Kampeni ya Kumshawishi Rais Magufuli Ajiunge JF

Kampeni ya Kumshawishi Rais Magufuli Ajiunge JF

Mtu anakesha akiomba malaika atue hapa kufunga JF na mitandao yote alafu wewe unaanzisha kampeni ya kumshawishi aache kutumia fake ID na kutumia real ID?

Watch out, not to that extent.
 
Tatizo la humu tutashindwa kuiheshimu ID yake ...Pm za ajabu ajabu zitaanza kuelekezwa kwake.

Matusi na vihoja vitakuwa mbele badala ya michango ya kuboresha.

Liacheni jamvi litulie kwa style hii hii tuliyonayo
 
Hapana aishie hukohuko akija hapa atataka uadmin hapo ndo tutajaa wote Segerea
 
Wana Jukwaa, sasa tuanzishe kampeni ya kuhakikisha Rais wetu JPM anakuwa verified member humu Jamii forum

Haiwezekani Rais atumie mtandao wa Twitter pekee wakati kuna mtandao wa kizalendo ambao ndio Mtandao unaokusanya kero na matatizo ya watanzania.

Hivyo popote Msaidizi wa Rais, au uliyekaribu na Rais tunakuomba umweleze Mh Rais kwamba Wana Great Thinker wanamhitaji humu, na humu ndio sehemu pekee tunaweza tukadiscuss mambo yetu.

Karibu Mh Rais Dr. John Magufuli

Cc Mwigulu Nchemba, Nape Nnauye, Paul Makonda hk kigwangala, Msigwa, Rithiwan Kikwete, Humphrey Polepole

0c92947f29c6d6ee1debb18056af919a.jpg


Hii picha yake ukimwangalia machoni unaweza kuandika kitabu abort likasome..
 
Wana Jukwaa, sasa tuanzishe kampeni ya kuhakikisha Rais wetu JPM anakuwa verified member humu Jamii forum

Haiwezekani Rais atumie mtandao wa Twitter pekee wakati kuna mtandao wa kizalendo ambao ndio Mtandao unaokusanya kero na matatizo ya watanzania.

Hivyo popote Msaidizi wa Rais, au uliyekaribu na Rais tunakuomba umweleze Mh Rais kwamba Wana Great Thinker wanamhitaji humu, na humu ndio sehemu pekee tunaweza tukadiscuss mambo yetu.

Karibu Mh Rais Dr. John Magufuli

Cc Mwigulu Nchemba, Nape Nnauye, Paul Makonda hk kigwangala, Msigwa, Rithiwan Kikwete, Humphrey Polepole

0c92947f29c6d6ee1debb18056af919a.jpg
Yuko humu kitambo..
Tuliza boli
 
Wana Jukwaa, sasa tuanzishe kampeni ya kuhakikisha Rais wetu JPM anakuwa verified member humu Jamii forum

Haiwezekani Rais atumie mtandao wa Twitter pekee wakati kuna mtandao wa kizalendo ambao ndio Mtandao unaokusanya kero na matatizo ya watanzania.

Hivyo popote Msaidizi wa Rais, au uliyekaribu na Rais tunakuomba umweleze Mh Rais kwamba Wana Great Thinker wanamhitaji humu, na humu ndio sehemu pekee tunaweza tukadiscuss mambo yetu.

Karibu Mh Rais Dr. John Magufuli

Cc Mwigulu Nchemba, Nape Nnauye, Paul Makonda hk kigwangala, Msigwa, Rithiwan Kikwete, Humphrey Polepole

0c92947f29c6d6ee1debb18056af919a.jpg
sidhani kama ana kifua cha kubebea makombora ya wakuu wangu humu - nikiwataja kwa uchache akina BAK , Salary Slip , Mmawia , Matola , nk, nk

sidhani!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ili mumuandikie haya mnayoandikaga humu yasiyo na heshima na maneno machafu juu yake.

Mnataka JF ifungiwe kwenye mengi au!?

Jibadilisheni kwanza.... ndio mumuombe

Ila yeye kuwa msomaji ni vizuri tu, tabu wengi mnaandika upupwu juu yake hadi hawezi kuitaja forum hii.
Nikuulize wazazi wako na huyu nani unamheshimu zaidi
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom