Kampeni ya Kumshawishi Rais Magufuli Ajiunge JF

Kampeni ya Kumshawishi Rais Magufuli Ajiunge JF

huyu bwana hana simile anaweza kukutukana humu humu by the way naunga mkonyo hoja
 
Ingekuwa Vyema hiyo ID yake imilikiwe na Gerson Msigwa au Balozi Kijazi tuu inatosha.
 
Mtu mwenye uwezo mkubwa wa kukariri, kusoma na kuweka kumbukumbu kama JPM hawezi kukosa humu ninachotamani ni yeye kuingia kwa jina lake halisi na akaanzisha uzi wa :KATIKA UTAWALA WA AWAMU HII NINI UNGEPENDA NIFANYE, hapa angepata mawazo sahihi yasiyo ya woga
Safi sana mkuu!!
Rais kuwepo humu itasaidia kujua kero za watu wengi sana
 
Anaye mjua kwa jina lake analotumia sijui anajiita geza
 
Tatizo la humu tutashindwa kuiheshimu ID yake ...Pm za ajabu ajabu zitaanza kuelekezwa kwake.

Matusi na vihoja vitakuwa mbele badala ya michango ya kuboresha.

Liacheni jamvi litulie kwa style hii hii tuliyonayo
Kama ni PM anaweza kuifunga.

Alafu yanao te deka humu hata huko twitter, fb na insta yamo.
 
Wana Jukwaa, sasa tuanzishe kampeni ya kuhakikisha Rais wetu JPM anakuwa verified member humu Jamii forum

Haiwezekani Rais atumie mtandao wa Twitter pekee wakati kuna mtandao wa kizalendo ambao ndio Mtandao unaokusanya kero na matatizo ya watanzania.

Hivyo popote Msaidizi wa Rais, au uliyekaribu na Rais tunakuomba umweleze Mh Rais kwamba Wana Great Thinker wanamhitaji humu, na humu ndio sehemu pekee tunaweza tukadiscuss mambo yetu.

Karibu Mh Rais Dr. John Magufuli

Cc Mwigulu Nchemba, Nape Nnauye, Paul Makonda hk kigwangala, Msigwa, Rithiwan Kikwete, Humphrey Polepole

0c92947f29c6d6ee1debb18056af919a.jpg
Tatizo lenu mtaanza kumtakana
 
Tatizo lenu mtaanza kumtakana
Watakao mtukana Rais watakuwa wamekosa adabu.

Kutofautiana ni kitu cha kawaida, hata ke twitter kuna watu wanatofautiana nae na kum quote sehem nyingi
 
Back
Top Bottom