Uchaguzi 2020 Kampeni za CCM mwaka huu zimepwaya sana, kapumzika tena?

Uchaguzi 2020 Kampeni za CCM mwaka huu zimepwaya sana, kapumzika tena?

Hata mimi ningepumzika, hakuna upinzani siyo kama 2015, hata foreign media tu hazitangazi chochote na hakuna anayejua hata kama Tanzania kuna uchaguzi mwezi huu hata hapo Kenya tu hawajui, ...
Unajitekenya na kucheka mwenyewe.. endelea kucheka.
 
Hivi magufuli alitengeneza kikosi cha wasiojulikana baada ya kupata urahisi au kabla hajawa rais ?

Na vipi yule jamaa aliyemtolea Nape Nnauye bastola hadharani, alipata wapi ule ujasiri ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hicho kikosi kimeanza kupata "umaarufu" baada ya magufuli kuwa rais, kwahiyo logically speaking maana yake ni kwamba kinapata support kutoka kwa magufuli.
 
Wewe Bwege la chadema sikiliza,CCM ina team tatu zilizo kmilika.Mgombea,Mwenza,na Mjumbe wa Halmashauri kuu wamesambaa huku na kule na kazi ni hiyohiyo moja.Mgombea ambaye bado ni rais muda mwingine anakuwa na majukumu ya kiserikali na ni muhimu kuyakabili kwa sababu mambo lazima yaendelee.Vilevile hazuiliwi kupumzika.
Lakini hata hivyo nimekuita bwege la chadema kwa sababu hata kama kupumzika kwake unaona kunampunguzia kura zake basi hiyo ni faida kwenu,inakuuma nini ? Au mnataka kusema chadema mnapenda Magufuli ashinde ? Mnanishangaza kwa sababu juzi hapa mwenyekiti wenu wa maisha alilalama kuwa kwa nini hawaambiwi mgombea wa CCM ana anapumzika kwa sababu gani,kwanba ni mgonjwa au vipi .Kesho yake rais aliendelea na ratiba nyingine ya kumpokea mgeni ,rais wa Malawi.Kwa Mwenyekiti wenu wa maisha kuulizia hayo tulimsamehe kwa sababu hatukujua ameamkaje kutokana na mambo yetu yale.
Kwa hiyo acheni CCM iendelee na ratiba zake kivyake na kufuata taratibu na nyie kivyenu na mufuate sheria na tatibu.
 
Wewe Bwege la chadema sikiliza,CCM ina team tatu zilizo kmilika.Mgombea,Mwenza,na Mjumbe wa Halmashauri kuu wamesambaa huku na kule na kazi ni hiyohiyo moja.Mgombea ambaye bado ni rais muda mwingine anakuwa na majukumu ya kiserikali na ni muhimu kuyakabili kwa sababu mambo lazima yaendelee.Vilevile hazuiliwi kupumzika.
Lakini hata hivyo nimekuita bwege la chadema kwa sababu hata kama kupumzika kwake unaona kunampunguzia kura zake basi hiyo ni faida kwenu,inakuuma nini ? Au mnataka kusema chadema mnapenda Magufuli ashinde ? Mnanishangaza kwa sababu juzi hapa mwenyekiti wenu wa maisha alilalama kuwa kwa nini hawaambiwi mgombea wa CCM ana anapumzika kwa sababu gani,kwanba ni mgonjwa au vipi .Kesho yake rais aliendelea na ratiba nyingine ya kumpokea mgeni ,rais wa Malawi.Kwa Mwenyekiti wenu wa maisha kuulizia hayo tulimsamehe kwa sababu hatukujua ameamkaje kutokana na mambo yetu yale.
Kwa hiyo acheni CCM iendelee na ratiba zake kivyake na kufuata taratibu na nyie kivyenu na mufuate sheria na tatibu.
Kama umezaliwa miaka ya 2000 huwezi kujua ninachomaanisha, kwani Mkapa hakuwa rais wakati anafanya kampeni yeye hakuwa na majukumu ya urais.
 
Rais Magufuli hata asipofanya kampeni ushindi ni 98%

Ameifanyia Tanzania makubwa
Kweli kabisa uchumi uko juu mpaka tumeingia uchumi wa kati. Sukari kilo ilikuwa 5000/= 2015 leo 2020 bei ni 2500/=
 
Kampeni ya CCM inafanywa kisayansi. Nashangaa huoni hayo. Wajumbe wa Kamati Kuu na JPJM wamepangiwa ratiba kamilifu. Kwenye majimbo na kata pia mipango kamilifu. Ngoja tarehe 28 mwezi
huu uone kimbunga. Ujumbe wa CCM umewafikia Watanzania vizuri tuu na nyie wote mtaisoma namba. Ila kama kawaida yenu mtasema mumeibiwa kura!! Kwa lipi mlilofanya mtegemee wawachague??? Kwa uongo kuwa maendeleo ya vitu hayaleti maendeleo ya watu, kweli!!!! Hatudanganyiki.
Nakuelewa vizuri ameanza kuomba kura kwa simu.

#Uchaguzi2020 Mgombea urais kwa tiketi ya @ccm_tanzania Dkt @MagufuliJP jana Oktoba 11, 2020, alimpigia simu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, na kuwaomba wakazi wa mkoa wa Tanga wampigie kura za kutosha ili aweze kushirikiana nao katika kulijenga kikamilifu Jiji la Tanga.
 
Kama umezaliwa miaka ya 2000 huwezi kujua ninachomaanisha, kwani Mkapa hakuwa rais wakati anafanya kampeni yeye hakuwa na majukumu ya urais.
Hata unachoongea hakieleweki.Mna matatizo gani CHADEMA ?
 
kama kampeni za mpinzani ni personal attacks na kusutana kampeni yanini?

Viva Magu 2020 to 2030
Kwanini nyie msifanye kampeni kuelezea sera zenu au hamna cha kuwaambia watu uongo ni ule ule wa 2015.
 
Back
Top Bottom