Uchaguzi 2020 Kampeni za Mgombea Ubunge wa Bukoba mjini kupitia CHADEMA ndugu Chief Karumuna: Bukoba yatikisika!

Uchaguzi 2020 Kampeni za Mgombea Ubunge wa Bukoba mjini kupitia CHADEMA ndugu Chief Karumuna: Bukoba yatikisika!

Mbona maelezo mafupi harafu hayana mnofu ni mifupa tupu njoo na data za ukweli
 
Safi sana.....fagia fagia maccm yote huko
 
Endeleeni kujifariji, lakini mshindi ni ccm Magufuli 95% wabunge na madiwNi
Usemalo ni kweli na umepunguza, si 95% ni 99%. Kama waliweza kwa uchaguzi serikali za mitaa, itakuwa mwaka huu washindwe? Tume, wakurugenzi, polisi, jeshi na mgambo vyote vindhibitiwa na CCM. Kamati za ulinzi na Usalama ni CCM.
 
Kama hujui kuhusu bodaboda na uchaguzi bora ukae kimya.
Wao ni kambi popote ilimradi kawekewa mawese yakumfanya azunguke unakotaka aande
 
Back
Top Bottom