Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mmanyema shughulika na ukoma wako kwanza.Wanaukumbi.
Chadema mnajitapa mna wanachama active 12 milioni. Kampeni ya ‘Join The Chain’ imebuma. Mmekuja na “One Million Challenge’ kwa wiki mnaomba 1K kwa kichwa nayo tia maji, tia maji. Hao wanachama 12m ni wafu au ‘Ghosts’? Kama katika 12m mnashindwa kupata 1K kwa mtu kwa siku 7?
Chadema sina uhakika kama mna wanachama hai (active members) laki moja (100K) hadi sasa. Mmebakiza porojo tu.
View attachment 2137225
Mimi naomba umjibu aliyeuliza sababu ya ID yako kuwa active pale tu Rais anapokuwa Muislamu.Saa ngapi tunaitisha Space au tunakutana Club House ili tuwalaumu viongozi wa dini,
Nani kawatuma kumuombea Mbowe msamaha.
Leta picha ya Makao Makuu ya TANU wakati inapewa Uhuru wa Tanganyika Desemba 9, 1961.Haya ni Makao Makuu ya chama kinachotaka tukipe dhamana ya kuongoza nchi yetu. Tena hata hiyo nyumba vichochoroni wamepangisha. [emoji85]
Hivi hata dunia si watatucheka. [emoji1537][emoji16]
View attachment 2137243
Wanaukumbi.
Chadema mnajitapa mna wanachama active 12 milioni. Kampeni ya ‘Join The Chain’ imebuma. Mmekuja na “One Million Challenge’ kwa wiki mnaomba 1K kwa kichwa nayo tia maji, tia maji. Hao wanachama 12m ni wafu au ‘Ghosts’? Kama katika 12m mnashindwa kupata 1K kwa mtu kwa siku 7?
Chadema sina uhakika kama mna wanachama hai (active members) laki moja (100K) hadi sasa. Mmebakiza porojo tu.
View attachment 2137225
Haya ni Makao Makuu ya chama kinachotaka tukipe dhamana ya kuongoza nchi yetu. Tena hata hiyo nyumba vichochoroni wamepangisha. 🙈
Hivi hata dunia si watatucheka. 👋🏿😁
View attachment 2137243
SABODO ALITOA MILLIONI MIAMOJA YA KUJENGA OFISI YA CHAMA MBOWE KALA YOOOOOOOOOOTEEEEEEE HALAFU BADO MNAMUABUDU KAMA NINI NA KUSEMA SIYO GAIDI??Leta picha ya Makao Makuu ya TANU wakati inapewa Uhuru wa Tanganyika Desemba 9, 1961.
Ameanza tena kuingiza makontena bila kulipia kodi na ushuru. Yani hawa waswahiliWe jamaa uloadimika Sana miaka ya awamu ya Chato.
Usijumuishe wote we mkoma... aliyejipendekeza na kujidhalilisha na sheikh ubwabwa wenu ambaye hakutumwa.Vipi leo spesi saa ngapi kuwatukana viongozi wa dini waliomuombea Mbowe.
Na Trillion thelathini magufuli alizowaibia watanzania chini ya miaka minne tu.SABODO ALITOA MILLIONI MIAMOJA YA KUJENGA OFISI YA CHAMA MBOWE KALA YOOOOOOOOOOTEEEEEEE HALAFU BADO MNAMUABUDU KAMA NINI NA KUSEMA SIYO GAIDI??
Karibu ingia na wewe space, uungane na wenye akili🏃♂️⛹️Vipi leo spesi saa ngapi kuwatukana viongozi wa dini waliomuombea Mbowe.
Wanaukumbi.
Chadema mnajitapa mna wanachama active 12 milioni. Kampeni ya ‘Join The Chain’ imebuma. Mmekuja na “One Million Challenge’ kwa wiki mnaomba 1K kwa kichwa nayo tia maji, tia maji. Hao wanachama 12m ni wafu au ‘Ghosts’? Kama katika 12m mnashindwa kupata 1K kwa mtu kwa siku 7?
Chadema sina uhakika kama mna wanachama hai (active members) laki moja (100K) hadi sasa. Mmebakiza porojo tu.
View attachment 2137225
Wivu umewajaa Wana chichiemuu juu ya chadema. Wamasahau kuwa kuwepo Kwa chadema ni mpango wa Mungu. 🤔Haya ni matamanio ya kila mwanaccm kuwa cdm isifanikiwe.
We jamaa Leo nimekudharauWanaukumbi.
Chadema mnajitapa mna wanachama active 12 milioni. Kampeni ya ‘Join The Chain’ imebuma. Mmekuja na “One Million Challenge’ kwa wiki mnaomba 1K kwa kichwa nayo tia maji, tia maji. Hao wanachama 12m ni wafu au ‘Ghosts’? Kama katika 12m mnashindwa kupata 1K kwa mtu kwa siku 7?
Chadema sina uhakika kama mna wanachama hai (active members) laki moja (100K) hadi sasa. Mmebakiza porojo tu.
View attachment 2137225
Nadhan hiyo hapo juu NI mojawapoKuna ID huwa zinaonekana mwenyekiti wa ccm akiwa muislamu