Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Huyo ni kundi Moja na akina Comte, magonjwa mtambuka, stroke, Dudumizi &chichiem co.We jamaa Leo nimekudharau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni kundi Moja na akina Comte, magonjwa mtambuka, stroke, Dudumizi &chichiem co.We jamaa Leo nimekudharau
SABODO ALITOA MILLIONI MIAMOJA YA KUJENGA OFISI YA CHAMA MBOWE KALA YOOOOOOOOOOTEEEEEEE HALAFU BADO MNAMUABUDU KAMA NINI NA KUSEMA SIYO GAIDI??
HIZO NDIZO UNAONA MABARABARA FLYOVER MADARAJA NA VITU KIBAO HEBU NIAMBIE ALIZOWAIBIA MBOWE AMEFANYIA NINI ? NA BADO MNAIMBA NA KUABUDU KWAKE? USHAMBA MZIGO AISEENa Trillion thelathini magufuli alizowaibia watanzania chini ya miaka minne tu.
Wewe unesema safiCcm haturudii makosa usukumani huko imetosha kazi yakuwapaga watu kazikubwa na waswagaji wa ng'ombe haijrudii
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Hapana mkuu. Barabara katumia Trillion Ishirini tu akaiba bila aibu trillion 30. Kwasababu hela yote ilikuwa trillion hamsini akaiba bila aibu trillion 30 Ishirini iliyobaki ndio akazugia iyo mibarabara. Ikabidi awaishwe tu kuzimu faster kabla ya siku zakekwa maslahi mapana ya taifa kulinusuru taifaHIZO NDIZO UNAONA MABARABARA FLYOVER MADARAJA NA VITU KIBAO HEBU NIAMBIE ALIZOWAIBIA MBOWE AMEFANYIA NINI ? NA BADO MNAIMBA NA KUABUDU KWAKE? USHAMBA MZIGO AISEE
Msomi gani unaestablish fact kwa data za wiki??Wale watu wa kile chama ni wakuhurumiwa tu!
Wako kama misukule
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Naona toka Maza ameingia umerudi kwa kazi sana na umekuwa mpiga propaganda zaidi ya enzi za JK.Wanaukumbi.
Chadema mnajitapa mna wanachama active 12 milioni. Kampeni ya ‘Join The Chain’ imebuma. Mmekuja na “One Million Challenge’ kwa wiki mnaomba 1K kwa kichwa nayo tia maji, tia maji. Hao wanachama 12m ni wafu au ‘Ghosts’? Kama katika 12m mnashindwa kupata 1K kwa mtu kwa siku 7?
Chadema sina uhakika kama mna wanachama hai (active members) laki moja (100K) hadi sasa. Mmebakiza porojo tu.
View attachment 2137225
Wanatafuta taarifa za kilichokusanywa indirectly,washindwe.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kampeni imewauma sana na mtakufa kwa Presha ya kushuka BIG UP CHADEMA
Jobless wa jf bwana, kwahiyo na wewe unalolote la kuamua mule CCM??😂Ccm haturudii makosa usukumani huko imetosha kazi yakuwapaga watu kazikubwa na waswagaji wa ng'ombe haijrudii
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Akina faizaKuna ID huwa zinaonekana mwenyekiti wa ccm akiwa muislamu