Kampeni ya 'SAMIA MUST GO' inapaswa kuungwa mkono na Mtanzania yeyote mzalendo

Kampeni ya 'SAMIA MUST GO' inapaswa kuungwa mkono na Mtanzania yeyote mzalendo

Nimeomba ajira serikalini nimekosa
Nimefungua genge limebomolewa na mamlaka ya jiji
Nimefungua duka TRA wamenifilisi
Nimeamua kuanzisha biashara kuagiza mizigo China, TRA na bandari zimenifilisi
Nimekimbilia kilimo naambiwa mbolea hauwezi kupata bila kadi na masoko hakuna
Nakatiza mitaani kusaka kibarua natekwa nateswa kisa siungi mkono CCM
Must Go!!!!!!!!
 
Kwa Mtanzania mzalendo anayeipenda nchi yake, wala haihitaji akili nyingi wala 'D' mbili kuweza kutambua jinsi nchi ilivyorudi nyuma tangu awamu hii iingie madarakani. Tukiacha suala lililopo mezani la utekaji na mauaji makubwa ya kutisha linalopelekea raia na watanzania kuishi kwa hofu na kikosa amani, Hali ya maisha kwa watanzania kiujumla imekuwa ngumu mno! Huku serikali ikionekana kukosa nipamgo madhubuti kusaidia watanzania. Kila mtanzania analia ugumu wa maisha. ajira zimekuwa ngumu, vitu vimepanda bei, huduma za afya zimekosa muelekeo huku tukishuhudia bima muhimu za afya zikiondolewa.

Haya yote yanafanyika huku tukimshuhudia kiongozi mkuu wa nchi akizurura huku na huko na kutegemea mikopo na hisani za mataifa yanayokuja na masharti mabaya kwa taifa! Hakuna mikakati na mipango mingine inayoonekana katika kusaidia watanzania kijikwamua na umasikini, maradhi na ujinga huku uwezo wa kiongozi mkuu wa serikali ukijidhihirisha kuwa mdogo na viatu kumpwaya!

Kwa hayo machache nadhani 'SAMIA MUST GO' inapaswa kuwa wimbo wa kila Mtanzania mzalendo anayeipenda nchi yake.
Samia hata akiondoka madarakani leo bado vitendo vya utekaji na Mauaji bado vitaendelea kutokea hapa Tanzania. Tatizo siyo Samia Kama ambavyo CHADEMA wanavyodhani.

CHADEMA, you have to find your proper enemy and the proper solution for your problems.
 
Sijajua technologia itakayo tumika kumunadi yule bibi 2025.
Mjini na vijinini hawataki kumsikia!
 
Kwa Mtanzania mzalendo anayeipenda nchi yake, wala haihitaji akili nyingi wala 'D' mbili kuweza kutambua jinsi nchi ilivyorudi nyuma tangu awamu hii iingie madarakani. Tukiacha suala lililopo mezani la utekaji na mauaji makubwa ya kutisha linalopelekea raia na watanzania kuishi kwa hofu na kikosa amani, Hali ya maisha kwa watanzania kiujumla imekuwa ngumu mno! Huku serikali ikionekana kukosa nipamgo madhubuti kusaidia watanzania. Kila mtanzania analia ugumu wa maisha. ajira zimekuwa ngumu, vitu vimepanda bei, huduma za afya zimekosa muelekeo huku tukishuhudia bima muhimu za afya zikiondolewa.

Haya yote yanafanyika huku tukimshuhudia kiongozi mkuu wa nchi akizurura huku na huko na kutegemea mikopo na hisani za mataifa yanayokuja na masharti mabaya kwa taifa! Hakuna mikakati na mipango mingine inayoonekana katika kusaidia watanzania kijikwamua na umasikini, maradhi na ujinga huku uwezo wa kiongozi mkuu wa serikali ukijidhihirisha kuwa mdogo na viatu kumpwaya!

Kwa hayo machache nadhani 'SAMIA MUST GO' inapaswa kuwa wimbo wa kila Mtanzania mzalendo anayeipenda nchi yake.
Umeandika takataka
 
Waambie Viongozi wako hapo Mikocheni warejeshe familia zao Tanzania kisha ndio muanze hiyo movement

Kuwaweka mbele Watoto wa wenzenu akina Kandanda ni Upumbavu uliopitiliza!
Huna akili jo wewe endelea na zile post zako za umbea na Majungu ndio saizi yako
 
..Ni maandamano ya AMANI.

..Samia ameshindwa kuongoza vyombo vya dola na kuruhusu utekaji na mauaji.

..kiongozi wa namna hiyo hafai.
Maandamano ya kumlazimisha Samia aachie office hayawezi yakawa ya amani hayo, Samia katimiza wajibu wake ipasavyo hana sababu za msingi za kuachia ngazi, haya nambie nini kitatokea hapo, chadema mnataka atoke, Samia hataki.
 
Kwa Mtanzania mzalendo anayeipenda nchi yake, wala haihitaji akili nyingi wala 'D' mbili kuweza kutambua jinsi nchi ilivyorudi nyuma tangu awamu hii iingie madarakani. Tukiacha suala lililopo mezani la utekaji na mauaji makubwa ya kutisha linalopelekea raia na watanzania kuishi kwa hofu na kikosa amani, Hali ya maisha kwa watanzania kiujumla imekuwa ngumu mno! Huku serikali ikionekana kukosa nipamgo madhubuti kusaidia watanzania. Kila mtanzania analia ugumu wa maisha. ajira zimekuwa ngumu, vitu vimepanda bei, huduma za afya zimekosa muelekeo huku tukishuhudia bima muhimu za afya zikiondolewa.

