Kampeni ya Masaada wa Kisheria ya Mama Samia

Kampeni ya Masaada wa Kisheria ya Mama Samia

Nimekujibu kuwa yeye ndiye kiongozi wa nchi.
Tangu lini rais afanye biashara. Unajua kuwa urais ni taasisi?


Wadau wa Sheria na Haki pamoja na Serikali

Unajua maana na lengo la patent au unatamka tu.
Mbona kuna Mkapa Foundation, Nyerere Foundation nk mbona huzihoji hizo?
Kwani kuanzisha Samia Legal Aid imekuwa nongwa?
Kwani Jina la Samia Legal Aid unataka limilkiwe na nani?

Jibu kwanza hayo maswali ili niweze kueleza zaidi
Mosi kuwa kiongozi wa nchi means ni public figure lazima tumuhoji kwa chochote.

Rais kufanya biashara kwa banana republics kama Tanzania ni kawaida maana katiba imempa umungu tulishuhuda hayo kwa Mkapa na mgodi wa Kiwira na Magufuli na Mayanga constructions kwahiyo hili laizma tuhoji tena nani yuko nyuma ya hii agenda.

Issue za patent nazijua vizuri ndio maana nimeandika sijakurupuka tu , hasa pale ukitokea mgongano wa kimsalahi mfano Abdul na kampuni zake ikiingia mgogoro utasuluhishwa vipi?

Hao wadau wa kisheria ni akina nani wapi ninaweza kuwaona ikiwemo hao mawakili wabobezi.

Issue ya financial support kuijua ni muhimu Magufuli alikuwa anagawa pesa barabarani tulpohoji zinatoka wapi au ni mshahara wake tukaambiwa ni mfuko ambapo CAG haukagui je hii inakuwaje sawa pesa za walipa kodi zinapotapanywa na hakuna pa kuhoji , Samia ananunua magoli milioni 10 huku watu wanajifungulia chini na wengine kukosa 150k ya upasuaji je fedha hizo ni mshahara wake au ni kodi za wananchi ili ajitafutie political mileage kwa kusema alianzisha Samia legal aid??
 
Mosi kuwa kiongozi wa nchi means ni public figure lazima tumuhoji kwa chochote.

Rais kufanya biashara kwa banana republics kama Tanzania ni kawaida maana katiba imempa umungu tulishuhuda hayo kwa Mkapa na mgodi wa Kiwira na Magufuli na Mayanga constructions kwahiyo hili laizma tuhoji tena nani yuko nyuma ya hii agenda.

Issue za patent nazijua vizuri ndio maana nimeandika sijakurupuka tu , hasa pale ukitokea mgongano wa kimsalahi mfano Abdul na kampuni zake ikiingia mgogoro utasuluhishwa vipi?

Hao wadau wa kisheria ni akina nani wapi ninaweza kuwaona ikiwemo hao mawakili wabobezi.

Issue ya financial support kuijua ni muhimu Magufuli alikuwa anagawa pesa barabarani tulpohoji zinatoka wapi au ni mshahara wake tukaambiwa ni mfuko amabao CAG haukugaui je hii inakuwaje sawa pesa za walipa kodi zinapotapanywa na hakuna pa kuhoji , Samia ananunua magoli milioni 10 huku watu wanajifungulia chini na wenine kukosa 150k ya upasuaji je fedha hizo ni mshahara wake au inikodi za wananchi ili ajitafutie political mileage kwa kusema alianzisha Samia legal aid??
Ni vyema tukajikita kwenye mada sasa. Maana umehama unaenda nje ya mada.
Halafu, hujui hata tofauti ya Copyright na Patent. Nenda shule kwanza ukajifunze ndio uje.
 
Watanzania wengi hawapendi kutafuta haki.

Mtu anaweza akaja ofisini anahitaji msaada wa kisheria. Mnaongea vizuri na namna ya kulitatua jambo lake.

Baadaye anatokomea kusikojulikana halafu ofisi inabaki na mafaili yasiyofika mwisho.
 
Ni vyema tukajikita kwenye mada sasa. Maana umehama unaenda nje ya mada.
Halafu, hujui hata tofauti ya Copyright na Patent. Nenda shule kwanza ukajifunze ndio uje.
Pole sana wakurudi shule ni wewe.

That's a freshly minted Samia sponsored project to hoodwink and subvert public legal environment for her easy on the pocketbook political gains .

I'm not on board.
Ni vyema tukajikita kwenye mada sasa. Maana umehama unaenda nje ya mada.
Halafu, hujui hata tofauti ya Copyright na Patent. Nenda shule kwanza ukajifunze ndio uje.
 
Pole sana wakurudi shule ni wewe.

That's a freshly minted Samia sponsored project to hoodwink and subvert public legal environment for her easy on the pocketbook political gains .

I'm not on board.
NImekuuliza unajua tofauti ya copyright na patent? Jibu swali acha kuruka ruka.
 
NImekuuliza unajua tofauti ya copyright na patent? Jibu swali acha kuruka ruka.
Copyright inalenga kutunza dhima kuu na lengo la mmiliki.

Na patent inazuia kudurufu au kuja na wazo mfanano kama la mlengwa

Ndio maaana nimetumia patent na sio copyright sababu atakayekuja na wazo kama hili mfanano ambalo ni la kujitwalia sifa kisiasa atazuiliwa tu hakuna atakayeruhusiwa kuanzisha legal aid yoyote kwa kivuli kama hicho .

By the way hao mawakili wabobezi ndio kina Pascal sio?

Unaweza kujibu sasa yale maswali yangu 4 chawa wa Samia?
 
Copyright inalenga kutunza dhima kuu na lengo la mmiliki.

Na patent inazuia kudurufu au kuja na wazo mfanano kama la mlengwa

Ndio maaana nimetumia patent na sio copyright sababu atakayekuja na wazo kama hili mfanano ambalo ni la kujitwalia sifa kisiasa atazuiliwa tu hakuna atakayeruhusiwa kuanzisha legal aid yoyote kwa kivuli kama hicho .

By the way hao mawakili wabobezi ndio kina Pascal sio?

Unaweza kujibu sasa yale maswali yangu 4 chawa wa Samia?
Hujui chochote kuhusu patent. Je ni taasisi ipi hapa Tanzania inasajili patent?
Tunajua Copyright inajulikana zinasajiliwa wapi.
 
Hujui chochote kuhusu patent. Je ni taasisi ipi hapa Tanzania inasajili patent?
Tunajua Copyright inajulikana zinasajiliwa wapi.
Nimejibu maswali yako yote meanwhile hujajibu maswali yangu 4 niliyouliza umenipa abstractions. unatarajia niendelee kudebate na wewe?

Siwezi kuendelea kupoteza muda wangu hapa.
 
Hapa tunaongelea Taasisi ya Kutoa msaada wa kisheria. Mbona naenda nje ya mada ndugu yangu?
Yep. Bado niko kwenye mada. Taasisi imekaa kipigaji pigaji kwani mwenye jina la taasisi ni mporaji wa ardhi. Anzeni kumshughulikia yeye kama taasisi ina tofauti na yeye.
 
Siyo. Lengo kuu la Campain hii ni:-

Kampeni ya Masaada wa Kisheria ya Mama Samia
(Mama Samia Legal Aid Campaign #MSLAC ) imejikita katika kutoa elimu ya kisheria kwa wananchi hususan katika masuala ya ukatili wa kijinsia, migogoro ya ardhi, mirathi, usuluhishi wa migogoro kwa njia mbadala, na masuala yahusuyo haki za binadamu kwa ujumla.
Kwa hiyo hii ni kama NG’o ya Mama Samia?
 
Nimejibu maswali yako yote meanwhile hujajibu maswali yangu 4 niliyouliza umenipa abstractions. unatarajia niendelee kudebate na wewe?

Siwezi kuendelea kupoteza muda wangu hapa.
Kwa kuwa wewe ni huna uwezo.
 
Iwapo wananchi wataleta mashauri zilizopo mahakamani zilizowasilishwa au kufunguliwa na serikali itakuaje?
 
Kwa kuwa wewe ni huna uwezo.
Asiye na uwezo ni huyo mama yenu aliyescore 0 kidato cha nne na nyie wapambe wake mnaolipwa peanuts kuuza agenda zake.

Ndio maana anaponea kwenye honorary accolades na media stunts.
 
Asiye na uwezo ni huyo mama yenu aliyescore 0 kidato cha nne na nyie wapambe wake mnaolipwa peanuts kuuza agenda zake.

Ndio maana anaponea kwenye honorary accolades na media stunts.
Wewe uli score ngapi vile?
 
Wewe uli score ngapi vile?
Nikiwa kama mjumbe hai wa NABP katika nchi yenye uchumi mkubwa duniani haiwezekani nikawa ni mtu wa masufuri au kubebwa kama hao vilaza mlionao huko.

Hii ndio reply yangu ya mwisho then unaelekea ignore list.
 
Nikiwa kama mjumbe hai wa NABP katika nchi yenye uchumi mkubwa duniani haiwezekani nikawa ni mtu wa masufuri au kubebwa kama hao vilaza mlionao huko.

Hii ndio reply yangu ya mwisho then unaelekea ignore list.
Wewe ni mbumbumbu. Comments zako zinajieleza. Intelligent people hawakimbii discussion
 

KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA MAMA SAMIA NI NINI?

Kampeni ya Masaada wa Kisheria ya Mama Samia
(Mama Samia Legal Aid Campaign #MSLAC ) imejikita katika kutoa elimu ya kisheria kwa wananchi hususan katika masuala ya ukatili wa kijinsia, migogoro ya ardhi, mirathi, usuluhishi wa migogoro kwa njia mbadala, na masuala yahusuyo haki za binadamu kwa ujumla.

#MSLAC ni mchakato wa kupata ushauri au msaada kutoka kwa wataalamu wa sheria ili kutatua masuala ya kisheria au kupata ufafanuzi kuhusu haki na wajibu wa mtu. Kampeni Hii inajumuisha mambo kama vile ushauri wa kisheria, msaada wa kisheria au uwakilishi wa kisheria katika mahakama.

View attachment 2867082

Apeleke kwa WANAOTEKWA ,WANAOULIWA NA POLISI familia zao
 
Back
Top Bottom