Uchaguzi 2020 Kampeni za Mgombea Ubunge wa Bukoba mjini kupitia CHADEMA ndugu Chief Karumuna: Bukoba yatikisika!

Uchaguzi 2020 Kampeni za Mgombea Ubunge wa Bukoba mjini kupitia CHADEMA ndugu Chief Karumuna: Bukoba yatikisika!

Binafsi nitashangaa Sana Magufuli akipata majority votes Bukoba!

Haiwezekani JIWE kushinda Bukoba, atapata kura kule kwao alikojenga uwanja wa ndege!! ISHOMILE hawana mchezo hata huyo BIBI MBOGA hana shida ya uteuzi wake; kwani ana pension yake nono sana, inamtosha kula na wajukuu zake!!
 
Haiwezekani JIWE kushinda Bukoba, atapata kura kule kwao alikojenga uwanja wa ndege!! ISHOMILE hawana mchezo hata huyo BIBI MBOGA hana shida ya uteuzi wake; kwani ana pension yake nono sana, inamtosha kula na wajukuu zake!!
Kweli eeeeeeh, asante kwa kujifurahisha.
 
Nimejikuta nacheka[emoji23][emoji23][emoji23]
Screenshot_20200918-234457.jpg
 
Kama hujui kuhusu bodaboda na uchaguzi bora ukae kimya.
Wao ni kambi popote ilimradi kawekewa mawese yakumfanya azunguke unakotaka aande
Hiyo ni tabia ya maccm. Lete ushahidi kama kuna jimbo lolote Chadema imewahi kutoa mafuta
 
Boda boda ni kama vile hawana chama, wao wanahitaji tu mafuta na posho, kwa hiyo ni vigumu sana kujihakikishia kama wako upande wako wako.
Huko kwa maccm sawa. Hii hai apply kwetu chadema.
 
Boda boda ni kama vile hawana chama, wao wanahitaji tu mafuta na posho, kwa hiyo ni vigumu sana kujihakikishia kama wako upande wako wako.
Usitutukane hapa tarime tupo na cdm ila posho tunakula nyinyiemu.
 
Staili nyingine ya kusomba watu kwenda kwenye kampeni ya mkutano kwa kutumia bodaboda kutoka vijijini
 
Back
Top Bottom