Kampuni gani hutengeneza betri imara za Magari madogo ukiachana na Cloride exide?

Kampuni gani hutengeneza betri imara za Magari madogo ukiachana na Cloride exide?

Betri za kuweka maji achana nazo. Nunua maintenance free. Kwa wale wenye gari za diesel za betri mbili. moja ikifa ondoa zote weka mpya.
Kwanza gari ndogo, kutumia betri za maji, inaweza sababisha uharibifu wa gari, maana gari ndogo betri inakaa karibu na Engine.
 
We ulinunua sh ngapi?
Maana nina IST hapa inanitia aibi aiseee.
Juzi ndio nimefanya replacement ya battery ambayo nilinunua 2019-2022! Hili nilinunua la kikorea la kuitwa Globatt Gold! Ilikuwa ni 150K.

Nimenunua jipya linaitwa "FABROS POWER" Japanese Tech. Ni N50 kwa laki na 40 so far liko njema natarajia litadumu pia.
 
Anafanya masihara huyo [emoji28]!!!

The best batteries ikivumilia sana ni 2 good years before it starts to be problematic! Mie natumia MaxxBat ni la Kikorea liko bomba tu.

Nilinunua mwaka juzi nikapewa warranty ya mwaka mpaka sasa linapiga kazi vizuri tu!
Inategemeana na umefunga battery kwenye engine capacity gani. Mimi nimefunga 2018 Spark battery N50 kwenye Engine capacity ya 1600 mpaka leo inadunda tu. Mara nyingi gari yangu ikifanyiwa service nami huwa nafanyia service battery. Pembeni mwa battery kuna matundu mawili, yaoe matundu hakikisha hayazibwi na vumbi/matope, maana yale ndiyo pua ya battery inayosaidia kupumulia. Leo nipo nayo nadunda tu.

Tunahitaji ujuzi zaidi, ila sisi hujichukulia tu battery yoyote.
Nilielekezwa na kijana wa Exide vizuri, nikamwelewa baada ya kufunga sikuwa na shaka yoyote mpaka leo battery iko safi kabisa toka 2018 miaka minne naingia wa tano (Inshallah) wiki ijayo.
 
Inategemeana na umefunga battery kwenye engine capacity gani. Mimi nimefunga 2018 Spark battery N50 kwenye Engine capacity ya 1600 mpaka leo inadunda tu. Mara nyingi gari yangu ikifanyiwa service nami huwa nafanyia service battery. Pembeni mwa battery kuna matundu mawili, yaoe matundu hakikisha hayazibwi na vumbi/matope, maana yale ndiyo pua ya battery inayosaidia kupumulia. Leo nipo nayo nadunda tu.

Tunahitaji ujuzi zaidi, ila sisi hujichukulia tu battery yoyote.
Nilielekezwa na kijana wa Exide vizuri, nikamwelewa baada ya kufunga sikuwa na shaka yoyote mpaka leo battery iko safi kabisa toka 2018 miaka minne naingia wa tano (Inshallah) wiki ijayo.
Hongera sana mzee baba
 
Back
Top Bottom