa John kwake alikuwa "kafiri".We jamaa uloadimika Sana miaka ya awamu ya Chato.
Wanaukumbi.
Chadema mnajitapa mna wanachama active 12 milioni. Kampeni ya ‘Join The Chain’ imebuma. Mmekuja na “One Million Challenge’ kwa wiki mnaomba 1K kwa kichwa nayo tia maji, tia maji. Hao wanachama 12m ni wafu au ‘Ghosts’? Kama katika 12m mnashindwa kupata 1K kwa mtu kwa siku 7?
Chadema sina uhakika kama mna wanachama hai (active members) laki moja (100K) hadi sasa. Mmebakiza porojo tu.
Acha wivu, hata mchawi wakati mingine anaficha wivu na chuki yake Kwa anaowalenga😃😄Wanaukumbi.
Chadema mnajitapa mna wanachama active 12 milioni. Kampeni ya ‘Join The Chain’ imebuma. Mmekuja na “One Million Challenge’ kwa wiki mnaomba 1K kwa kichwa nayo tia maji, tia maji. Hao wanachama 12m ni wafu au ‘Ghosts’? Kama katika 12m mnashindwa kupata 1K kwa mtu kwa siku 7?
Chadema sina uhakika kama mna wanachama hai (active members) laki moja (100K) hadi sasa. Mmebakiza porojo tu.