Kampeni ya 'SAMIA MUST GO' inapaswa kuungwa mkono na Mtanzania yeyote mzalendo

Kampeni ya 'SAMIA MUST GO' inapaswa kuungwa mkono na Mtanzania yeyote mzalendo

Abraham Lincolnn

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2018
Posts
2,754
Reaction score
4,975
Kwa Mtanzania mzalendo anayeipenda nchi yake, wala haihitaji akili nyingi wala 'D' mbili kuweza kutambua jinsi nchi ilivyorudi nyuma tangu awamu hii iingie madarakani. Tukiacha suala lililopo mezani la utekaji na mauaji makubwa ya kutisha linalopelekea raia na watanzania kuishi kwa hofu na kikosa amani, Hali ya maisha kwa watanzania kiujumla imekuwa ngumu mno! Huku serikali ikionekana kukosa nipamgo madhubuti kusaidia watanzania. Kila mtanzania analia ugumu wa maisha. ajira zimekuwa ngumu, vitu vimepanda bei, huduma za afya zimekosa muelekeo huku tukishuhudia bima muhimu za afya zikiondolewa.

Haya yote yanafanyika huku tukimshuhudia kiongozi mkuu wa nchi akizurura huku na huko na kutegemea mikopo na hisani za mataifa yanayokuja na masharti mabaya kwa taifa! Hakuna mikakati na mipango mingine inayoonekana katika kusaidia watanzania kijikwamua na umasikini, maradhi na ujinga huku uwezo wa kiongozi mkuu wa serikali ukijidhihirisha kuwa mdogo na viatu kumpwaya!

Kwa hayo machache nadhani 'SAMIA MUST GO' inapaswa kuwa wimbo wa kila Mtanzania mzalendo anayeipenda nchi yake.
 
Kwa Mtanzania mzalendo anayeipenda nchi yake, wala haihitaji akili nyingi wala 'D' mbili kuweza kutambua jinsi nchi ilivyorudi nyuma tangu awamu hii iingie madarakani. Tukiacha suala lililopo mezani la utekaji na mauaji makubwa ya kutisha linalopelekea raia na watanzania kuishi kwa hofu na kikosa amani, Hali ya maisha kwa watanzania kiujumla imekuwa ngumu mno! Huku serikali ikionekana kukosa nipamgo madhubuti kusaidia watanzania. Kila mtanzania analia ugumu wa maisha. ajira zimekuwa ngumu, vitu vimepanda bei, huduma za afya zimekosa muelekeo huku tukishuhudia bima muhimu za afya zikiondolewa.

Haya yote yanafanyika huku tukimshuhudia kiongozi mkuu wa nchi akizurura huku na huko na kutegemea mikopo na hisani za mataifa yanayokuja na masharti mabaya kwa taifa! Hakuna mikakati na mipango mingine inayoonekana katika kusaidia watanzania kijikwamua na umasikini, maradhi na ujinga huku uwezo wa kiongozi mkuu wa serikali ukijidhihirisha kuwa mdogo na viatu kumpwaya!

Kwa hayo machache nadhani 'SAMIA MUST GO' inapaswa kuwa wimbo wa kila Mtanzania mzalendo anayeipenda nchi yake.
Wale wale jamaa wa Mbowe, viwanda vinaanzishwa nchi nzima tafuta kazi kama ulikwenda shule na kuondoka na kitu fulani, kulialia na kutukana hakuwezi kukuletea chakula mezani kwako.
 
Kwa Mtanzania mzalendo anayeipenda nchi yake, wala haihitaji akili nyingi wala 'D' mbili kuweza kutambua jinsi nchi ilivyorudi nyuma tangu awamu hii iingie madarakani. Tukiacha suala lililopo mezani la utekaji na mauaji makubwa ya kutisha linalopelekea raia na watanzania kuishi kwa hofu na kikosa amani, Hali ya maisha kwa watanzania kiujumla imekuwa ngumu mno! Huku serikali ikionekana kukosa nipamgo madhubuti kusaidia watanzania. Kila mtanzania analia ugumu wa maisha. ajira zimekuwa ngumu, vitu vimepanda bei, huduma za afya zimekosa muelekeo huku tukishuhudia bima muhimu za afya zikiondolewa.

Haya yote yanafanyika huku tukimshuhudia kiongozi mkuu wa nchi akizurura huku na huko na kutegemea mikopo na hisani za mataifa yanayokuja na masharti mabaya kwa taifa! Hakuna mikakati na mipango mingine inayoonekana katika kusaidia watanzania kijikwamua na umasikini, maradhi na ujinga huku uwezo wa kiongozi mkuu wa serikali ukijidhihirisha kuwa mdogo na viatu kumpwaya!

Kwa hayo machache nadhani 'SAMIA MUST GO' inapaswa kuwa wimbo wa kila Mtanzania mzalendo anayeipenda nchi yake.
Kwa hayo machache nadhani 'SAMIA MUST GO' inapaswa kuwa wimbo wa kila Mtanzania mzalendo anayeipenda nchi yake.
 
