Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukishaona Ni Rais, unaoaswa uwe na nidham ya kuuliza na kumjibu.Huku aje kufanya nini?
Akikupiga mkwara.. Ukimrudishia si anakuweka segerea na kesi ya utakatishaji wa hela
Rais sio muoga wwalivyomuoga kukosolewa atakuwa anachungulia tu alishaagiza malaika waizime mitandao
Safi sana mkuu!!Mtu mwenye uwezo mkubwa wa kukariri, kusoma na kuweka kumbukumbu kama JPM hawezi kukosa humu ninachotamani ni yeye kuingia kwa jina lake halisi na akaanzisha uzi wa :KATIKA UTAWALA WA AWAMU HII NINI UNGEPENDA NIFANYE, hapa angepata mawazo sahihi yasiyo ya woga
Huku kuna nn?Akijiunga kila siku atapelekwa Muhimbili kwa tatizo la moyo..
Abaki hukohuko Twitter na Facebook, huku awe anapasikia..
Acha uogasiungi mkono hoja..
Kwann unapinga?Nakataa,napinga
mmmmmh!!Ameniambia kuwa anaweza kujiunga tu pale sisi sote tutakapokuwa verified member/tuwe na majina yetu halisi.
Je tuko tayari?
Rais sio muoga ww
Kama ni PM anaweza kuifunga.Tatizo la humu tutashindwa kuiheshimu ID yake ...Pm za ajabu ajabu zitaanza kuelekezwa kwake.
Matusi na vihoja vitakuwa mbele badala ya michango ya kuboresha.
Liacheni jamvi litulie kwa style hii hii tuliyonayo
Tatizo lenu mtaanza kumtakanaWana Jukwaa, sasa tuanzishe kampeni ya kuhakikisha Rais wetu JPM anakuwa verified member humu Jamii forum
Haiwezekani Rais atumie mtandao wa Twitter pekee wakati kuna mtandao wa kizalendo ambao ndio Mtandao unaokusanya kero na matatizo ya watanzania.
Hivyo popote Msaidizi wa Rais, au uliyekaribu na Rais tunakuomba umweleze Mh Rais kwamba Wana Great Thinker wanamhitaji humu, na humu ndio sehemu pekee tunaweza tukadiscuss mambo yetu.
Karibu Mh Rais Dr. John Magufuli
Cc Mwigulu Nchemba, Nape Nnauye, Paul Makonda hk kigwangala, Msigwa, Rithiwan Kikwete, Humphrey Polepole
![]()
SijuiRithiwani Kikwete Ndio nani mkuu?
wapi wwSomebody said @Dr Magufuli21 is a member Jf.
Hahah umenikumbusha mbali mambo ya Abort na LambertHii picha yake ukimwangalia machoni unaweza kuandika kitabu abort likasome..
watakuwa na nidham, kumbuka unapomjibu Rais hata kama yupo tofauti na ww kimtazako kuna lugha ya kuzungumza, sio km unamjibu memba yyt humusidhani kama ana kifua cha kubebea makombora ya wakuu wangu humu - nikiwataja kwa uchache akina BAK , Salary Slip , Mmawia , Matola , nk, nk
sidhani!
Hapana, tunataka yeye, ndio maana hata twitter anamiliki yeyeIngekuwa Vyema hiyo ID yake imilikiwe na Gerson Msigwa au Balozi Kijazi tuu inatosha.
Watakao mtukana Rais watakuwa wamekosa adabu.Tatizo lenu mtaanza kumtakana
mkuu itategemea na rais mwenyewe atakavokuwa anaji-express. si unamjua mtu mwenyewe?watakuwa na nidham, kumbuka unapomjibu Rais hata kama yupo tofauti na ww kimtazako kuna lugha ya kuzungumza, sio km unamjibu memba yyt humu