Wana Jukwaa, sasa tuanzishe kampeni ya kuhakikisha Rais wetu JPM anakuwa verified member humu Jamii forum
Haiwezekani Rais atumie mtandao wa Twitter pekee wakati kuna mtandao wa kizalendo ambao ndio Mtandao unaokusanya kero na matatizo ya watanzania.
Hivyo popote Msaidizi wa Rais, au uliyekaribu na Rais tunakuomba umweleze Mh Rais kwamba Wana Great Thinker wanamhitaji humu, na humu ndio sehemu pekee tunaweza tukadiscuss mambo yetu.
Huku hawez kuja maana hana madaraka ya kuamuru nani apigwe ban km anavyofanya anapoamuru kule kwa watendaj wake....
Pia atakula za uso hadi aione dunia chungu ...... we unafanya masikhara had kutaman kufungia mitandao
Mtu mwenye uwezo mkubwa wa kukariri, kusoma na kuweka kumbukumbu kama JPM hawezi kukosa humu ninachotamani ni yeye kuingia kwa jina lake halisi na akaanzisha uzi wa :KATIKA UTAWALA WA AWAMU HII NINI UNGEPENDA NIFANYE, hapa angepata mawazo sahihi yasiyo ya woga