Uchaguzi 2020 Kampeni za CCM mwaka huu zimepwaya sana, kapumzika tena?

Uchaguzi 2020 Kampeni za CCM mwaka huu zimepwaya sana, kapumzika tena?

Mi nadhani vigogo na wastaafu wa ccm waturudishe chimwaga kuteua mgombea mpya!huyu aliepo hata akishinda anaweza asimalize miaka mitatu kutokana na kupumzishwa pumzishwa kila mara asije akapumzika mazima halafu tukapata hasara ya gharama ya uchaguzi mpya !!!
 
Upinzani mdogo this time sio kama Lowassa time... Nchi ilizizima

Viva Magu 2020 to 2030
Kwa tulioshuhudia chaguzi zote tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi 1992 wanaweza kukubaliana na mimi kuwa kampeni za Chama cha Mapinduzi zimepoa sana.

Wiki iliyopita Dkt Magufuli kamaliza mapumziko ya siku 8 juzi kafanya kampeni siku moja halafu kapumzika tena hata ratiba haijulikani.

Kama anasikiliza uongo wa Polepole kuwa atashinda kwa asilimia 80 wanamponza.

Nawashauri CCM wafanye kampeni zimebaki siku chache hata nusu ya mikoa ya Tanzania hajamaliza atapataje 80%, safari hii macho ni mengi wasitegemee kupata kura za ujanja ujanja ni ngumu sana, labda kama wamejiandaa kutumia nguvu.

View attachment 1596968
 
Ule moshi wa kule Lindi uliharibu mambo.
Sala za Watanzania juu ya umwagaji damu za watu.
Hazita muacha salama.. Maandiko yana sema Usiuwe...
Maandiko tena yakasema kila ajikwezae ata shushwa. Na kila ajishushae Mungu atamuinua.
Maandiko yaka sema tena. Bwana wa Mabwana(Mungu) awatuma mkawaongoze watu na sio kuwa tawala. Ccm wao wana tawala. Sasa Mungu anakwenda kuwapa Watanzania Kiongozi na sio mtawala..
 
Kwa tulioshuhudia chaguzi zote tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi 1992 wanaweza kukubaliana na mimi kuwa kampeni za Chama cha Mapinduzi zimepoa sana.

Wiki iliyopita Dkt Magufuli kamaliza mapumziko ya siku 8 juzi kafanya kampeni siku moja halafu kapumzika tena hata ratiba haijulikani.

Kama anasikiliza uongo wa Polepole kuwa atashinda kwa asilimia 80 wanamponza.

Nawashauri CCM wafanye kampeni zimebaki siku chache hata nusu ya mikoa ya Tanzania hajamaliza atapataje 80%, safari hii macho ni mengi wasitegemee kupata kura za ujanja ujanja ni ngumu sana, labda kama wamejiandaa kutumia nguvu.

View attachment 1596968
Mikutano ya kampeni ya CCM ni ya ajabu sana. Juzi nilikuwa naangalia uwanja wa Mkapa nikaona karibia 90% ya walioingia pale walikuwa wamevaa nguo za chama na Zanzibar pia hivyo hivyo. Hii inamaanisha kwamba hamna wananchi wa kawaida wasii na upande wanaoenda kusikiliza sera za chama tawala. Sasa sijui wanatudanganya sisi wananchi au wanajidanganya wenyewe. Wakae wakijua sisi wananchi tarehe 28 tuna jambo letu na matokeo watayapata.
 
Akifanya kampeni kila siku hatapata watu Wa kujaza uwanja,ndo mana anapumzika ili makada wapate muda Wa kukusanya wannchi kwa kuwagawia t-shirts na kofia na buku tanotano.column ikishatimia ndo mze baba anaambiwa akapige kampeni mahali husika.
Maana kumtoa mtoa Simiyu mpaka Dar kwa lorry ni safari ya siku kadhaa
 
Kwa tulioshuhudia chaguzi zote tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi 1992 wanaweza kukubaliana na mimi kuwa kampeni za Chama cha Mapinduzi zimepoa sana.

Wiki iliyopita Dkt Magufuli kamaliza mapumziko ya siku 8 juzi kafanya kampeni siku moja halafu kapumzika tena hata ratiba haijulikani.

Kama anasikiliza uongo wa Polepole kuwa atashinda kwa asilimia 80 wanamponza.

Nawashauri CCM wafanye kampeni zimebaki siku chache hata nusu ya mikoa ya Tanzania hajamaliza atapataje 80%, safari hii macho ni mengi wasitegemee kupata kura za ujanja ujanja ni ngumu sana, labda kama wamejiandaa kutumia nguvu.

View attachment 1596968
JPM hana sababu ya kufanya kampeni, kazi kubwa ilishafanyika yeye ni kufuatilia kuona anapata viongozi zaidi wa CCM kuanzia ngazi ya chini ili kufanya maendeleo kwa Watanzania.
 
Mwanzoni kama Mwana CCM niliona kama CCM itashinda kwa zaidi ya 80 lakini kwa sasa jinsi upepo ulivyobadilika inatakiwa CCM tubadili mbinu ya kampeni zetu.

Taarifa ya Ndugu Polepole kuwa CCM itashinda kwa asilimia 85 siyo ya kweli. Hata kwenye Ubunge upepo siyo mzuri. Angalieni kule kwa Sugu, Pareso, Lema, Heche, Matiko, Wenje na Bulaya naona kama mambo yamebadilika sana.

Chukueni hatua za haraka ili uchaguzi huu tushinde kwa kishindo.
Wote hao uliowataja, labda Bulaya, anaweza shinda waliobaki, wana hali mbaya sana
 
1602438531247.png


1602438567501.png


1602438584991.png


1602438601952.png


Kazi inaendelea 24 hours.
 
Hata mimi ningepumzika, hakuna upinzani siyo kama 2015, hata foreign media tu hazitangazi chochote na hakuna anayejua hata kama Tanzania kuna uchaguzi mwezi huu hata hapo Kenya tu hawajui, ...
Kama alipiga push up kwa mgonjwa lowasa,Sasa Yuko taabani kwa TL.Mungu anatupenda sana
 
Kwa tulioshuhudia chaguzi zote tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi 1992 wanaweza kukubaliana na mimi kuwa kampeni za Chama cha Mapinduzi zimepoa sana.

Wiki iliyopita Dkt Magufuli kamaliza mapumziko ya siku 8 juzi kafanya kampeni siku moja halafu kapumzika tena hata ratiba haijulikani.

Kama anasikiliza uongo wa Polepole kuwa atashinda kwa asilimia 80 wanamponza.

Nawashauri CCM wafanye kampeni zimebaki siku chache hata nusu ya mikoa ya Tanzania hajamaliza atapataje 80%, safari hii macho ni mengi wasitegemee kupata kura za ujanja ujanja ni ngumu sana, labda kama wamejiandaa kutumia nguvu.

View attachment 1596968
Kampeni ya CCM inafanywa kisayansi. Nashangaa huoni hayo. Wajumbe wa Kamati Kuu na JPJM wamepangiwa ratiba kamilifu. Kwenye majimbo na kata pia mipango kamilifu. Ngoja tarehe 28 mwezi
huu uone kimbunga. Ujumbe wa CCM umewafikia Watanzania vizuri tuu na nyie wote mtaisoma namba. Ila kama kawaida yenu mtasema mumeibiwa kura!! Kwa lipi mlilofanya mtegemee wawachague??? Kwa uongo kuwa maendeleo ya vitu hayaleti maendeleo ya watu, kweli!!!! Hatudanganyiki.
 
Back
Top Bottom