Kampeni ya 'SAMIA MUST GO' inapaswa kuungwa mkono na Mtanzania yeyote mzalendo

Kampeni ya 'SAMIA MUST GO' inapaswa kuungwa mkono na Mtanzania yeyote mzalendo

Chadema mnataka atoke ni sababu mnataka machafuko full stop, Samia kalaani vitendo vya utekaji na tayari keshavielekeza vyombo vya usalama vifanye uchunguzi mauaji ya kada wenu, Sasa jitihada zote hizo lkn bado mnataka kuandamana, kiufupi mbowe anatamani machafuko na kamwe matamanio yake hayawezi kutimia

..huu ni muda wa kuchukua hatua. Kutuma ujumbe wa kulaani kila mtu anaweza.

..wananchi wanataka kumuona Raisi akionyesha uongozi na uwajibikaji. Wamechoshwa na matukio ya ki*shenzi yanayofanywa na vyombo vya dola.

..Na Raisi asiyeweza kuviongoza na kusimamia nidhamu ya vyombo vya dola ni mtu hatari kwa nchi yake.

..Unaweza kudhani Chadema ni watu hatari, lakini nakuhakikishia Samia ni hatari zaidi, kutokana na uzembe wake ktk kusimamia vyombo vya dola.
 
Kwa Mtanzania mzalendo anayeipenda nchi yake, wala haihitaji akili nyingi wala 'D' mbili kuweza kutambua jinsi nchi ilivyorudi nyuma tangu awamu hii iingie madarakani. Tukiacha suala lililopo mezani la utekaji na mauaji makubwa ya kutisha linalopelekea raia na watanzania kuishi kwa hofu na kikosa amani, Hali ya maisha kwa watanzania kiujumla imekuwa ngumu mno! Huku serikali ikionekana kukosa nipamgo madhubuti kusaidia watanzania. Kila mtanzania analia ugumu wa maisha. ajira zimekuwa ngumu, vitu vimepanda bei, huduma za afya zimekosa muelekeo huku tukishuhudia bima muhimu za afya zikiondolewa.

Haya yote yanafanyika huku tukimshuhudia kiongozi mkuu wa nchi akizurura huku na huko na kutegemea mikopo na hisani za mataifa yanayokuja na masharti mabaya kwa taifa! Hakuna mikakati na mipango mingine inayoonekana katika kusaidia watanzania kijikwamua na umasikini, maradhi na ujinga huku uwezo wa kiongozi mkuu wa serikali ukijidhihirisha kuwa mdogo na viatu kumpwaya!

Kwa hayo machache nadhani 'SAMIA MUST GO' inapaswa kuwa wimbo wa kila Mtanzania mzalendo anayeipenda nchi yake.
labda wazalendo wa ubeligiji 🐒
 
Nimepitia sensa 2022, nimegundua kuwa, idadi ya vijana waliopo Tanzania ni zaidi ya 40% ya idadi ya watanzania wote.
Sasa vijana changamkeni mchague Rais mwenye umri wa 45+
 
Nimeomba ajira serikalini nimekosa
Nimefungua genge limebomolewa na mamlaka ya jiji
Nimefungua duka TRA wamenifilisi
Nimeamua kuanzisha biashara kuagiza mizigo China, TRA na bandari zimenifilisi
Nimekimbilia kilimo naambiwa mbolea hauwezi kupata bila kadi na masoko hakuna
Nakatiza mitaani kusaka kibarua natekwa nateswa kisa siungi mkono CCM
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
😂😂 Watanzania bnaa..burudani wanakupa buree kabisaa ..nyie watu mnaongea tu na huyo atakaye kuja hakika mtabweka Tena🥲mrudieni Mungu kihama inakaribia😂😂😂👍achana na siasa utakufaa...kuongea tu na mwanasheria hunaa🙌
 
Nimeomba ajira serikalini nimekosa
Nimefungua genge limebomolewa na mamlaka ya jiji
Nimefungua duka TRA wamenifilisi
Nimeamua kuanzisha biashara kuagiza mizigo China, TRA na bandari zimenifilisi
Nimekimbilia kilimo naambiwa mbolea hauwezi kupata bila kadi na masoko hakuna
Nakatiza mitaani kusaka kibarua natekwa nateswa kisa siungi mkono CCM
Kabla ya mwisho wa mwaka huu Kigoma inaingizwa kwenye gridi ya Taifa. Fursa zote zilizopo mkoa huo wa Magharibi zinakwenda kufunguliwa.

Walalamikaji hamuwezi kukosekana, japo gurudumu la maendeleo halisubiri mtu.
 
Samia hata akiondoka madarakani leo bado vitendo vya utekaji na Mauaji bado vitaendelea kutokea hapa Tanzania. Tatizo siyo Samia Kama ambavyo CHADEMA wanavyodhani.

CHADEMA, you have to find your proper enemy and the proper solution for your problems.
Mihemko ni tatizo lao hawana uwezo wa kufikiria kwa kina wao wanaamua kwa pupa na ukihoji wanaona ni ujanja kukutukana.
 
Samia hata akiondoka madarakani leo bado vitendo vya utekaji na Mauaji bado vitaendelea kutokea hapa Tanzania. Tatizo siyo Samia Kama ambavyo CHADEMA wanavyodhani.

CHADEMA, you have to find your proper enemy and the proper solution for your problems.
Wewe ushauri wako ni upi?
 
Nimeomba ajira serikalini nimekosa
Nimefungua genge limebomolewa na mamlaka ya jiji
Nimefungua duka TRA wamenifilisi
Nimeamua kuanzisha biashara kuagiza mizigo China, TRA na bandari zimenifilisi
Nimekimbilia kilimo naambiwa mbolea hauwezi kupata bila kadi na masoko hakuna
Nakatiza mitaani kusaka kibarua natekwa nateswa kisa siungi mkono CCM
Aisee
 
Kwa Mtanzania mzalendo anayeipenda nchi yake, wala haihitaji akili nyingi wala 'D' mbili kuweza kutambua jinsi nchi ilivyorudi nyuma tangu awamu hii iingie madarakani. Tukiacha suala lililopo mezani la utekaji na mauaji makubwa ya kutisha linalopelekea raia na watanzania kuishi kwa hofu na kikosa amani, Hali ya maisha kwa watanzania kiujumla imekuwa ngumu mno! Huku serikali ikionekana kukosa nipamgo madhubuti kusaidia watanzania. Kila mtanzania analia ugumu wa maisha. ajira zimekuwa ngumu, vitu vimepanda bei, huduma za afya zimekosa muelekeo huku tukishuhudia bima muhimu za afya zikiondolewa.

Haya yote yanafanyika huku tukimshuhudia kiongozi mkuu wa nchi akizurura huku na huko na kutegemea mikopo na hisani za mataifa yanayokuja na masharti mabaya kwa taifa! Hakuna mikakati na mipango mingine inayoonekana katika kusaidia watanzania kijikwamua na umasikini, maradhi na ujinga huku uwezo wa kiongozi mkuu wa serikali ukijidhihirisha kuwa mdogo na viatu kumpwaya!

Kwa hayo machache nadhani 'SAMIA MUST GO' inapaswa kuwa wimbo wa kila Mtanzania mzalendo anayeipenda nchi yake.
Mtakufa navyo vijiba vya roho.

Sema wewe umerudi nyuma, watu tunaenda na kurudi Dodoma kwa SGR.

Vipi maandamano? Utakuwa mtaa gani?
 
Kwa Mtanzania mzalendo anayeipenda nchi yake, wala haihitaji akili nyingi wala 'D' mbili kuweza kutambua jinsi nchi ilivyorudi nyuma tangu awamu hii iingie madarakani. Tukiacha suala lililopo mezani la utekaji na mauaji makubwa ya kutisha linalopelekea raia na watanzania kuishi kwa hofu na kikosa amani, Hali ya maisha kwa watanzania kiujumla imekuwa ngumu mno! Huku serikali ikionekana kukosa nipamgo madhubuti kusaidia watanzania. Kila mtanzania analia ugumu wa maisha. ajira zimekuwa ngumu, vitu vimepanda bei, huduma za afya zimekosa muelekeo huku tukishuhudia bima muhimu za afya zikiondolewa.

Haya yote yanafanyika huku tukimshuhudia kiongozi mkuu wa nchi akizurura huku na huko na kutegemea mikopo na hisani za mataifa yanayokuja na masharti mabaya kwa taifa! Hakuna mikakati na mipango mingine inayoonekana katika kusaidia watanzania kijikwamua na umasikini, maradhi na ujinga huku uwezo wa kiongozi mkuu wa serikali ukijidhihirisha kuwa mdogo na viatu kumpwaya!

Kwa hayo machache nadhani 'SAMIA MUST GO' inapaswa kuwa wimbo wa kila Mtanzania mzalendo anayeipenda nchi yake.
Movement for change passed away
We want them back failed to start
piiipooozzzzz flawed

Hili nalo litapita
 
Back
Top Bottom