Wale wale jamaa wa Mbowe, viwanda vinaanzishwa nchi nzima tafuta kazi kama ulikwenda shule na kuondoka na kitu fulani, kulialia na kutukana hakuwezi kukuletea chakula mezani kwako.
Nimeomba ajira serikalini nimekosa
Nimefungua genge limebomolewa na mamlaka ya jiji
Nimefungua duka TRA wamenifilisi
Nimeamua kuanzisha biashara kuagiza mizigo China, TRA na bandari zimenifilisi
Nimekimbilia kilimo naambiwa mbolea hauwezi kupata bila kadi na masoko hakuna
Nakatiza mitaani kusaka kibarua natekwa nateswa kisa siungi mkono CCM
 
Ni mtanzania kichaa tu, ndo ataunga mkono machafuko yanayochochewa na mbowe!!
 
Nimeomba ajira serikalini nimekosa
Nimefungua genge limebomolewa na mamlaka ya jiji
Nimefungua duka TRA wamenifilisi
Nimeamua kuanzisha biashara kuagiza mizigo China, TRA na bandari zimenifilisi
Nimekimbilia kilimo naambiwa mbolea hauwezi kupata bila kadi na masoko hakuna
Nakatiza mitaani kusaka kibarua natekwa nateswa kisa siungi mkono CCM
Pole sana mkuu.
 
Waambie Viongozi wako hapo Mikocheni warejeshe familia zao Tanzania kisha ndio muanze hiyo movement

Kuwaweka mbele Watoto wa wenzenu akina Kandanda ni Upumbavu uliopitiliza!
Magufuli aliwaambia wakaufyata mkia. Samia kawa mpole mno wanarudia akili zile zile za kipumbavu.
 
Kwa Mtanzania mzalendo anayeipenda nchi yake, wala haihitaji akili nyingi wala 'D' mbili kuweza kutambua jinsi nchi ilivyorudi nyuma tangu awamu hii iingie madarakani. Tukiacha suala lililopo mezani la utekaji na mauaji makubwa ya kutisha linalopelekea raia na watanzania kuishi kwa hofu na kikosa amani, Hali ya maisha kwa watanzania kiujumla imekuwa ngumu mno! Huku serikali ikionekana kukosa nipamgo madhubuti kusaidia watanzania. Kila mtanzania analia ugumu wa maisha. ajira zimekuwa ngumu, vitu vimepanda bei, huduma za afya zimekosa muelekeo huku tukishuhudia bima muhimu za afya zikiondolewa.

Haya yote yanafanyika huku tukimshuhudia kiongozi mkuu wa nchi akizurura huku na huko na kutegemea mikopo na hisani za mataifa yanayokuja na masharti mabaya kwa taifa! Hakuna mikakati na mipango mingine inayoonekana katika kusaidia watanzania kijikwamua na umasikini, maradhi na ujinga huku uwezo wa kiongozi mkuu wa serikali ukijidhihirisha kuwa mdogo na viatu kumpwaya!

Kwa hayo machache nadhani 'SAMIA MUST GO' inapaswa kuwa wimbo wa kila Mtanzania mzalendo anayeipenda nchi yake.
Screenshot_2024-09-13-13-04-26-02.png
 
Kwa Mtanzania mzalendo anayeipenda nchi yake, wala haihitaji akili nyingi wala 'D' mbili kuweza kutambua jinsi nchi ilivyorudi nyuma tangu awamu hii iingie madarakani. Tukiacha suala lililopo mezani la utekaji na mauaji makubwa ya kutisha linalopelekea raia na watanzania kuishi kwa hofu na kikosa amani, Hali ya maisha kwa watanzania kiujumla imekuwa ngumu mno! Huku serikali ikionekana kukosa nipamgo madhubuti kusaidia watanzania. Kila mtanzania analia ugumu wa maisha. ajira zimekuwa ngumu, vitu vimepanda bei, huduma za afya zimekosa muelekeo huku tukishuhudia bima muhimu za afya zikiondolewa.

Haya yote yanafanyika huku tukimshuhudia kiongozi mkuu wa nchi akizurura huku na huko na kutegemea mikopo na hisani za mataifa yanayokuja na masharti mabaya kwa taifa! Hakuna mikakati na mipango mingine inayoonekana katika kusaidia watanzania kijikwamua na umasikini, maradhi na ujinga huku uwezo wa kiongozi mkuu wa serikali ukijidhihirisha kuwa mdogo na viatu kumpwaya!

Kwa hayo machache nadhani 'SAMIA MUST GO' inapaswa kuwa wimbo wa kila Mtanzania mzalendo anayeipenda nchi yake.
Hakika ni wakati muafaka aende akapumzike,imetosha. Urais sio cheo cha majaribio, mawaziri na baadhi ya wakuu wa mikoa wanatamka kama vile nao ni marais.Hii ni kudogosha nafasi ya rais kwa kuangalia aliyepo madarakani. Urais umekosa heshima yake, she must go.
 
Back
Top Bottom