profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,595
- 3,416
sababu ni ipi,kuweka maunga unga mkuu?Battery nyingi tu zinaweza kulast 5 to 6 years.....
Shida ni moja zipo sababu nyingi ambazo zinachangia kufa kwa battery.
Kuna toyota Fielder ya 2012 imenunuliwa 2016 toka Japan ila mpaka dakika hii battery inagonga kazi kama kawaida... Haina hata dalili ya kufa. Hiyo ni miaka mingapi?
Mtu unanunua battery mwezi tu ishaanza kuweka maungaunga, unadhani itamaliza hata miaka miwili?
mtaalamu za unga ndo zipi hizo?au dry cellsNunua battery za unga zile ndio habari ya mjini now!
kuna duka wameniambia laki na thelasini,na waranty mwaka 1.Kuna brand mpya inaitwa Rhino nilinunua January bei yake ni laki 1 na elfu 30. Hadi sasa haijasumbua. Jaribu kuitafuta hiyo mkuu. Ila kiukweli hizi betri za bei ya chini ya laki 2 na nusu matumizi yake sio zaidi ya miaka miwili kwasababu zinakuwa sio za Viwango sahihi. Kifaa cha gari cha kukaa muda mrefu lazima kiwe cha bei ghali.
Ulikosea Ku mwaga Maji ww ungeongezea ktk vyumba vulivyoppungua. Ulipomwaga ulimwaga na cell ndio ukaliua.betry ya gari yangu n50,nimemwaga maji yote,nikaweka maji makali upya na kuichaji,baada ya siku 2 tu,haiwezi hata kupiga start kwe nye noah,najipanga ninunue betri mpya tu,ingawa kampuni nzuri sizifahamu...
niliwaachia wanaochajisha,walimwaga yote,wakaweka mapya.Ulikosea Ku mwaga Maji ww ungeongezea ktk vyumba vulivyoppungua. Ulipomwaga ulimwaga na cell ndio ukaliua.
Undercharging au Overchargingsababu ni ipi,kuweka maunga unga mkuu?
Betri za Tanzania hizo , zinatengenezwa hapo mkuranga, ni nzuri ila bado hawajaboresha kwenye terminals, ukipita kwenye barabara mbovu mbovu hizo terminals huanza kuvuja electrolytes na ndo mwanzo wa kufa betri yenyewe.Kuna elephant
Eeh ndio hizo hizomtaalamu za unga ndo zipi hizo?au dry cells
Hata mie nilitaka nimshauri Vatra , ila ni betri ghali sana .Varta N95 ni laki nne na elfu 18
hapo ni superdoll si kwa mawakala wengine.
ila hizi ni betri za uhakika mimi ninazo natumia kwa vyombo tofauti miaka mitatu kingine miwili na kimoja nimenunua kwenye tarehe 15/16 mwezi wa tisa.
Sent from my M2006C3LI using JamiiForums mobile app
tuongee kiufundi kidogo jitu kubwa,,,alternator inapochaji ukipima volts unapata 14vdc,kwenye terminal za battery,muda wote gari inapokuwa on,,,na ukizima gari inabidi ukipima upate 12vdc,na unapostart gari zinadrop mpaka may be 10.5vdc,niko sahihi mkuu.Undercharging au Overcharging
Nunua Varta pale superdoll. Ni betri ya kijerumani na hudumu zaid ya miaka 3/4. Mie ndo betri nazotumia na kwa kweli nimezikubali sana.Habari wakuu,
Nahitaji kununua betri mpya kwa ajili ya gari yangu ila ningependelea kampuni tofauti na hiyo chloride exide maana nimeitumia muda mchache sana ,kiufupi sijaipenda (au ni matumizi yangu).
Bila shaka nataka kubalisha kampuni nione kama naweza kupata kampuni tofauti na hii
Na kama kuna mtu anajua mahali wananunua betri mbovu anaweza nielekeza.
Sasa naomba ushauri wenu maana
n50 bei gani mkuu.Nunua Varta pale superdoll. Ni betri ya kijerumani na hudumu zaid ya miaka 3/4. Mie ndo betri nazotumia na kwa kweli nimezikubali sana.
Mkuu contact zao hizi hapa chini. Wapigie watakupa price details zote na offer zao.n50 bei gani mkuu.
Ni kweli wanatoa warranty ya mwaka mmoja. Ni brand mpya sokoni ngoja tuangalie kudumu kwake.kuna duka wameniambia laki na thelasini,na waranty mwaka 1.
Atlas iko poa sanaKuna Amaron ya India, kuna Grobat ya India pia na kuna Atlasbs ya Korea
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Battery gani hiyo ina last for 6 years? Viwanda vya battery si vingefungwa[emoji28][emoji28]
We ulinunua sh ngapi?Anafanya masihara huyo 😅!!!
The best batteries ikivumilia sana ni 2 good years before it starts to be problematic! Mie natumia MaxxBat ni la Kikorea liko bomba tu.
Nilinunua mwaka juzi nikapewa warranty ya mwaka mpaka sasa linapiga kazi vizuri tu!