Uchaguzi 2020 Kampeni za CCM mwaka huu zimepwaya sana, kapumzika tena?

Uchaguzi 2020 Kampeni za CCM mwaka huu zimepwaya sana, kapumzika tena?

He is sick and tired, hawezi vurugu za kampeni, ndio maana Waziri Mkuu anavunja sheria za uchaguzi makusudi ili kuokoa jahazi, sheria kwenye kampeni anatakiwa mgombea na mgombea mwenza pekee.
Mtu BINAFSI anaruhusiwa kumshitaki Majaliwa Kasimu Majaliwa (Waziri Mkuu) kwa kukiuka maadili na KANUNI za uchaguzi kwa kamati ya maadili kwa kumfanyia kampeni Mgombea wa URAIS WA CHAMA CHA MAPINDUZI huku akitumia kofia ya UWAZIRI Mkuu?
 
Sasa aende mikoa gani wakati anazomewa. Na wasanii nao wanataka posho.
 
Kwa tulioshuhudia chaguzi zote tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi 1992 wanaweza kukubaliana na mimi kuwa kampeni za Chama cha Mapinduzi zimepoa sana.

Wiki iliyopita Dkt Magufuli kamaliza mapumziko ya siku 8 juzi kafanya kampeni siku moja halafu kapumzika tena hata ratiba haijulikani.

Kama anasikiliza uongo wa Polepole kuwa atashinda kwa asilimia 80 wanamponza.

Nawashauri CCM wafanye kampeni zimebaki siku chache hata nusu ya mikoa ya Tanzania hajamaliza atapataje 80%, safari hii macho ni mengi wasitegemee kupata kura za ujanja ujanja ni ngumu sana, labda kama wamejiandaa kutumia nguvu.

View attachment 1596968
Kwanza, anayejua ratiba ya kampeni ni muhiska mwenyewe, chama chake na NEC (waliotoa ratiba). Halafu wewe unaona imepwaya ni kwa sababu UPINZANI WENYEWE UMEPWAYA. Kwa vile hawana upinzani makini, kama ule wa 2015, ndio maana na wao, CCM, wanalegeza Kamba kwani waswahili wnao msemo kuwa " usijisifu kuwa unajua kukimbia bali msifu AKUKIMBIZAE".
 
Kwanza, anayejua ratiba ya kampeni ni muhiska mwenyewe, chama chake na NEC (waliotoa ratiba). Halafu wewe unaona imepwaya ni kwa sababu UPINZANI WENYEWE UMEPWAYA. Kwa vile hawana upinzani makini, kama ule wa 2015, ndio maana na wao, CCM, wanalegeza Kamba kwani waswahili wnao msemo kuwa " usijisifu kuwa unajua kukimbia bali msifu AKUKIMBIZAE".
Una subwoofer umo kichwani wewe.UPINZANI UMEPWAYA kivipi??
 
Utawala uliofitinika una mwenyekiti lucifer katibu mkuu satan mwenye pembe saba katibu mwenezi jini nyonya damu wapikampeni zitakuwa na heri
 
. Kwanjinsi inavoonyesha wewe ndo maskini Mjinga na mpumbavu wa kwanza hizo connection za wazungu ndizo zinawaliza Libya na Sudan mpaka leo Bora hata ungesema atasimama mwenyewe mbn CDM mtaleta Vita ambayo haina ulazima nakuhakikishia Lisu hatoona k2 ikulu cyo office ya Kijiji my friend
Hanithi wa akili wewe. Kakojoe ulale.
 
Magufuli ameharibu vitu vingi sana.

Kama Tanzania ingekuwa ni nchi yenye kuwa na katiba nzuri, Raia wenye mwamko bora wa kisiasa (political will).
Katiba bora na Tume huru ya uchaguzi basi magufuli angekuwa anapumulia mashine.

Lissu alionya kuwa uchaguzi huu utakuwa mgumu sana na pia hataweza kukubali kuibiwa kura hata moja. Hayupo tayari kudhulumiwa haki kwa kigezo kuwa anamuachia Mungu.

Na pia Lissu ana connection kubwa na Nyingi nje ya nchi za kuhakikisha uchaguzi unaenda kwa haki na amani

Kukosekana kwa katiba nzuri Policeccm Dola na Raia wasio na uelewa wa kisiasa, wapumbavu, wajinga na masikini basi CCM itashinda uchaguzi.
Hawez kuibiwa kula uku hatazipata
 
Magufuli ata akitawala miaka100 fresh tu maana kwa uongozi wake ataejngia baada yake ni kushuka tu kwa uchapakazi, CDM ndo hawana uwezo kabisa wa kutawala
 
Sasa kwa akili ya kawaida unategemea CCM watashinda bila kutumia ubavu , mapanga na mitutu ya bunduki ?

CCM hawakubaliki na kila nwananchi mzalendo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijawahinkuona mzalendo mhusudu beberu na mashoga, kwa mara ya kwanza nawaona tz vibaraka wanakuwa wazalendo.
Huyo tindu akipata uraisi atakuwa kama mobutu.
 
Sijawahinkuona mzalendo mhusudu beberu na mashoga, kwa mara ya kwanza nawaona tz vibaraka wanakuwa wazalendo.
Huyo tindu akipata uraisi atakuwa kama mobutu.
Ataupata urais chumbani kwake. khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Mwanzoni nilikua nashangaa kwanini baadhi ya watu humu hushangilia misiba au matatizo ya maccm au kundi flani la watu, nikaja gundua kuwa uonevu huzaa chuki na visasi kwenye mioyo ya watu. Unamcheka anayepigwa na polisi leo, kesho usitegemee akaja kulia kwenye msiba wako.

FUNZO: Ukiwa mnufaika (beneficiary) wa mfumo wowote ule usitumie vibaya hiyo privilege kuwatukana/gandamiza/dharau/piga/onea wengine, Hakuna hali inayodumu milele. You are the next victim, bitch.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom