Kampeni ya Kumshawishi Rais Magufuli Ajiunge JF

Alafu watu eti wanamuita Sizonje [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ameniambia kuwa anaweza kujiunga tu pale sisi sote tutakapokuwa verified member/tuwe na majina yetu halisi.
Je tuko tayari?
Very nice! Condition iwe hiyo! Kutakuwa na heshima humu. Mleta uzi, wewe ni verified??
 
Mbona Twitter watu wapo huru anapo post chochote?
Tuache uoga
Wewe ni verified humu?
Mimi pia sijisikiagi vizuri nikikutana na mdada/mmama kavaa hijab/ burkha barabarani ananiongelesha, kajificha sijui naongea na nani hivyo same to mr. President na uzi wako huu!!
 
Wewe ni verified humu?
Mimi pia sijisikiagi vizuri nikikutana na mdada/mmama kavaa hijab/ burkha barabarani ananiongelesha, kajificha sijui naongea na nani hivyo same to mr. President na uzi wako huu!!
mimi sina impact humu!!
 

We mwenyewe mbona huwa una andika upupwi [emoji52]
 
Katika watu wanaoandika utumbo na shudu humu, wewe mmoja wapo
 
Hello mr prezidaa,najua utapita hapa,give my regards to the wife and the kids,punguza jazba kidogo mzee baba
 
Akijiunga rasmi baada ya wiki utasikia kesi "JF ni mtandao wa utakatishaji pesa na wahujumu uchumi".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…