Ukihudhuria kwenye kampeni za CCM, tishet utapata, kofia utapata, mauno utayakata, machambo utayakata, vitisho utavipata, yaan kila aina ya burudani utavipata, wengine hata kutembea na wake na waume za watu.
Ila Sasa wakichaguliwa utanyanyasika balaa, kama bungeni watakutungia sheria kandamizi, watasifu na kuabudu serikali ya CCM, utanyanyasika, kejeli na kila aina ya maswahibu Wananchi wanyonge tutayapata.
CCM sio Chama cha kumkomboa mtanzania dhidi ya umasikini.
Ila Sasa wakichaguliwa utanyanyasika balaa, kama bungeni watakutungia sheria kandamizi, watasifu na kuabudu serikali ya CCM, utanyanyasika, kejeli na kila aina ya maswahibu Wananchi wanyonge tutayapata.
CCM sio Chama cha kumkomboa mtanzania dhidi ya umasikini.