Haya yote yanafanyika huku tukimshuhudia kiongozi mkuu wa nchi akizurura huku na huko na kutegemea mikopo na hisani za mataifa yanayokuja na masharti mabaya kwa taifa! Hakuna mikakati na mipango mingine inayoonekana katika kusaidia watanzania kijikwamua na umasikini, maradhi na ujinga huku uwezo wa kiongozi mkuu wa serikali ukijidhihirisha kuwa mdogo na viatu kumpwaya!

Kwa hayo machache nadhani 'SAMIA MUST GO' inapaswa kuwa wimbo wa kila Mtanzania mzalendo anayeipenda nchi yake.
Halafu ni ka wimbo kazuri kweli! 🙂
 
Maandamano ya kumlazimisha Samia aachie office hayawezi yakawa ya amani hayo, Samia katimiza wajibu wake ipasavyo hana sababu za msingi za kuachia ngazi, haya nambie nini kitatokea hapo, chadema mnataka atoke, Samia hataki.

..Jiulize kwanini Chadema wanataka Samia atoke.

..halafu muelekeze au mshauri Samia akifanyie kazi.

..Samia anapaswa kukomesha utekaji na mauaji dhidi ya wanachama wa Chadema.

..badala ya kwenda kwenye MATAMASHA angeshughulikia shida iliyojitokeza kwa kuchukua hatua za haraka.

..Mjumbe wa Kamati Kuu ameuawa, viongozi wa mkoa wametekwa, kwanini mnashangaa Chadema kuwa na hasira, au jazba?
 
Maandamano ya kumlazimisha Samia aachie office hayawezi yakawa ya amani hayo, Samia katimiza wajibu wake ipasavyo hana sababu za msingi za kuachia ngazi, haya nambie nini kitatokea hapo, chadema mnataka atoke, Samia hataki.

..Na maandamano yapo kikatiba.

..Na kuna njia za Samia kuondoka Kikatiba bila kuleta machafuko.

..kama ameshindwa kuthibiti mauaji ni bora aondoke, aje mwenye nia ya dhati.
 
Mfumo mbovu, madaraka makubwa ya watendaji serikalini ni tatizo, mambo ya kesi ya nyani kumpa ngedere.
 
Kwa Mtanzania mzalendo anayeipenda nchi yake, wala haihitaji akili nyingi wala 'D' mbili kuweza kutambua jinsi nchi ilivyorudi nyuma tangu awamu hii iingie madarakani. Tukiacha suala lililopo mezani la utekaji na mauaji makubwa ya kutisha linalopelekea raia na watanzania kuishi kwa hofu na kikosa amani, Hali ya maisha kwa watanzania kiujumla imekuwa ngumu mno! Huku serikali ikionekana kukosa nipamgo madhubuti kusaidia watanzania. Kila mtanzania analia ugumu wa maisha. ajira zimekuwa ngumu, vitu vimepanda bei, huduma za afya zimekosa muelekeo huku tukishuhudia bima muhimu za afya zikiondolewa.

Haya yote yanafanyika huku tukimshuhudia kiongozi mkuu wa nchi akizurura huku na huko na kutegemea mikopo na hisani za mataifa yanayokuja na masharti mabaya kwa taifa! Hakuna mikakati na mipango mingine inayoonekana katika kusaidia watanzania kijikwamua na umasikini, maradhi na ujinga huku uwezo wa kiongozi mkuu wa serikali ukijidhihirisha kuwa mdogo na viatu kumpwaya!

Kwa hayo machache nadhani 'SAMIA MUST GO' inapaswa kuwa wimbo wa kila Mtanzania mzalendo anayeipenda nchi yake.
Hili litapita na acheni upesi ajenda ya kumchafua mama wazandiki wakubwa..

Hata akiwekwa mwingine mtaanza lawama '' alikuwepo magufuli akawa mnalalamika "

Alikuwepo JK , MKAWA MNATOA MATUSI NA KEJELI KIBAO
 
..Jiulize kwanini Chadema wanataka Samia atoke.

..halafu muelekeze au mshauri Samia akifanyie kazi.

..Samia anapaswa kukomesha utekaji na mauaji dhidi ya wanachama wa Chadema.

..badala ya kwenda kwenye MATAMASHA angeshughulikia shida iliyojitokeza kwa kuchukua hatua za haraka.

..Mjumbe wa Kamati Kuu ameuawa, viongozi wa mkoa wametekwa, kwanini mnashangaa Chadema kuwa na hasira, au jazba?
Chadema mnataka atoke ni sababu mnataka machafuko full stop, Samia kalaani vitendo vya utekaji na tayari keshavielekeza vyombo vya usalama vifanye uchunguzi mauaji ya kada wenu, Sasa jitihada zote hizo lkn bado mnataka kuandamana, kiufupi mbowe anatamani machafuko na kamwe matamanio yake hayawezi kutimia
 
Back
Top Bottom