Kampuni gani hutengeneza betri imara za Magari madogo ukiachana na Cloride exide?

Kampuni gani hutengeneza betri imara za Magari madogo ukiachana na Cloride exide?

Battery nyingi tu zinaweza kulast 5 to 6 years.....

Shida ni moja zipo sababu nyingi ambazo zinachangia kufa kwa battery.

Kuna toyota Fielder ya 2012 imenunuliwa 2016 toka Japan ila mpaka dakika hii battery inagonga kazi kama kawaida... Haina hata dalili ya kufa. Hiyo ni miaka mingapi?


Mtu unanunua battery mwezi tu ishaanza kuweka maungaunga, unadhani itamaliza hata miaka miwili?
sababu ni ipi,kuweka maunga unga mkuu?
 
Kuna brand mpya inaitwa Rhino nilinunua January bei yake ni laki 1 na elfu 30. Hadi sasa haijasumbua. Jaribu kuitafuta hiyo mkuu. Ila kiukweli hizi betri za bei ya chini ya laki 2 na nusu matumizi yake sio zaidi ya miaka miwili kwasababu zinakuwa sio za Viwango sahihi. Kifaa cha gari cha kukaa muda mrefu lazima kiwe cha bei ghali.
kuna duka wameniambia laki na thelasini,na waranty mwaka 1.
 
betry ya gari yangu n50,nimemwaga maji yote,nikaweka maji makali upya na kuichaji,baada ya siku 2 tu,haiwezi hata kupiga start kwe nye noah,najipanga ninunue betri mpya tu,ingawa kampuni nzuri sizifahamu...
Ulikosea Ku mwaga Maji ww ungeongezea ktk vyumba vulivyoppungua. Ulipomwaga ulimwaga na cell ndio ukaliua.
 
Varta N95 ni laki nne na elfu 18

hapo ni superdoll si kwa mawakala wengine.


ila hizi ni betri za uhakika mimi ninazo natumia kwa vyombo tofauti miaka mitatu kingine miwili na kimoja nimenunua kwenye tarehe 15/16 mwezi wa tisa.



Sent from my M2006C3LI using JamiiForums mobile app
Hata mie nilitaka nimshauri Vatra , ila ni betri ghali sana .
Kama nguvu hana ajaribu hata betri za india kama Amaron.
 
Habari wakuu,

Nahitaji kununua betri mpya kwa ajili ya gari yangu ila ningependelea kampuni tofauti na hiyo chloride exide maana nimeitumia muda mchache sana ,kiufupi sijaipenda (au ni matumizi yangu).

Bila shaka nataka kubalisha kampuni nione kama naweza kupata kampuni tofauti na hii

Na kama kuna mtu anajua mahali wananunua betri mbovu anaweza nielekeza.

Sasa naomba ushauri wenu maana
Nunua Varta pale superdoll. Ni betri ya kijerumani na hudumu zaid ya miaka 3/4. Mie ndo betri nazotumia na kwa kweli nimezikubali sana.
 
kuna mnyama mkali anaitwa puma calcium battery cjaona akitajwa hapo! Mkolea huyo
 
1633672051617.png

hii betri ya india nzuri sanaaa
 
Anafanya masihara huyo 😅!!!

The best batteries ikivumilia sana ni 2 good years before it starts to be problematic! Mie natumia MaxxBat ni la Kikorea liko bomba tu.

Nilinunua mwaka juzi nikapewa warranty ya mwaka mpaka sasa linapiga kazi vizuri tu!
We ulinunua sh ngapi?
Maana nina IST hapa inanitia aibi aiseee.
 
Back
Top Bottom