Kampeni ya ‘Join The Chain’ imebuma. Mmekuja na “One Million Challenge’ nayo unabuma wanachama hewa

Kampeni ya ‘Join The Chain’ imebuma. Mmekuja na “One Million Challenge’ nayo unabuma wanachama hewa

Haya ni Makao Makuu ya chama kinachotaka tukipe dhamana ya kuongoza nchi yetu. Tena hata hiyo nyumba vichochoroni wamepangisha. 🙈

Hivi hata dunia si watatucheka. 👋🏿😁

F3F44A4C-3BC8-497F-933C-362ADB1E1138.jpeg
 
Wanaukumbi.

Chadema mnajitapa mna wanachama active 12 milioni. Kampeni ya ‘Join The Chain’ imebuma. Mmekuja na “One Million Challenge’ kwa wiki mnaomba 1K kwa kichwa nayo tia maji, tia maji. Hao wanachama 12m ni wafu au ‘Ghosts’? Kama katika 12m mnashindwa kupata 1K kwa mtu kwa siku 7?

Chadema sina uhakika kama mna wanachama hai (active members) laki moja (100K) hadi sasa. Mmebakiza porojo tu.

View attachment 2137225
We mmanyema shughulika na ukoma wako kwanza.
 
Wanaukumbi.

Chadema mnajitapa mna wanachama active 12 milioni. Kampeni ya ‘Join The Chain’ imebuma. Mmekuja na “One Million Challenge’ kwa wiki mnaomba 1K kwa kichwa nayo tia maji, tia maji. Hao wanachama 12m ni wafu au ‘Ghosts’? Kama katika 12m mnashindwa kupata 1K kwa mtu kwa siku 7?

Chadema sina uhakika kama mna wanachama hai (active members) laki moja (100K) hadi sasa. Mmebakiza porojo tu.

View attachment 2137225
1641207601212.png


2878995_images_9.jpeg
 
Leta picha ya Makao Makuu ya TANU wakati inapewa Uhuru wa Tanganyika Desemba 9, 1961.
SABODO ALITOA MILLIONI MIAMOJA YA KUJENGA OFISI YA CHAMA MBOWE KALA YOOOOOOOOOOTEEEEEEE HALAFU BADO MNAMUABUDU KAMA NINI NA KUSEMA SIYO GAIDI??
 
Acha wivu, hata mchawi wakati mingine anaficha wivu na chuki yake Kwa anaowalenga😃😄
Vipi leo spesi saa ngapi kuwatukana viongozi wa dini waliomuombea Mbowe.
 
Vipi leo spesi saa ngapi kuwatukana viongozi wa dini waliomuombea Mbowe.
Usijumuishe wote we mkoma... aliyejipendekeza na kujidhalilisha na sheikh ubwabwa wenu ambaye hakutumwa.

Mbowe hana shida ya msamaha pelekeni ukoma wenu huko.
 
SABODO ALITOA MILLIONI MIAMOJA YA KUJENGA OFISI YA CHAMA MBOWE KALA YOOOOOOOOOOTEEEEEEE HALAFU BADO MNAMUABUDU KAMA NINI NA KUSEMA SIYO GAIDI??
Na Trillion thelathini magufuli alizowaibia watanzania chini ya miaka minne tu.
 
Wanaukumbi.

Chadema mnajitapa mna wanachama active 12 milioni. Kampeni ya ‘Join The Chain’ imebuma. Mmekuja na “One Million Challenge’ kwa wiki mnaomba 1K kwa kichwa nayo tia maji, tia maji. Hao wanachama 12m ni wafu au ‘Ghosts’? Kama katika 12m mnashindwa kupata 1K kwa mtu kwa siku 7?

Chadema sina uhakika kama mna wanachama hai (active members) laki moja (100K) hadi sasa. Mmebakiza porojo tu.

View attachment 2137225

Haya ni matamanio ya kila mwanaccm kuwa cdm isifanikiwe.
 
Wanaukumbi.

Chadema mnajitapa mna wanachama active 12 milioni. Kampeni ya ‘Join The Chain’ imebuma. Mmekuja na “One Million Challenge’ kwa wiki mnaomba 1K kwa kichwa nayo tia maji, tia maji. Hao wanachama 12m ni wafu au ‘Ghosts’? Kama katika 12m mnashindwa kupata 1K kwa mtu kwa siku 7?

Chadema sina uhakika kama mna wanachama hai (active members) laki moja (100K) hadi sasa. Mmebakiza porojo tu.

View attachment 2137225
We jamaa Leo nimekudharau
 
Back
Top Bottom