Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
Kwanini nyie msifanye kampeni kuelezea sera zenu au hamna cha kuwaambia watu uongo ni ule ule wa 2015.
Mtu BINAFSI anaruhusiwa kumshitaki Majaliwa Kasimu Majaliwa (Waziri Mkuu) kwa kukiuka maadili na KANUNI za uchaguzi kwa kamati ya maadili kwa kumfanyia kampeni Mgombea wa URAIS WA CHAMA CHA MAPINDUZI huku akitumia kofia ya UWAZIRI Mkuu?He is sick and tired, hawezi vurugu za kampeni, ndio maana Waziri Mkuu anavunja sheria za uchaguzi makusudi ili kuokoa jahazi, sheria kwenye kampeni anatakiwa mgombea na mgombea mwenza pekee.
Mwamposa?Huyo utamuona tena jumatano jimbo la Kawe pale Tanganyika kwa Mwaiposa. Naona matangazo kuwa watakuwepo Diamond, Konde na Kiba
Ila Nape akimuona anavyobinua mdomo kumsifia magufuli utafikiri sio yeye aliyewahi kumuita magufuli mshamba.Hicho kikosi kimeanza kupata "umaarufu" baada ya magufuli kuwa rais, kwahiyo logically speaking maana yake ni kwamba kinapata support kutoka kwa magufuli.
Kwanza, anayejua ratiba ya kampeni ni muhiska mwenyewe, chama chake na NEC (waliotoa ratiba). Halafu wewe unaona imepwaya ni kwa sababu UPINZANI WENYEWE UMEPWAYA. Kwa vile hawana upinzani makini, kama ule wa 2015, ndio maana na wao, CCM, wanalegeza Kamba kwani waswahili wnao msemo kuwa " usijisifu kuwa unajua kukimbia bali msifu AKUKIMBIZAE".Kwa tulioshuhudia chaguzi zote tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi 1992 wanaweza kukubaliana na mimi kuwa kampeni za Chama cha Mapinduzi zimepoa sana.
Wiki iliyopita Dkt Magufuli kamaliza mapumziko ya siku 8 juzi kafanya kampeni siku moja halafu kapumzika tena hata ratiba haijulikani.
Kama anasikiliza uongo wa Polepole kuwa atashinda kwa asilimia 80 wanamponza.
Nawashauri CCM wafanye kampeni zimebaki siku chache hata nusu ya mikoa ya Tanzania hajamaliza atapataje 80%, safari hii macho ni mengi wasitegemee kupata kura za ujanja ujanja ni ngumu sana, labda kama wamejiandaa kutumia nguvu.
View attachment 1596968
Una subwoofer umo kichwani wewe.UPINZANI UMEPWAYA kivipi??Kwanza, anayejua ratiba ya kampeni ni muhiska mwenyewe, chama chake na NEC (waliotoa ratiba). Halafu wewe unaona imepwaya ni kwa sababu UPINZANI WENYEWE UMEPWAYA. Kwa vile hawana upinzani makini, kama ule wa 2015, ndio maana na wao, CCM, wanalegeza Kamba kwani waswahili wnao msemo kuwa " usijisifu kuwa unajua kukimbia bali msifu AKUKIMBIZAE".
Hujui? Basi ngoja majibu ya hili swali na mengine hapo 28/10/2020!Una subwoofer umo kichwani wewe.UPINZANI UMEPWAYA kivipi??
Hanithi wa akili wewe. Kakojoe ulale.. Kwanjinsi inavoonyesha wewe ndo maskini Mjinga na mpumbavu wa kwanza hizo connection za wazungu ndizo zinawaliza Libya na Sudan mpaka leo Bora hata ungesema atasimama mwenyewe mbn CDM mtaleta Vita ambayo haina ulazima nakuhakikishia Lisu hatoona k2 ikulu cyo office ya Kijiji my friend
Hawez kuibiwa kula uku hatazipataMagufuli ameharibu vitu vingi sana.
Kama Tanzania ingekuwa ni nchi yenye kuwa na katiba nzuri, Raia wenye mwamko bora wa kisiasa (political will).
Katiba bora na Tume huru ya uchaguzi basi magufuli angekuwa anapumulia mashine.
Lissu alionya kuwa uchaguzi huu utakuwa mgumu sana na pia hataweza kukubali kuibiwa kura hata moja. Hayupo tayari kudhulumiwa haki kwa kigezo kuwa anamuachia Mungu.
Na pia Lissu ana connection kubwa na Nyingi nje ya nchi za kuhakikisha uchaguzi unaenda kwa haki na amani
Kukosekana kwa katiba nzuri Policeccm Dola na Raia wasio na uelewa wa kisiasa, wapumbavu, wajinga na masikini basi CCM itashinda uchaguzi.
.Wewe hanithi kizazi vpHanithi wa akili wewe. Kakojoe ulale.
Sijawahinkuona mzalendo mhusudu beberu na mashoga, kwa mara ya kwanza nawaona tz vibaraka wanakuwa wazalendo.Sasa kwa akili ya kawaida unategemea CCM watashinda bila kutumia ubavu , mapanga na mitutu ya bunduki ?
CCM hawakubaliki na kila nwananchi mzalendo.
Sent using Jamii Forums mobile app
So what?Kikwete aliyefanya kampeni usiku na mchana hakuwa na kazi za urais.
Ataupata urais chumbani kwake. khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeSijawahinkuona mzalendo mhusudu beberu na mashoga, kwa mara ya kwanza nawaona tz vibaraka wanakuwa wazalendo.
Huyo tindu akipata uraisi atakuwa kama mobutu.
Kwani yeye ni rais wa kwanza kufanya kampeni? Mwaka 2000 ilikuwa Mkapa, mwaka 2010 ilikuwa Kikwete; hawakupumzika kiasi hikikuna kazi za urais pia anatakiwa kuzifanya