Kampeni za uchaguzi Tanzania, fundisho kwa Kenya

We jamaa hoja zako ziko vizuri zinamake sense sana
 
An opposition leader in Kenya has never been shot 16 times during the campaigns. Na mkimaliza campaigns zenu ambieni Magufuli asisahau kurudisha hile chopper alikodi kutoka Kenya.

oppositio leader yupi amepigwa mara 16 kipindi hiki cha campaign???

anyway kuhusu chopa usiwaze,hatuwezi mpandisha rais wetu kipenzi kwenye komanguku,hilo screpa tumuue.

hayo yanaua wanajeshi kenya kila siku yanaangukia milimani,hatuwezi risk maisha ya rais wetu kwenye hiyo trash.
 
Rais mtarajiwa Labda rais wa Vibendera wote Duniani nasio Wa Tanzania Never
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…